Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,443
- 113,452
Wanabodi,
Wakati Watanzania tukijiandaa kukumbuka kumbukumbu ya Baba wa Taifa, Mwallimu Nyerere, naomba kutoa angalizo la kuizuia kumbukumbu hiyo isitumike vibaya kuupotosha umma eti kuna watu Mwalimu aliwakataa!, yes anaweza kuwa aliwakataa wakati ule ile kama angekuwa hai hadi leo, angewakubali sana tuu!.
Kiumri mimi ni mtu mzima nitaitafuta 50 kwa karibu!.
Kikazi, mimi ni mwandishi wa kujitegemea kwa kujitolea!. Kwa mara ya kwanza kuingia newsroom ilikuwa ni mwaka 1990 ndani ya chumba cha habari cha gazeti la serikali Daily News, hivyo kama ningekuwa bado niko kazini mpaka leo, mwaka huu ningesherehekea miaka 25 ya uandishi wa habari!.
Katika kipindi hicho, Mwalimu Nyerere alikuwa ameishastaafu na sikuwahi kukosa kuhudhuria press conference yake yoyote, hivyo Mwalimu ninamfahamu fika!. Tena ilitokea, nadhani mimi ndio mwandishi wa habari wa Tanzania kufanya mahojiano ya mwisho na Mwalimu, ambayo niliyafanya mwaka 1998, katika ukumbi wa The Bundes House, katika mji wa Bern Nchini Uswisi, baada ya hapo alianza kuugua hadi Mwenyeenzi Mungu alipomuita kumpumzisha!, hivyo Mwalimu Nyerere huyu ninayemzungumza hapa, ni Mwalimu ninayemfahamu kwa kuzungumza naye ana kwa ana na sio Mwalimu wa kumsikia, kumuona au kuhadithiwa!.
Katika ule mkutano wake na waandishi wa habari Katika Hoteli ya Kilimanjaro, alipokuwa anazungumzia kuuzwa kwa benki ya NBC, Mwalimu alitokwa machozi kwa uchungu!, leo angekuwepo na kusikia sio tena kuuzwa kwa benki tuu bali viongozi wa umma, wenye uwezo wa kujenga nyumba zao, na baadhi yao wenye majumba yao tayari, lakini wakayachukua majumba ya umma na kujigawia bure, kwa kuweka vijisenti kidogo vya kudanganyia!, leo mtekelezaji wa uharamia huo, ambaye sio tuu alijigawia pande nono, bali pia aliwagawia na ndugu zake, rafiki zake, jamaa zake, hadi vimada wake kadhaa!, jambo kama hili, Mwalimu angekuwepo, asingelikubali!, angemchagua Lowassa!.
Nakiri nimekuwa inspired kuandika bandiko hili, kutokana na swali la mwana jf huyu,
Ni Mwalimu ndie aliyesema upinzani wa kweli, utatoka CCM!, this is that time Mwalimu aliyoisemea!.
Mimi ni muumini wa life after life!, Mwalimu huko aliko anampigania Lowassa!.
Ni Mwalimu ndie aliyesema, watu wanataka mabadiliko, wakiyakosa ndani ya CCM, watayatafuta nje ya CCM!.
Pasco
Wakati Watanzania tukijiandaa kukumbuka kumbukumbu ya Baba wa Taifa, Mwallimu Nyerere, naomba kutoa angalizo la kuizuia kumbukumbu hiyo isitumike vibaya kuupotosha umma eti kuna watu Mwalimu aliwakataa!, yes anaweza kuwa aliwakataa wakati ule ile kama angekuwa hai hadi leo, angewakubali sana tuu!.
Kiumri mimi ni mtu mzima nitaitafuta 50 kwa karibu!.
Kikazi, mimi ni mwandishi wa kujitegemea kwa kujitolea!. Kwa mara ya kwanza kuingia newsroom ilikuwa ni mwaka 1990 ndani ya chumba cha habari cha gazeti la serikali Daily News, hivyo kama ningekuwa bado niko kazini mpaka leo, mwaka huu ningesherehekea miaka 25 ya uandishi wa habari!.
Katika kipindi hicho, Mwalimu Nyerere alikuwa ameishastaafu na sikuwahi kukosa kuhudhuria press conference yake yoyote, hivyo Mwalimu ninamfahamu fika!. Tena ilitokea, nadhani mimi ndio mwandishi wa habari wa Tanzania kufanya mahojiano ya mwisho na Mwalimu, ambayo niliyafanya mwaka 1998, katika ukumbi wa The Bundes House, katika mji wa Bern Nchini Uswisi, baada ya hapo alianza kuugua hadi Mwenyeenzi Mungu alipomuita kumpumzisha!, hivyo Mwalimu Nyerere huyu ninayemzungumza hapa, ni Mwalimu ninayemfahamu kwa kuzungumza naye ana kwa ana na sio Mwalimu wa kumsikia, kumuona au kuhadithiwa!.
Katika ule mkutano wake na waandishi wa habari Katika Hoteli ya Kilimanjaro, alipokuwa anazungumzia kuuzwa kwa benki ya NBC, Mwalimu alitokwa machozi kwa uchungu!, leo angekuwepo na kusikia sio tena kuuzwa kwa benki tuu bali viongozi wa umma, wenye uwezo wa kujenga nyumba zao, na baadhi yao wenye majumba yao tayari, lakini wakayachukua majumba ya umma na kujigawia bure, kwa kuweka vijisenti kidogo vya kudanganyia!, leo mtekelezaji wa uharamia huo, ambaye sio tuu alijigawia pande nono, bali pia aliwagawia na ndugu zake, rafiki zake, jamaa zake, hadi vimada wake kadhaa!, jambo kama hili, Mwalimu angekuwepo, asingelikubali!, angemchagua Lowassa!.
Nakiri nimekuwa inspired kuandika bandiko hili, kutokana na swali la mwana jf huyu,
Mkuu Shemeji,Mikael P Awedak amini usiamini, kama Mwalimu angekuwa hai hadi leo, angejiunga na Lowassa!.Pasco wa JF, naomba jibu lako,
Naomba kumwuliza Pasco wa JF kuhusu Nyerere, kama Mwl angekuwepo, Je, Lowasa angegombea Urais? Ni swali ambalo nitafurahi sana wanaccm wakinijibu kwa dhamiri safi, ni maombi yangu kuwa PASCO wa JF hataingia Mtini.
WENU
Mikael Aweda.
Ni Mwalimu ndie aliyesema upinzani wa kweli, utatoka CCM!, this is that time Mwalimu aliyoisemea!.
Mimi ni muumini wa life after life!, Mwalimu huko aliko anampigania Lowassa!.
Ni Mwalimu ndie aliyesema, watu wanataka mabadiliko, wakiyakosa ndani ya CCM, watayatafuta nje ya CCM!.
Pasco