Kuelekea Octoba 2015: Je, Sasa ni Wakati wa Media Zetu Kufanya Endorsement ya Wagombea?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,468
113,582
Wanabodi,

Jumamosi ya leo, nimepata fursa kuangalia mjadala wa 'Jicho Letu Ndani ya Habari" unaondeshwa na Star TV kila Jumamosi asubuhi, kipindi kikiongozwa Dotto Emmanuel Bulendu kule Mwanza, na Angalieni Mpendu kwa Dar es Salaam, ambapo mmoja wa waalikwa, mwandishi mkongwe, Dereck Murusuri, amesema wazi, kuwa japo haijaandikwa popote katika vitabu vya waandishi, lakini tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu, ufike wakati vyombo vya habari vitangaze wazi kuunga mkono upande fulani, au kumuunga mkono mgombea fulani, na akatolea mfano mchini Uingereza wakati Tony Blair akigombea kupitia Labor Party, alimuomba Rupert Murdoch (Reginald Mengi wa UK) media yake imuunge mkono, na kwenye Murdoch akakubali, wakatangaza rasmi kuwa vyombo vya habari vinavyomilikiwa na Rupert Murdoch, ikiwemo TV ya Sky News na Fox News, magazeti ya The Sun, The Times (London), The New York Post, The Wall Street Journal, The Daily Telegraph, The Herald etc na ndiye mmiliki wa kampuni ya filamu ya 20th Century Fox vinamuunga mkono Tony Blair na kuunga mkono Labor Party.

Hapa Tanzania tayari gazeti ya Uhuru, Daily News na Habari msimamo wao unajulikana, gazeti la Tanzania Daima linafahamika na Gazeti la Mtanzania pia linajulikana lina simama na nani.

Kwa upande wa TV, TBC inajulika inasimama na nani!, jee huu sasa ni wakati wa Media za Tanzania to declare interest wazi wazi kwa kufanya endorsement ya wagombea urais kama wafanyavyo media za UK na US?!.

Mzee wetu Reginald Mengi aombwe rasmi kutangaza kuwa media zake zinamuunga mkono mgombea fulani?!

Mada kuu ilikuwa ni kwa nini media hazisemi ukweli?, Dereck Murusuri amesema hakuna ubaya media zikijitokeza waziwazi kuunga mkono mgombea fulani kwa ukweli na uwazi kuliko kuuunga mkono kimya kimya kama hali ya meia zetu ilivyo.

Jee is it the right time sisi watu wa media to take sides, ili ikibidi hata mimi Pasco wa jf, nijiunge na chama cha siasa, tutangaze wazi wazi misimamo yetu, tumpeleke 'mtu wetu' ikulu ya Magogoni?!.

Nawatakia Jumamosi Njema.

Pasco
 
Hii ni sawa kabisa sababu itaondoka habari za kinafiki,juzi hapa tumeona TBC na Star TV kwa muda mrefu hawajatangaza habari yoyote kuhusu Ukawa lakini ilipotokea habari ya Lipumba kujiuzulu wakatangaza na ndio ikawa habari kuu kwao. Kwa hiyo ni vizuri kila chombo kikatamka nani kinamuunga mkono ili Wananchi tuelewe.
 
Tanzania bado tuna demokrasia changa sana,wamiliki wa vyombo vya habari wanaogopa kujipambanua wako mgombea/chama gani kwa hofu ya kuja kushughulikiwa baadaye.
Kingine ni kutokana na mfumo wetu wa elimu ulivyo,elimu yetu ilitawaliwa na fikra za kijamaa,tangu tuingie ktk mfumo wa vyama wa vingi tumeshindwa kuleta mabadiliko pia ktk elimu yetu yaani kuwa na elimu ambayo inatoa fursa kwa itikadi zote (ujamaa/ukomunisti na ubepari) kufundishwa,itikadi zingeruhusiwa ktk vyuo vyote vikiwemo vya uandishi wa habari,kwa kufanya hivi ingekuwa rahisi kwa vyombo vingi vya habari kufungamana mgombea/chama flani kwasababu ya kiitikadi.
Kwa Tanzania ni IPP Media tu ndiyo inayojulikana inasimama na itikadi gani,wengine hawajulikani.
 
