Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,504
- 113,620
Wanabodi,
Uchaguzi Mkuu ulifanyika na kumalizika ile Octoba 25,2015 na matokeo 'halali' yametoka!, aliyeshinda ameshinda, aliyeshindwa ameshindwa kwa mtindo wa "The winner takes it all, and the looser standing small!".
Despite all the odds, the end justify the means, mshindi 'halali' ni John Pombe, Joseph Magufuli, kinachotakiwa sasa ni kumpa ushirikiano wa aina zote, kwa sisi Watanzani katika umoja wetu, iwe tulimchagua, hatukumchagua au hatukupiga kabisa kura, maadam katiba yetu inasema mshindi akiisha tangazwa na Tume ya Uchaguzi, NEC, ndiye mshindi, then uchaguzi ndio umeishia hapo!, aliyetangazwa ndiye mshindi 'halali' na ndie rais wetu, ni rais wa wote, ndiye rais wa CCM waliyemchagua, ndiye rais wa Watanzania wote waliopiga kura, ndiye rais wa Watanzinia wote ambao they never even bothererd kupiga kura, ndie rais wa Chadema na UKAWA wote waliomchagua Lowassa.
Infact, Magufuli ndiye sio tuu ni rais wa Lowassa, bali ni Magufuli ndie anayemlisha na kumvisha Lowassa kupitia pensheni, ni Magufuli ndiye anayeigharimia Chadema kupitia fedha za ruzuku!, Magufuli, akiamua kuiita ruzuku nayo ni ufisadi, anaweza kuandika presidential decree kuifutilia mbali ruzuku, japo CCM ndicho chama kitakacho suffer most, Chadema kitakufa kabisa, kwa sababu kuna nchi kibao tuu, hazina pesa za upuuzi kama huu wa kutoa ruzuku kwa vyama vya siasa, hivyo wana Chadema na wana UKAWA, mnatakiwa sio lazima kumpenda Magufuli, bali lazima kushirikiana naye kulijenga taifa letu changa!, kama ni kupenda, tuendelee kumpenda Lowassa wetu, tunywe nae chai, lakini katika ujenzi wa taifa, ushirikiano ni kwa Magufuli, kupitia "Hapa Kazi tuu!.
Nimetoa ushauri huu kwa Lowassa, baada ya kuendelea kusoma kuwa mpaka leo, Lowassa bado anaendelea kulalamika kuwa ni yeye ndiye alishinda kwenye urais lakini CCM wamempora ushindi wake kwa bao la mkono!.
Mimi binafsi ni miongoni mwa watu tuliomuunga mkono Lowassa humu jukwaani na kuwashawishi watu wamuunge mkono, lakini katika matokeo, naamini kilichotokea ndicho Watanzania wengi zaidi walichotaka, hivyo ukiamua kufikiri kwa kutumia hisia na mapenzi kuwa ni kweli Lowassa alishinda lakini CCM wameiba ushindi wake, then utakuwa very right kujifurahisha nafsi yako, lakini ukifikiri kwa kutumia logic, lazima utakuwa na mashaka na madai haya ya Lowassa wetu kushinda!.
Uchaguzi umeendeshwa kwa mfumo wa uwazi wa hali ya juu kupitia mawakala wa vyama, na UKAWA iliweka mawakala wake kila kituo!. Matokeo ya kila kituo, yanajumlishwa na kubandikwa vituoni, huku kila wakala akipewa nakala halisi yenye sahihi yake kuyakubali matokeo hayo, hivyo kama ni kweli CCM ilichakachua, by now, UKAWA imepata muda wa kutosha kujumlisha matokeo yao ya nchi nzima kupitia zile nakala za mawakala wao, hivyo sasa wangekuja to an open na kutueleza kuwa matokeo halisi kwa mujibu wa tallying ya UKAWA ni haya vs matokeo ya NEC, hivyo kutupa fursa ya kuuona huo uchakachuaji wa CCM na NEC yake jinsi ulivyofanyika!. Hizi blanket statements za Lowassa alishinda ila kaibiwa, sasa zitoshe!, uchaguzi umekwisha, sasa ni kazi ya kulijenga taifa kupitia falsafa ya "hapa ni kazi tuu!".
