Kama ni kweli Bunge Maalumu la Katiba lilitumika kumdhoofisha Lowassa kama alivyodai Lissu, basi Katiba mpya bado iko mbali sana!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,018
142,058
Siyo kwamba nampinga au namkubalia Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu bali kauli yake inatafakarisha sana

Tundu Lisu anadai kwenye Bunge Maalumu la Katiba kuna Watu waliandaliwa kumdhoofisha Lowassa kisiasa, sijapata mantiki kabisa yaani Katiba mpya vs Individual Lowassa wapi na wapi?!

Ngoja niipitie Hii Katiba mpya ya KKKT Labda nitajifunza chochote maana hakuna Katiba mpya nyingine ya kuifanyia rejea hapa nchini

Nawatakieni Sabato Njema 😀
 
The opposite is true. Lowassa ni miongoni mwa watu waliohujumu katiba mpya akiamimi hii iliyopo ndiyo ingempa nafuu yeye kuwa Rais.
 
Siyo kwamba nampinga au namkubalia Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu bali kauli yake inatafakarisha sana

Tundu Lisu anadai kwenye Bunge Maalumu la Katiba kuna Watu waliandaliwa kumdhoofisha Lowassa kisiasa, sijapata mantiki kabisa yaani Katiba mpya vs Individual Lowassa wapi na wapi?!

Ngoja niipitie Hii Katiba mpya ya KKKT Labda nitajifunza chochote maana hakuna Katiba mpya nyingine ya kuifanyia rejea hapa nchini

Nawatakieni Sabato Njema 😀
Iweke hapa katiba ya KKKT
 
Lissu amekuwa mtetezi wa Lowasa siku hizi wakati amewahi kukiri kuwa List of shame ambapo Lowasa walimwita Fisadi aliiandika kwa mkono wake.

Pili Humphrey polepole aliyekuwa mjumbe wa tume ya Warioba ya ishu ya katiba mpya aliseka kuwa miongoni mwa watu waliokuwa wanasabotage upatikanaji wa katiba bora ni Lowasa. Lowasa alikuwa anatsoa katiba mpya isipunguze maguvu ya rais kwa sababu na yeye alikuwa anataka Urais wa kifalme.

Lissu hawezi kutueleza chochote kuhusu Lowasa wakati chama chake ndocho kilichowatangazia watanzania list ya mafisadi nchini pale mwembeyanga.
 
Lissu amekuwa mtetezi wa Lowasa siku hizi wakati amewahi kukiri kuwa List of shame ambapo Lowasa walimwita Fisadi aliiandika kwa mkono wake.

Pili Humphrey polepole aliyekuwa mjumbe wa tume ya Warioba ya ishu ya katiba mpya aliseka kuwa miongoni mwa watu waliokuwa wanasabotage upatikanaji wa katiba bora ni Lowasa. Lowasa alikuwa anatsoa katiba mpya isipunguze maguvu ya rais kwa sababu na yeye alikuwa anataka Urais wa kifalme.

Lissu hawezi kutueleza chochote kuhusu Lowasa wakati chama chake ndocho kilichowatangazia watanzania list ya mafisadi nchini pale mwembeyanga.
Tundu Lisu: Lowassa alishatubu Dhambi zake kwa kujiuzulu Uwaziri mkuu, sisi Wakristo tunakielewa Vizuri kitendo cha kutubu!
 
Lissu amekuwa mtetezi wa Lowasa siku hizi wakati amewahi kukiri kuwa List of shame ambapo Lowasa walimwita Fisadi aliiandika kwa mkono wake.

Pili Humphrey polepole aliyekuwa mjumbe wa tume ya Warioba ya ishu ya katiba mpya aliseka kuwa miongoni mwa watu waliokuwa wanasabotage upatikanaji wa katiba bora ni Lowasa. Lowasa alikuwa anatsoa katiba mpya isipunguze maguvu ya rais kwa sababu na yeye alikuwa anataka Urais wa kifalme.

Lissu hawezi kutueleza chochote kuhusu Lowasa wakati chama chake ndocho kilichowatangazia watanzania list ya mafisadi nchini pale mwembeyanga.
Lissu anaongea Ukweli. Anayoyaongea hayahusiani na Ufisa wa Lowasa.

Matusi waliyommiminia CCM kwenye uchaguzi wa 2015 na uhakika yaliiumiza familia ya Lowasa kuliko hiyo list of shame.

List of shame ilikuwa na majina 10 including Mkapa na Rostam. CCM kupitia media waliipromote kumtarget Lowasa ili asifanikiwe kwenye malengo yake ya Urais. Lakini yale matusi ya CCM 2015 yalikuwa too personal na ya udhalilishaji.
 
Siyo kwamba nampinga au namkubalia Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu bali kauli yake inatafakarisha sana

Tundu Lisu anadai kwenye Bunge Maalumu la Katiba kuna Watu waliandaliwa kumdhoofisha Lowassa kisiasa, sijapata mantiki kabisa yaani Katiba mpya vs Individual Lowassa wapi na wapi?!

Ngoja niipitie Hii Katiba mpya ya KKKT Labda nitajifunza chochote maana hakuna Katiba mpya nyingine ya kuifanyia rejea hapa nchini

Nawatakieni Sabato Njema
.
Kipanya~2.jpg
 
Lissu anaongea Ukweli. Anayoyaongea hayahusiani na Ufisa wa Lowasa.

Matusi waliyommiminia CCM kwenye uchaguzi wa 2015 na uhakika yaliiumiza familia ya Lowasa kuliko hiyo list of shame.

List of shame ilikuwa na majina 10 including Mkapa na Rostam. CCM kupitia media waliipromote kumtarget Lowasa ili asifanikiwe kwenye malengo yake ya Urais. Lakini yale matusi ya CCM 2015 yalikuwa too personal na ya udhalilishaji.
Kama yale ya Nape na Msukuma yalikuwa matusi ya nguoni kabisa
 
Siyo kwamba nampinga au namkubalia Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu bali kauli yake inatafakarisha sana

Tundu Lisu anadai kwenye Bunge Maalumu la Katiba kuna Watu waliandaliwa kumdhoofisha Lowassa kisiasa, sijapata mantiki kabisa yaani Katiba mpya vs Individual Lowassa wapi na wapi?!

Ngoja niipitie Hii Katiba mpya ya KKKT Labda nitajifunza chochote maana hakuna Katiba mpya nyingine ya kuifanyia rejea hapa nchini

Nawatakieni Sabato Njema 😀
Wakati mwingine Lissu anaongea pumba Lowassa ni mmojawapo wa walioiharibu mchakato wa katiba kwa kujua raisi ajae ni yeye na ataendelea kutawala kwa katiba ya zamani!
 
Back
Top Bottom