johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,992
- 142,008
Makamu wa Rais Dr. Mpango amesema anajua Mchango mkubwa uliotolewa na Mzee Lowassa kwenye Maendeleo ya Arusha.
Lowasa alikuwa mchapakazi na Mpenda Maendeleo hivyo nikitua DSM nitakwenda Moja kwa Moja nyumbani kwa familia ya marehemu na nitazifikisha salamu zenu, amesema Dr. Mpango.
Dr. Mpango amesema kwa sasa Rais Samia yuko nje ya Nchi na amemtuma yeye kumwakilisha hapo Arusha kwenye Ibada ya Uaskofu.
Dr. Mpango ameandamana na Makamu Mwenyekiti wa CCM na mbunge wa zamani wa Arusha Komredi Kinana.
Credit: Upendo TV
Lowasa alikuwa mchapakazi na Mpenda Maendeleo hivyo nikitua DSM nitakwenda Moja kwa Moja nyumbani kwa familia ya marehemu na nitazifikisha salamu zenu, amesema Dr. Mpango.
Dr. Mpango amesema kwa sasa Rais Samia yuko nje ya Nchi na amemtuma yeye kumwakilisha hapo Arusha kwenye Ibada ya Uaskofu.
Dr. Mpango ameandamana na Makamu Mwenyekiti wa CCM na mbunge wa zamani wa Arusha Komredi Kinana.
Credit: Upendo TV