johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,024
Waziri wa Uchumi Prof Kitila Mkumbo amesema Serikali imebana Matumizi Viongozi hawaishi Maisha ya Anasa Magari yamebaki kwa viongozi wa juu tu.
"Watumishi wengine wote tunatumia Magari yetu kama alivyoainisha Waziri wa Fedha Dr. Mwigullu wakati anasoma bajeti ya Nchi" amesisitiza Prof. Kitila.
Source: Jambo TV
Mlale Unono 😀😀🐼
"Watumishi wengine wote tunatumia Magari yetu kama alivyoainisha Waziri wa Fedha Dr. Mwigullu wakati anasoma bajeti ya Nchi" amesisitiza Prof. Kitila.
Source: Jambo TV
Mlale Unono 😀😀🐼