Ila kama ni kweli kabisa, Lowassa ndie aliyeshinda kihalali lakini CCM ikaiba kura kwa kuchakachua, then tutashuhudia 'karma' ikiishughulikia CCM kikamilifu hii ikimaanisha hata miaka 5 tuu hadi 2020 mbele ya karma, itakuwa ni mbali!, nikimaanisha haitafika, kuna kitu Mungu, atawaambia CCM!. Ila pia kama Lowassa anajua hakushinda, bali anaendelea kujitangazia ushindi wa mezani ili tuu kumkwamisha mshindi halali Magufuli, ili wale wafuasi wake milioni 6 waliompa kura zao Lowassa, wasimpe ushirikiano Magufuli, then hiyo hiyo karma, haina mswalie Mtume, itamshughulia Lowassa, na hiyo 2020 itakuwa mbali!.
Jee ni nini kitamkuta Magufuli and Lowassa within the next five years kuelekea 2020 with reference to 'karma', Lets just sit, wait and see the oparatives of karma, sisi tubaki tuu kuwa mashahidi tuu na mashuhuda ya kitakachotokea, tutakumbushana humu.
Namalizia kwa kusisitiza huu ni Ushauri Wa Bure kwa Lowassa, Hata Kama Ni Kweli Uliibiwa Kura, Kaa Kimya, Usijipiganie Haki Yako Ya Ushindi Halali Kwa Kupiga Makelele, Bali Mwachie Mungu YEYE Ndiye Akupiganie!.
Unachotakiwa kufanya kwa sasa ni kujiuzulu siasa kwa heshima na kwenda kuchunga ng'ombe wako kama ulivyoahidi, kwa sababu 2020 itakuwa too little too late for you.
Nawatakia Jumapili Njema.
Paskali
NB. Mimi ni shauri wa bure wa kujitolea, hizi ni baadhi ya shauri mbalimbali za bure niliowahi kuisha kutoa
Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli, Kubali Matokeo
Ushauri Wa Bure kwa ENL, Chadema na UKAWA, Tuyakubali Matokeo
Ushauri wa bure kwa CCM: Hope for the best but get prepared for ..
Pasco wa JF atoa Ushauri wa bure kwa wana JF - Page 3 - Jamii ...
Ushauri wa Bure kwa Zitto, Shika lako, ya wengine waachie wenyewe!
Ushauri wa Bure kwa ZZK!-Congratulations..But
Kumuepushia aibu ya Kushindwa, CCM isimsimamishe Dr. Shein - Jamii ...
Ushauri wa bure kwa Mhe. Lowassa: Ili kuilinda Heshima yako
Ushauri wa bure kwa Mhe. Lowassa: Ili kuilinda Heshima yako ..
Ushauri wa bure kwa Rais na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi - Jamii ...
News Alert: Kuelekea 2015, USHAURI wa Bure kwa Mhe LOWASSA - Jamii ...
Ushauri wa Bure Kwa Mhe. Zitto on Escrow Report: Please Keep Quite ..
ENL, CHADEMA na UKAWA, Tuyakubali Matokeo!, Tushukuru Kwa Yote ..
Ushauri: Lowassa Asikanyage Arumeru!, Atamponza Sioi!
Ushauri wa Bure Kwa Mhe. Rais Magufuli, Futilia mbali utawala wa sheria ..
Wito Kwa Watanzania:Tuitumie Nguvu ya Kauli, Kumuingiza Ikulu .[/quote]
Uchaguzi Mkuu ulifanyika na kumalizika ile Octoba 25,2015 na matokeo 'halali' yametoka!, aliyeshinda ameshinda, aliyeshindwa ameshindwa kwa mtindo wa "The winner takes it all, and the looser standing small!".