Wanabodi,

Jumamosi ya leo, nimepata fursa kuangalia mjadala wa 'Jicho Letu Ndani ya Habari" unaondeshwa na Star TV kila Jumamosi asubuhi, kipindi kikiongozwa Dotto Emmanuel Bulendu kule Mwanza, na Angalieni Mpendu kwa Dar es Salaam, ambapo mmoja wa waalikwa, mwandishi mkongwe, Dereck Murusuri, amesema wazi, kuwa japo haijaandikwa popote katika vitabu vya waandishi, lakini tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu, ufike wakati vyombo vya habari vitangaze wazi kuunga mkono upande fulani, au kumuunga mkono mgombea fulani, na akatolea mfano mchini Uingereza wakati Tony Blair akigombea kupitia Labor Party, alimuomba Rupert Murdoch (Reginald Mengi wa UK) media yake imuunge mkono, na kwenye Murdoch akakubali, wakatangaza rasmi kuwa vyombo vya habari vinavyomilikiwa na Rupert Murdoch, ikiwemo TV ya Sky News na Fox News, magazeti ya The Sun, The Times (London), The New York Post, The Wall Street Journal, The Daily Telegraph, The Herald etc na ndiye mmiliki wa kampuni ya filamu ya 20th Century Fox vinamuunga mkono Tony Blair na kuunga mkono Labor Party.

Hapa Tanzania tayari gazeti ya Uhuru, Daily News na Habari msimamo wao unajulikana, gazeti la Tanzania Daima linafahamika na Gazeti la Mtanzania pia linajulikana lina simama na nani. Kwa upande wa TV, TBC inajulika inasimama na nani!, jee huu sasa ni wakati wa Media za Tanzania to declare interest wazi wazi kwa kufanya endorsement ya wagombea urais kama wafanyavyo media za UK na US?!.

Mzee wetu Reginald Mengi aombwe rasmi kutangaza kuwa media zake zinamuunga mkono mgombea fulani?!

Mada kuu ilikuwa ni kwa nini media hazisemi ukweli?, Dereck Murusuri amesema hakuna ubaya media zikijitokeza waziwazi kuunga mkono mgombea fulani kwa ukweli na uwazi kuliko kuuunga mkono kimya kimya kama hali ya meia zetu ilivyo.

Jee is it the right time sisi watu wa media to take sides, ili ikibidi hata mimi Pasco wa jf, nijiunge na chama cha siasa, tutangaze wazi wazi misimamo yetu, tumpeleke 'mtu wetu' ikulu ya Magogoni?!.

Nawatakia Jumamosi Njema.

Pasco

Nakumbuka mwaka 2005 Manyerere Jackton wakati akihojiwa Star tv alideclare wazi kwamba gazeti lao la Mtanzania linamuunga mkono Kikwete.

Waandishi wetu au media house zetu bado hazijitegemei ndio maana wanaogopa kumtukana mkunga.....

Imagine wale waliokuwa wanamuunga mkono Lipumba saa hizi wapo kwenye hali gani?

Watch "Prof. Lipumba akiwa Msikitini na Siasa za Tanzania" on YouTube - https://youtu.be/ujwfFUUAD70
 
Kazi ya watu wa media ni kuwahabarisha watu habari ambazo haziko biased,hii habari ya kushabikia chama au mtu fulani viachiwe vyombo vya chama husika. Chombo cha habari kilicho makini hakishadadii chama au mtu fulani. Yapo maoni ya mtu binafsi kama mmiliki wa chombo lakini siyo maoni ya wanajamii wote wa chombo kile. Juzi nilikuwa naongea na jamaa yangu toka TBC anasema wao kama wao hawapendi kile kinachoshadadiwa na uongozi pamoja na serikali,lakini wafanyeje? Kumbuka hata MD wake alitakiwe awe amestaafu lakini kaongezewa muda na hao wakubwa,hivi kweli anaweza enda kinyume na waliomuweka? Star Tv inajulikani boss wake ni nani ndani ya chama fulani
 
Wanabodi,

With just 7 days to come, je saa huu ndio wakati wa JF as a media nayo ifanye endorsement?!, hakuna kipya cha kuwaambia wanabodi, bali ni kukumbushana tuu, tulisema nini, nini kimefanyika, nini kinafanyika sasa, na nini kitafanyika hizo siku 7 zijazo, yaani tarehe 25 October, kiukweli kabisa, sioni jinsi yoyote ya CCM kushinda tena!, Chadema inakwenda kuchukua nchi kiulaini kabisa kama imeokota!, yaani CCM inakwenda kuanguka chini kiulani kabisa kama kumsukuma mlevi!.

Lakini ili hili litimie, ni lazima kila aliyejiandikisha, ajitokeze hiyo tarehe 25, aende kupiga kura na kumchagua Edward Lowassa!.

If "Together wa can!", and "United we Stand", "Victory is ascertain!"

Nawatakia Jumapili njema!.

Pasco
 
With just two days to go, there is nothing new to say, yote yameishasemwa, sasa imebaki kukumbushana tuu, tulisema nini, nini kimefanyika, uchaguzi ndio keshokutwa Jumapili, nini kitafanyika siku hiyo, na baada ya hapo, tukutane tena wiki ijayo, au tupongezane, au tupeane pole!.

Nchi hii inaweza tuu kubadilishwa kwa watu wenye uthubutu wa kuchukua maamuzi magumu, na kusimama wahesabiwe!.

I'm very proud kuwa ni mmoja wa wapiga kura hiyo Jumapili.

