Rais Mwinyi amteua Shariff Ali Shariff kuwa Waziri wa Uchumi na Uwekezaji Zanzibar

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,812
11,987
RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemteua Shariff Ali Shariff, kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji visiwani humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.

Uteuzi huo umetangazwa na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar, Mhandisi Zena Said
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mhandisi Zena, uteuzi wa Shariff unaanza leo tarehe 21 Februari 2024.

“Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amemteua Shariff kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji.

Shariff ataapishwa tarehe 22 Februari 2024 saa 8.00 mchana katika ukumbi wa Baraza la Mapinduzi-Ikulu Zanzibar. Uteuzi huo unaanza leo,” imesema taarifa hiyo.
 
RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemteua Shariff Ali Shariff, kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji visiwani humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.

Uteuzi huo umetangazwa na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar, Mhandisi Zena Said
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mhandisi Zena, uteuzi wa Shariff unaanza leo tarehe 21 Februari 2024.

“Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amemteua Shariff kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji.

Shariff ataapishwa tarehe 22 Februari 2024 saa 8.00 mchana katika ukumbi wa Baraza la Mapinduzi-Ikulu Zanzibar. Uteuzi huo unaanza leo,” imesema taarifa hiyo.
Hivi zaa kushika angalau kidog
 
Back
Top Bottom