Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Mimi kwa kweli nimechoka kabisa. Wakati wote ninafanya kazi kwa bidii, nalipa kodi zote, lakini kila mwaka kuna matatizo, yaani tangu tupate uhuru. Vitabu vya historia vinaonesha matatizo tu.
Sasa leo Mhe. Makonda anazunguka nchi nzima na kuibua matatizo tu. Au labda haya matatizo ni kidogo ukilinganisha na uzuri? Mimi naona kama vile CCM inavutana na Serikali yake - mpasuko!
Sasa leo Mhe. Makonda anazunguka nchi nzima na kuibua matatizo tu. Au labda haya matatizo ni kidogo ukilinganisha na uzuri? Mimi naona kama vile CCM inavutana na Serikali yake - mpasuko!