Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,340
- 51,894
Kwema Wakuu!
Tofauti na viongozi wengine walio/wanaojivunia Umaskini kwenye majukwaa. Kwa kusema oooh! Mimi mtoto wa maskini, mara ooh! Nimelelewa katika mazingira magumu. Ili wapate huruma au ushawishi kwa watu. Kwa Lowasa hali ilikuwa tofauti kabisa.
Mara kwa mara alitamka hadharani kuwa hapendi Umaskini na kamwe hakuweza kujivunia nao kwa chochote. Umaskini ni laana ambayo mtu yeyote timamu hawezi kujivunia nao.
Focus yake kubwa ni kuupinga Umaskini. Na aliamini elimu ndio silaha pekee ya kupambana na Umaskini.
Pumzika kwa amani White Hair
Tofauti na viongozi wengine walio/wanaojivunia Umaskini kwenye majukwaa. Kwa kusema oooh! Mimi mtoto wa maskini, mara ooh! Nimelelewa katika mazingira magumu. Ili wapate huruma au ushawishi kwa watu. Kwa Lowasa hali ilikuwa tofauti kabisa.
Mara kwa mara alitamka hadharani kuwa hapendi Umaskini na kamwe hakuweza kujivunia nao kwa chochote. Umaskini ni laana ambayo mtu yeyote timamu hawezi kujivunia nao.
Focus yake kubwa ni kuupinga Umaskini. Na aliamini elimu ndio silaha pekee ya kupambana na Umaskini.
Pumzika kwa amani White Hair