Haya shime kwa wote waliojiandikisha, tujitokeze kwa wingi, tuitumie haki yetu ya kidemokrasia kujichagulia viongozi wetu,

We have to choose our leaders and love our choices and live with or without!.

Pasco
 
Wanabodi,
Leo ni siku ya kimataifa ya uhuru wa habari, kila mwaka sisi waandishi huwa tunakutana mahali kwa siku 2 na kujadili mambo mbalimbali kuhusu uhuru wa habari, na katika mkusanyiko huo, serikali, vyama vya habari na Taasisi za habari hutoa matamko kede kede kuhusu uhuru wa habari, lakini kwa mwaka huu, kufuatia janga la Corona, hakuna maadhimisho yoyote rasmi ya kukutana, ila nilitegemea wizara ya habari, vyama vya habari na mashirika na Taasisi za habari zitoe matamko mbalimbali.

Bado sijabahatika kuona tamko lolote!, ila usikute zile speech huwa zinaandaliwa kwa ajili ya presentations kwenye kongamano hotelini, safari na per diem!, leo hakuna safari, no trip, no per diem, no hotel gathering, hivyo this time hata speech tuu hakuna?!.

Nawatakia waandishi wenzangu, maadhimisho haya ya kimya kimya, nawashauri wale wafadhili mbalimbali wa tukio hili, kwa vile hatukusafiri, wala kula na kulala hotelini, then naomba hao wafadhili watutumie tuu hizo per diem, tutahama majumbani mwetu na kuhamia hotelini 3 days kisha tutatoa matamko.

Paskali
 
Wanabodi,

Jumamosi ya leo, nimepata fursa kuangalia mjadala wa 'Jicho Letu Ndani ya Habari" unaondeshwa na Star TV kila Jumamosi asubuhi, kipindi kikiongozwa Dotto Emmanuel Bulendu kule Mwanza, na Angalieni Mpendu kwa Dar es Salaam, ambapo mmoja wa waalikwa, mwandishi mkongwe, Dereck Murusuri, amesema wazi, kuwa japo haijaandikwa popote katika vitabu vya waandishi, lakini tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu, ufike wakati vyombo vya habari vitangaze wazi kuunga mkono upande fulani, au kumuunga mkono mgombea fulani, na akatolea mfano mchini Uingereza wakati Tony Blair akigombea kupitia Labor Party, alimuomba Rupert Murdoch (Reginald Mengi wa UK) media yake imuunge mkono, na kwenye Murdoch akakubali, wakatangaza rasmi kuwa vyombo vya habari vinavyomilikiwa na Rupert Murdoch, ikiwemo TV ya Sky News na Fox News, magazeti ya The Sun, The Times (London), The New York Post, The Wall Street Journal, The Daily Telegraph, The Herald etc na ndiye mmiliki wa kampuni ya filamu ya 20th Century Fox vinamuunga mkono Tony Blair na kuunga mkono Labor Party.

Hapa Tanzania tayari gazeti ya Uhuru, Daily News na Habari msimamo wao unajulikana, gazeti la Tanzania Daima linafahamika na Gazeti la Mtanzania pia linajulikana lina simama na nani.

Kwa upande wa TV, TBC inajulika inasimama na nani!, jee huu sasa ni wakati wa Media za Tanzania to declare interest wazi wazi kwa kufanya endorsement ya wagombea urais kama wafanyavyo media za UK na US?!.

Mzee wetu Reginald Mengi aombwe rasmi kutangaza kuwa media zake zinamuunga mkono mgombea fulani?!

Mada kuu ilikuwa ni kwa nini media hazisemi ukweli?, Dereck Murusuri amesema hakuna ubaya media zikijitokeza waziwazi kuunga mkono mgombea fulani kwa ukweli na uwazi kuliko kuuunga mkono kimya kimya kama hali ya meia zetu ilivyo.

Jee is it the right time sisi watu wa media to take sides, ili ikibidi hata mimi Pasco wa jf, nijiunge na chama cha siasa, tutangaze wazi wazi misimamo yetu, tumpeleke 'mtu wetu' ikulu ya Magogoni?!.

Nawatakia Jumamosi Njema.

Pasco
The motives behind bandiko hili, ni kumpigia chapuo Edward Lowassa apate media endorsement.

Naendelea na My Tribute to this fallen hero, Mwamba wa Kaskazini, kwa kujikumbusha baadhi ya mabandiko yangu kumhusu shujaa huyu mpaka siku atakapo pumzishwa kwenye makao yake ya milele, let's celebrate the life and the times of Edward Lowassa.

RIP Shujaa Laigwanani Comred Edward Ngoyai Ole Lowassa,
Umepigana vita vilivyo vitakatifu, imani umeilinda.
Bwana alileta
Bwana ametwaa,
Jina Lake Lihimidiwe!.

Paskali
 
Back
Top Bottom