Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Siku zote ukiwa muongo basi jitahidi uwe na kumbukumbu ili usije kusahau na kutoa siri ukaumbuka.
Watanzania tulikuwa tunawasema ccm kuwa wanasomba watu kwa mafuso kutoka sehemu za mashambani kwenda kwenye mikutano yao.
Walikuwa wanakataa kabisa kuwa hao ni watu waliojitokeza kwa hiari yao kwenda kwenye mikutano yao maana ccm ni chama pendwa.
Leo hii Tulia kaamua kutema ukweli kuwa wao ccm huwa wanawapelekea magari kuwasomba wananchi ili waende kwenye mikutano yao.
Asante sana dada yetu miss Mbeya.
Watanzania tulikuwa tunawasema ccm kuwa wanasomba watu kwa mafuso kutoka sehemu za mashambani kwenda kwenye mikutano yao.
Walikuwa wanakataa kabisa kuwa hao ni watu waliojitokeza kwa hiari yao kwenda kwenye mikutano yao maana ccm ni chama pendwa.
Leo hii Tulia kaamua kutema ukweli kuwa wao ccm huwa wanawapelekea magari kuwasomba wananchi ili waende kwenye mikutano yao.
Asante sana dada yetu miss Mbeya.