A ably_yba New Member Nov 20, 2023 1 1 Feb 14, 2024 #1 Naomba ufafanuzi juu ya hili swala la deni la taifa. Hivi kuongezeka kwa deni la taifa Kuna athari kwa nchi au wananchi?
Naomba ufafanuzi juu ya hili swala la deni la taifa. Hivi kuongezeka kwa deni la taifa Kuna athari kwa nchi au wananchi?
Mhafidhina07 JF-Expert Member Aug 1, 2014 2,553 2,992 Feb 14, 2024 #2 kwani wewe ukiwa na madeni unapata athari gani?
Mzalendo Uchwara JF-Expert Member Jan 26, 2020 3,718 11,708 Feb 14, 2024 #3 Kubwa sana. Mapato mengi ya serikali hususani yale ya kigeni yatakuwa yanatumika kuhudumia deni. Mwisho wa siku kutakuwa na uhaba wa fedha za kigeni na hivyo kuleta ugumu wa kuagiza bidhaa zinazotoka nje ya nchi kama vile mafuta. Hii pia inapelekea thamani ya shilingi kuporomoka na kupelekea mfumuko wa bei.
Kubwa sana. Mapato mengi ya serikali hususani yale ya kigeni yatakuwa yanatumika kuhudumia deni. Mwisho wa siku kutakuwa na uhaba wa fedha za kigeni na hivyo kuleta ugumu wa kuagiza bidhaa zinazotoka nje ya nchi kama vile mafuta. Hii pia inapelekea thamani ya shilingi kuporomoka na kupelekea mfumuko wa bei.
M Mjanja M1 JF-Expert Member Oct 7, 2018 3,660 12,306 Feb 14, 2024 #4 Haya ndio mambo napenda kuona. PambanaZaidi/CottonandMore