Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,653
- 20,987
Ni kipi physical ambacho nchi husika zimefaidika nacho, binafsi sioni chochote ambacho labda tunaweza kuiga na kukifuata toka katika nchi hizo ambazo zilialika vyama vya upinzani viwaongoze, zaidi ya gasia tu.
Zimbabwe na Zambia vyama vya upinzani vimeshindwa hata kudhibiti kipindupindu mpaka kufikia kuomba msaada wa kupigiwa dawa kwenye vyoo vyao.
Mwenye ushahidi wa chama cha upinzani kilichoingia madarakani na ambacho kikawaletea wananchi wake maendeleo awake hapa ili tujifunze kwa kina ufanisi wa vyama vya upinzani hasa katika Afrika yetu hii.
Opposition Wame fail by100% kila walipo twaa ushindi na kusababisha wananchi kujutia!
#Waafrika_ni_waafrika_tu.
#TUMEFANANA.
Zimbabwe na Zambia vyama vya upinzani vimeshindwa hata kudhibiti kipindupindu mpaka kufikia kuomba msaada wa kupigiwa dawa kwenye vyoo vyao.
Mwenye ushahidi wa chama cha upinzani kilichoingia madarakani na ambacho kikawaletea wananchi wake maendeleo awake hapa ili tujifunze kwa kina ufanisi wa vyama vya upinzani hasa katika Afrika yetu hii.
Opposition Wame fail by100% kila walipo twaa ushindi na kusababisha wananchi kujutia!
#Waafrika_ni_waafrika_tu.
#TUMEFANANA.