Despite all the odds, the end justify the means, mshindi 'halali' ni John Pombe, Joseph Magufuli, kinachotakiwa sasa ni kumpa ushirikiano wa aina zote, kwa sisi Watanzani katika umoja wetu, iwe tulimchagua, hatukumchagua au hatukupiga kabisa kura, maadam katiba yetu inasema mshindi akiisha tangazwa na Tume ya Uchaguzi, NEC, ndiye mshindi, then uchaguzi ndio umeishia hapo!, aliyetangazwa ndiye mshindi 'halali' na ndie rais wetu, ni rais wa wote, ndiye rais wa CCM waliyemchagua, ndiye rais wa Watanzania wote waliopiga kura, ndiye rais wa Watanzinia wote ambao they never even bothererd kupiga kura, ndie rais wa Chadema na UKAWA wote waliomchagua Lowassa.
Infact, Magufuli ndiye sio tuu ni rais wa Lowassa, bali ni Magufuli ndie anayemlisha na kumvisha Lowassa kupitia pensheni, ni Magufuli ndiye anayeigharimia Chadema kupitia fedha za ruzuku!, Magufuli, akiamua kuiita ruzuku nayo ni ufisadi, anaweza kuandika presidential decree kuifutilia mbali ruzuku, japo CCM ndicho chama kitakacho suffer most, Chadema kitakufa kabisa, kwa sababu kuna nchi kibao tuu, hazina pesa za upuuzi kama huu wa kutoa ruzuku kwa vyama vya siasa, hivyo wana Chadema na wana UKAWA, mnatakiwa sio lazima kumpenda Magufuli, bali lazima kushirikiana naye kulijenga taifa letu changa!, kama ni kupenda, tuendelee kumpenda Lowassa wetu, tunywe nae chai, lakini katika ujenzi wa taifa, ushirikiano ni kwa Magufuli, kupitia "Hapa Kazi tuu!.
Nimetoa ushauri huu kwa Lowassa, baada ya kuendelea kusoma kuwa mpaka leo, Lowassa bado anaendelea kulalamika kuwa ni yeye ndiye alishinda kwenye urais lakini CCM wamempora ushindi wake kwa bao la mkono!.
Mkuu Chachu Ombara, Japo binafsi siamini kuwa Lowassa ameshinda ila ameibiwa kura, but yet one can never tell with CCM, anything is possible!, kule Zanzibar kila siku CUF inashinda lakini inayotangazwa mshindi ni CCM!.Aliyekuwa mgombea Urais anayeungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, ameendelea kudai ndiye mshindi kwenye Uchaguzi Mkuu uliopita na dunia inajua.
Katika taarifa aliyoitoa jana kwa vyombo vya habari kupitia msemaji wake, Aboubakary Liongo, Lowassa alisema ushindi wake uliporwa na kupewa mtu mwingine lakini amewataka Watanzania wasikate tamaa.
Lowassa pia aliwashukuru Watanzania kwa kumpa kura nyingi wakati wa uchaguzi huo, kura ambazo alidai kuwa zilimfanya kuongoza dhidi ya wagombea wengine.
Mimi binafsi ni miongoni mwa watu tuliomuunga mkono Lowassa humu jukwaani na kuwashawishi watu wamuunge mkono, lakini katika matokeo, naamini kilichotokea ndicho Watanzania wengi zaidi walichotaka, hivyo ukiamua kufikiri kwa kutumia hisia na mapenzi kuwa ni kweli Lowassa alishinda lakini CCM wameiba ushindi wake, then utakuwa very right kujifurahisha nafsi yako, lakini ukifikiri kwa kutumia logic, lazima utakuwa na mashaka na madai haya ya Lowassa wetu kushinda!.
