"Mabadiliko hayawezi kuletwa na watu wale wale walioleta matatizo, yaani matatizo hayawezi kutatuliwa na kiwango cha fikra kile kile kilicholeta matatizo, matatizo tuliyonayo ya kukosa maji, umeme, umasikini yameletwa na CCM, CCM haiwezi kubadilisha hayo matatizo, CCM ni sehemu ya matatizo, tatizo haliwezi kujitatua lenyewe, kwa hiyo tunachohitaji watu watuunge mkono tufanye mabadiliko ili kubadilisha maishaa yao" -Heche
John Heche amezungumza hayo alipofanya mahojiano maalumu na Jambo TV.
John Heche amezungumza hayo alipofanya mahojiano maalumu na Jambo TV.