Kwa yanayoendelea ni wazi kuwa kuna watu wanamhujumu Rais Samia. Hatua za haraka zichukuliwe kuwadhibiti

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
10,224
22,303
Mgao mkali wa umeme, gharama kubwa za Internet (mabando), uhaba wa sukari na vitu kuchelewa kutoka bandarini.

Ni wakati sahihi Mama kufuatilia wazembe wanaomhujumu na kuwachukulia hatua kali. Asiwachekee. Hizi siasa za waziri Bashe sio za kusikiliza. Apigwe tu chini maana kashindwa kazi. Bandarini nako kuna shida. Mizigo inakaa muda mrefu haitoki.

Imefikia wakati hata Simba wa bahari Silent Ocean ukiwapigia simu wanakujibu tuombe tu Mungu mizigo itoke mapema kwa sababu hata wao hawajui itatoka lini. Kuhusu umeme sina haja hata ya kuandika ni madhara kiasi gani yanatokea.

Watendaji wanatupa ahadi hewa zinazokera sana. Kama Mama kashaidhinisha malipo ya matrilioni inashindikana nini suala la umeme kuisha?

Nimeandika kama mtu ninayependa sana uongozi wa Mama Samia na nisingependa kuona 2025 anashinda kwa shida. Ushindi wake unatakiwa uwe wa mapema tu. Haya mambo kutokea 2024 haijakaa vizuri kimkakati.
 
Hakuna kauli inanikera kama hii, Rais anahujumiwa vipi?
Amiri Jeshi Mkuu wa nchi anahujumiwa? Yani kwamba kuna watu wana mamlaka juu ya Rais?

Haya ndio yale mambo ya “I wish I could be IGP” Ni kutokana na Rais kutokutambua nafasi yake.

Kwa yanayoendelea Rais hawezi kukwepa lawama, watendaji wake wakishindwa kazi yeye ndio mwenye mamlaka.
 
Hakuna kauli inanikera kama hii, Rais anahujumiwa vipi?
Amiri Jeshi Mkuu wa nchi anahujumiwa? Yani kwamba kuna watu wana mamlaka juu ya Rais?

Haya ndio yale mambo ya “I wish I could be IGP” Ni kutokana na Rais kutokutambua nafasi yake.

Kwa yanayoendelea Rais hawezi kukwepa lawama, watendaji wake wakishindwa kazi yeye ndio mwenye mamlaka.
Umemaliza Nifah.....👍
 
Mgao mkali wa umeme, gharama kubwa za Internet (mabando), uhaba wa sukari na vitu kuchelewa kutoka bandarini.

Ni wakati sahihi Mama kufuatilia wazembe wanaomhujumu na kuwachukulia hatua kali. Asiwachekee. Hizi siasa za waziri Bashe sio za kusikiliza. Apigwe tu chini maana kashindwa kazi. Bandarini nako kuna shida. Mizigo inakaa muda mrefu haitoki.

Imefikia wakati hata Simba wa bahari Silent Ocean ukiwapigia simu wanakujibu tuombe tu Mungu mizigo itoke mapema kwa sababu hata wao hawajui itatoka lini. Kuhusu umeme sina haja hata ya kuandika ni madhara kiasi gani yanatokea.

Watendaji wanatupa ahadi hewa zinazokera sana. Kama Mama kashaidhinisha malipo ya matrilioni inashindikana nini suala la umeme kuisha?

Nimeandika kama mtu ninayependa sana uongozi wa Mama Samia na nisingependa kuona 2025 anashinda kwa shida. Ushindi wake unatakiwa uwe wa mapema tu. Haya mambo kutokea 2024 haijakaa vizuri kimkakati.
Hao unaowaita wanamhujumu ndio wachangiaji was chama.wakati wa kampeni!!

Hakuna Cha hujuma Wala nini!

Wanajuana hao!!
 
Hakuna kauli inanikera kama hii, Rais anahujumiwa vipi?
Amiri Jeshi Mkuu wa nchi anahujumiwa? Yani kwamba kuna watu wana mamlaka juu ya Rais?

Haya ndio yale mambo ya “I wish I could be IGP” Ni kutokana na Rais kutokutambua nafasi yake.

Kwa yanayoendelea Rais hawezi kukwepa lawama, watendaji wake wakishindwa kazi yeye ndio mwenye mamlaka.
YUko bize angani halafu chawa anasema anahujumiwa
 
Mgao mkali wa umeme, gharama kubwa za Internet (mabando), uhaba wa sukari na vitu kuchelewa kutoka bandarini.

Ni wakati sahihi Mama kufuatilia wazembe wanaomhujumu na kuwachukulia hatua kali. Asiwachekee. Hizi siasa za waziri Bashe sio za kusikiliza. Apigwe tu chini maana kashindwa kazi. Bandarini nako kuna shida. Mizigo inakaa muda mrefu haitoki.

Imefikia wakati hata Simba wa bahari Silent Ocean ukiwapigia simu wanakujibu tuombe tu Mungu mizigo itoke mapema kwa sababu hata wao hawajui itatoka lini. Kuhusu umeme sina haja hata ya kuandika ni madhara kiasi gani yanatokea.

Watendaji wanatupa ahadi hewa zinazokera sana. Kama Mama kashaidhinisha malipo ya matrilioni inashindikana nini suala la umeme kuisha?

Nimeandika kama mtu ninayependa sana uongozi wa Mama Samia na nisingependa kuona 2025 anashinda kwa shida. Ushindi wake unatakiwa uwe wa mapema tu. Haya mambo kutokea 2024 haijakaa vizuri kimkakati.
Hakuna hujuma hapo, ni uwezo umefika kikomo sera na ilani zimeshindwa kutekelezeka. Uongo mwingi sana majukwaani na viongozi kujaza matumbo yako hakuna mtanzania mwenye matumaini na chama cha mapinduzi.
 
Hakuna kauli inanikera kama hii, Rais anahujumiwa vipi?
Amiri Jeshi Mkuu wa nchi anahujumiwa? Yani kwamba kuna watu wana mamlaka juu ya Rais?

Haya ndio yale mambo ya “I wish I could be IGP” Ni kutokana na Rais kutokutambua nafasi yake.

Kwa yanayoendelea Rais hawezi kukwepa lawama, watendaji wake wakishindwa kazi yeye ndio mwenye mamlaka.
Nifah umeshawahi kuwa hata na biashara yenye wafanyakazi zaidi ya watano?
 
Back
Top Bottom