Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,722
- 218,283
Hivi Nchini Tanzania hakuna Wizara ya Viwanda na Biashara , ambayo ndio Mhusika halisi wa Biashara na Viwanda?
Naandika haya kwa Uzoefu, mimi ni Mfanyabiashara na namiliki Kiwanda (siyo cha sukari). Sijawahi kuelekezwa kusaini nyaraka yoyote kwenye Wizara ya kilimo angalau mara chache nimefika kwenye Wizara ya Mambo ya Nje , hii ni kwa sababu biashara yangu kwa 95% inahusiana na Nchi za kigeni , USA , CANADA , na kwa kiasi England na S.Africa.
Swali langu ni hili. Kwanini Waziri wa kilimo ashughulikie masuala ya Biashara?
Naandika haya kwa Uzoefu, mimi ni Mfanyabiashara na namiliki Kiwanda (siyo cha sukari). Sijawahi kuelekezwa kusaini nyaraka yoyote kwenye Wizara ya kilimo angalau mara chache nimefika kwenye Wizara ya Mambo ya Nje , hii ni kwa sababu biashara yangu kwa 95% inahusiana na Nchi za kigeni , USA , CANADA , na kwa kiasi England na S.Africa.
Swali langu ni hili. Kwanini Waziri wa kilimo ashughulikie masuala ya Biashara?