Uchaguzi umeendeshwa kwa mfumo wa uwazi wa hali ya juu kupitia mawakala wa vyama, na UKAWA iliweka mawakala wake kila kituo!. Matokeo ya kila kituo, yanajumlishwa na kubandikwa vituoni, huku kila wakala akipewa nakala halisi yenye sahihi yake kuyakubali matokeo hayo, hivyo kama ni kweli CCM ilichakachua, by now, UKAWA imepata muda wa kutosha kujumlisha matokeo yao ya nchi nzima kupitia zile nakala za mawakala wao, hivyo sasa wangekuja to an open na kutueleza kuwa matokeo halisi kwa mujibu wa tallying ya UKAWA ni haya vs matokeo ya NEC, hivyo kutupa fursa ya kuuona huo uchakachuaji wa CCM na NEC yake jinsi ulivyofanyika!. Hizi blanket statements za Lowassa alishinda ila kaibiwa, sasa zitoshe!, uchaguzi umekwisha, sasa ni kazi ya kulijenga taifa kupitia falsafa ya "hapa ni kazi tuu!".
Ila kama ni kweli kabisa, Lowassa ndie aliyeshinda kihalali lakini CCM ikaiba kura kwa kuchakachua, then tutashuhudia 'karma' ikiishughulikia CCM kikamilifu hii ikimaanisha hata miaka 5 tuu hadi 2020 mbele ya karma, itakuwa ni mbali!, nikimaanisha haitafika, kuna kitu Mungu, atawaambia CCM!. Ila pia kama Lowassa anajua hakushinda, bali anaendelea kujitangazia ushindi wa mezani ili tuu kumkwamisha mshindi halali Magufuli, ili wale wafuasi wake milioni 6 waliompa kura zao Lowassa, wasimpe ushirikiano Magufuli, then hiyo hiyo karma, haina mswalie Mtume, itamshughulia Lowassa, na hiyo 2020 itakuwa mbali!.
Jee ni nini kitamkuta Magufuli and Lowassa within the next five years kuelekea 2020 with reference to 'karma', Lets just sit, wait and see the oparatives of karma, sisi tubaki tuu kuwa mashahidi tuu na mashuhuda ya kitakachotokea, tutakumbushana humu.
Namalizia kwa kusisitiza huu ni Ushauri Wa Bure kwa Lowassa, Hata Kama Ni Kweli Uliibiwa Kura, Kaa Kimya, Usijipiganie Haki Yako Ya Ushindi Halali Kwa Kupiga Makelele, Bali Mwachie Mungu YEYE Ndiye Akupiganie!.
Unachotakiwa kufanya kwa sasa ni kujiuzulu siasa kwa heshima na kwenda kuchunga ng'ombe wako kama ulivyoahidi, kwa sababu 2020 itakuwa too little too late for you.
Nawatakia Jumapili Njema.
Paskali
NB. Mimi ni shauri wa bure wa kujitolea, hizi ni baadhi ya shauri mbalimbali za bure niliowahi kuisha kutoa
Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli, Kubali Matokeo
Ushauri Wa Bure kwa ENL, Chadema na UKAWA, Tuyakubali Matokeo
Ushauri wa bure kwa CCM: Hope for the best but get prepared for ..
Pasco wa JF atoa Ushauri wa bure kwa wana JF - Page 3 - Jamii ...
Ushauri wa Bure kwa Zitto, Shika lako, ya wengine waachie wenyewe!
Ushauri wa Bure kwa ZZK!-Congratulations..But
Kumuepushia aibu ya Kushindwa, CCM isimsimamishe Dr. Shein - Jamii ...
Ushauri wa bure kwa Mhe. Lowassa: Ili kuilinda Heshima yako
Ushauri wa bure kwa Mhe. Lowassa: Ili kuilinda Heshima yako ..
Ushauri wa bure kwa Rais na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi - Jamii ...
News Alert: Kuelekea 2015, USHAURI wa Bure kwa Mhe LOWASSA - Jamii ...
Ushauri wa Bure Kwa Mhe. Zitto on Escrow Report: Please Keep Quite ..
ENL, CHADEMA na UKAWA, Tuyakubali Matokeo!, Tushukuru Kwa Yote ..
Ushauri: Lowassa Asikanyage Arumeru!, Atamponza Sioi!
Ushauri wa Bure Kwa Mhe. Rais Magufuli, Futilia mbali utawala wa sheria ..
Wito Kwa Watanzania:Tuitumie Nguvu ya Kauli, Kumuingiza Ikulu .[/quote]