Chalamila kuwa makini sana na kujiingiza kwenye mambo marefu kuliko wewe. Kwenye hili la maamndanano kaa pembeni hizi sio zama za Magufuli.
Hizi ni zama za uwekezaji, watalii, majirani kutumia bandari , michezo ya kimataifa Tanzania. Wenzako wanakuacha kama chambo ili yakiaribika wakufukuze wewe mwenyewe bila kuleta lawama zozote kwa wengine.
Chadema kisheria wapo sawa, maandamano ni ya amani usije kufikiri Mama Samia hajali picha yake na kujali watu wanamsemaje kama kiongozi.
Polisi na wanajeshi wakileta fujo inaweza kuleta sifa mbaya na kupunguza watalii na tatizo halitakuwa Chadema litakuwa wewe.
Hivyo ni bora sana Polisi walinde amani Chadema wafanye maandanano yao kwa hayo maasaa matano kuliko kuleta matatizo ya kujitakia na wenzako sheria iko upande wao.
Kisheria mkuu wa mkoa hauhusiki kwenye lolote hapa.
Hizi ni zama za uwekezaji, watalii, majirani kutumia bandari , michezo ya kimataifa Tanzania. Wenzako wanakuacha kama chambo ili yakiaribika wakufukuze wewe mwenyewe bila kuleta lawama zozote kwa wengine.
Chadema kisheria wapo sawa, maandamano ni ya amani usije kufikiri Mama Samia hajali picha yake na kujali watu wanamsemaje kama kiongozi.
Polisi na wanajeshi wakileta fujo inaweza kuleta sifa mbaya na kupunguza watalii na tatizo halitakuwa Chadema litakuwa wewe.
Hivyo ni bora sana Polisi walinde amani Chadema wafanye maandanano yao kwa hayo maasaa matano kuliko kuleta matatizo ya kujitakia na wenzako sheria iko upande wao.
Kisheria mkuu wa mkoa hauhusiki kwenye lolote hapa.