johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,034
Fikiria usumbufu aliopata Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Lisu ni kana Kwamba yuko kwenye Chama cha Mfukoni
Lisu ni mtu mkubwa amewahi kuwa Kiongozi wa Bunge kwa nafasi ya Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani hawezi Kualikwa Kienyeji enyeji namna hii
CCM hata kumpata Jokate au Lulandala kwenye kipindi chako ni lazima ufuate Utaratibu mahsusi kuanzia pale Idara ya Itikadi na Uenezi
Chadema grow up bhana 😂
Lisu ni mtu mkubwa amewahi kuwa Kiongozi wa Bunge kwa nafasi ya Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani hawezi Kualikwa Kienyeji enyeji namna hii
CCM hata kumpata Jokate au Lulandala kwenye kipindi chako ni lazima ufuate Utaratibu mahsusi kuanzia pale Idara ya Itikadi na Uenezi
Chadema grow up bhana 😂