Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Wengi wanasema Lowassa alisalitiwa na rafiki yake. Alikipigania Chama kikamtosa. Alikubali kuumia sababu ya Chama.
Tofauti ya Kikwete na Magufuli.
Kikwete alikuwa anakuchukia huku anacheka nawe. Ni aina ya watu wanafiki, wachawi na wakuda sana. Ukimsoma sana au ukiuliza sana habari zake unaweza kuja kuta hata huko nyuma alishawahi wadhuru au taka wadhuru watu kwa namna hii ya tabia.
Magufuli. Alikuwa anakuchukia na anakuonesha anakuchukia. Huyu ni mtu mzuri maana unajua how to deal with him. Kuwa akienda mashariki we unaenda zako magharibi. Msijuane, msifuatane. Mimi napenda mtu anayejiamini katika hisia zake. Anasema anachofikiria kibaya au kizuri.
Msikilize Prof. Lipumba kaamua kufunguka.
Tofauti ya Kikwete na Magufuli.
Kikwete alikuwa anakuchukia huku anacheka nawe. Ni aina ya watu wanafiki, wachawi na wakuda sana. Ukimsoma sana au ukiuliza sana habari zake unaweza kuja kuta hata huko nyuma alishawahi wadhuru au taka wadhuru watu kwa namna hii ya tabia.
Magufuli. Alikuwa anakuchukia na anakuonesha anakuchukia. Huyu ni mtu mzuri maana unajua how to deal with him. Kuwa akienda mashariki we unaenda zako magharibi. Msijuane, msifuatane. Mimi napenda mtu anayejiamini katika hisia zake. Anasema anachofikiria kibaya au kizuri.
Msikilize Prof. Lipumba kaamua kufunguka.