Hatimaye Marekani yairejesha tena Tanzania kwenye Mpango wa "Mabilioni ya Milenia". Ni baada ya kuondolewa Awamu ya 5

The Sunk Cost Fallacy 2

JF-Expert Member
Nov 8, 2022
7,382
8,437
Moja kwa moja kwenye mada.

Hatimaye Beberu USA ameirejesha tena Tanzania kwenye mpango wa kufaidi pesa za ruzuku(grants) kupitia programu ya "Millennium Challenge Corporation" -MCC ambapo Serikali ya Marekani hutoa pesa za ruzuku kama motisha kwa nchi ambayo inafuata Demokrasia, Uwazi, Haki za Binadamu na Uhuru wa Maoni.

Kulingana na taarifa iliyotolewa na Ubalozi wa Marekani Nchini Sanjali na Tanzania,Nchi nyingine zilizorejeshwa ni The Philippines na Cabo Verde baada ya kutimiza vigezo vinavyotakiwa.

Hatua hii imekuja baada ya Tanzania kutolewa kwenye mpango huo Awamu ya 5 kwa kushutumiwa kukandamiza Haki za kiraia hivyo kuikosesha nchi mabilioni ya pesa za bure.

Ikumbukwe Tanzania ilikuwa inapokea Dola za Marekani Milioni 700 (Trilion 1.75) ambazo zilikuwa zinaelekezwa kwenye miradi ya kipaombele. Baadhi ya miradi ambayo ilijengwa Kupitia msaada huo ni miradi ya umeme Kigoma, Barabara za kutoka Songea-Masasi, Sumbawanga-Tunduma, Kigoma-Uvinza, Daraja la Kikwete Mto Malagarasi na baadhi ya miradi ya Afya.

View: https://twitter.com/dailynewstz/status/1735938236332052571?t=Lvd1NCTWdI-HN5Ynd-hIeg&s=19

My Take
Hongera sana Rais Samia hatimaye juhudi zako za 4Rs na diplomasia ya Uchumi zimeleta matokeo.

Hakuna mtu anaweza kataa pesa za bure ambazo masharti yake ni Ustawi wa jamii yako.

View: https://www.instagram.com/p/C00by-aqGVO/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==

View: https://twitter.com/MCCgov/status/1735335152052572200?t=xtn0zND3v8EDARAZ2ITCFA&s=19
 
Moja kwa moja kwenye mada.

Hatimaye Beberu USA ameirejesha tena Tanzania kwenye mpango wa kufaidi pesa za Msaada kupitia programu ya Changamoto za Milenium "Millennium Challenge Corporation" ambapo Serikali ya Marekani hutoa pesa za ruzuku kama motisha kwa nchi ambayo inafuata Demokrasia, Uwazi, Haki za Binadamu na Uhuru wa Maoni.

Hatua hii imekuja baada ya Tanzania kutolewa kwenye mpango huo Awamu ya 5 kwa kushutumiwa kukandamiza Haki za kiraia hivyo kuikosesha nchi mabilioni ya pesa za bure.

Ikumbukwe Tanzania ilikuwa inapokea Dola za Marekani Milioni 700 (Trilion 1.75) ambazo zilikuwa zinaelekezwa kwenye miradi ya kipaombele. Baadhi ya miradi ambayo ilijengwa Kupitia msaada huo ni miradi ya umeme Kigoma, Barabara za kutoka Songea-Masasi, Sumbawanga-Tunduma, Kigoma-Uvinza, Daraja la Kikwete Mto Malagarasi na baadhi ya miradi ya Afya.

View attachment 2843021

My Take
Hongera sana Rais Samia hatimaye juhudi zako za 4Rs na diplomasia ya Uchumi zimeleta matokeo.

Hakuna mtu anaweza kataa pesa za bure ambazo masharti yake ni Ustawi wa jamii yako.
Tulipoondolewa akili ikachangamka tukaingia uchumi wa kati na miradi ya maana ikaanzishwa kwenye awamu ya 5.

Ombaomba na majinga yatashangilia huu upuuzi wa kurudishwa
 
Tulipoondolewa akili ikachangamka tukaingia uchumi wa kati na miradi ya maana ikaanzishwa kwenye awamu ya 5.

Ombaomba na majinga yatashangilia huu upuuzi wa kurudishwa
🗑️🗑️🗑️🗑️

Kati ya awamu ya 6 vs 5 ,ipi Inatekeleza miradi Mingi? Umesikia mahala popote mama anatoa visingizio vya kipumbavu vya Sgr sijui bwawa kukwepa majukumu?

Mingine hii hapa,Tactic awamu ya 2,mind you awamu ya kwanza utekelezwaji unaendelea
20231215_095204.jpg


Storage facilities Dar Port
20231215_095236.jpg
 
HAKI ZA KIJAMII NA HAKI ZA BINADAMU..........

bibi hata hajali, yeye ni kukinga tu mikono...........

tutakuja kupata waziri mchicha mwiba muda sio mrefu ili kuwafurahisha mabeberu
 
Back
Top Bottom