Leo nakupongeza kwa kuandika kwa kifupi, sio ile migazeti tulikuzoea nayo!.Kwa sasa CHADEMA ni lazima wakubali ukweli mchungu kuwa wamepuuzwa na watanzania.
Kwahio Shida iko wapi?View attachment 2911056Hii ni Mbeya + viongozi wote wa kitaifa + waandishi wa habari+kwa yeyote anayejisikia
CHADEMA ikipuuzwa na wananchi si ndiyo shangwe kwenu....tatizo liko wapiKwa sasa CHADEMA ni lazima wakubali ukweli mchungu kuwa wamepuuzwa na watanzania.
Hamas ndio wameibafilisha Dunia hadi dollar unaitafuta kwa tochi dadeki 🐼Kujiita chama kikuu cha upinzani badala ya kujiIta HAMAS AU TWAWEZA
Kwani mumeo hawezi kuanzisha chama?Kujiita chama kikuu cha upinzani badala ya kujiIta HAMAS AU TWAWEZA
Dunia imeshabadilika ndio sasa CCM inaongozwa na Balozi Nchimbi na juzi alikuwa Vatican kwa Baba Mtakatifu Papa Francis aketiye Kitini pake Mtume Petro 😂unataka madailiko ya dunia?