Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,155
- 20,332
Sasa hivi wanajipitisha pitisha eti wanasikiliza kero.
Kero gani ambazo hujaziona na kuzifanyia kazi miaka mitano yoote ambazo utatatua kwa miezi michache iliyobaki.
Sijaona watu wanafiki kama hawa.
Eti wako madarakani miaka 60 ya Uhuru leo ndio wanajifanya hawajui kama Wanachi wana Maji, shida ya Umeme, Shida ya afya na hali mbaya ya uchumi na miundo mbinu ya kijamii??
Tumewahtukia mkimaliza muzura mrudi kwenu maofisini kutanua maisha ila kiukweli nyinyi watu hamna mnachhojali kuhusu Maisha yetu.
Uchaguzi umewachangaya na mmeparanganyika.
Mnaomba msaada kwa mtu mliyemnyima mkidhani amesahau.
Kero gani ambazo hujaziona na kuzifanyia kazi miaka mitano yoote ambazo utatatua kwa miezi michache iliyobaki.
Sijaona watu wanafiki kama hawa.
Eti wako madarakani miaka 60 ya Uhuru leo ndio wanajifanya hawajui kama Wanachi wana Maji, shida ya Umeme, Shida ya afya na hali mbaya ya uchumi na miundo mbinu ya kijamii??
Tumewahtukia mkimaliza muzura mrudi kwenu maofisini kutanua maisha ila kiukweli nyinyi watu hamna mnachhojali kuhusu Maisha yetu.
Uchaguzi umewachangaya na mmeparanganyika.
Mnaomba msaada kwa mtu mliyemnyima mkidhani amesahau.