Ufisadi wa zaidi ya billion 80 kwenye ununuzi wa ndege ya mizigo

mike2k

JF-Expert Member
May 12, 2016
1,458
3,127
Leo katika kupitia pitia masuala ya nchi nakutana na article katika gazeti la mwananchi kuhusu ufisadi wa zaidi ya billion 80 kwenye ununuzi wa ndege ya mizigo. Kulingana na ripoti ya Mhasibu Mkuu na Mdhibiti (CAG) ya hivi karibuni, kasoro katika bei ya ndege mpya ya mizigo ya Air Tanzania ambayo inatarajiwa kufikishwa mnamo Aprili 2023 imefunuliwa. Hati ya ndege iliongezeka kwa dola milioni 49. Ndege hiyo ni kati ya ndege nne za Boeing ambazo zilinunuliwa na serikali ya Tanzania mnamo 2021 kwa gharama jumla ya dola milioni 726, ikiwa ni pamoja na Dreamliner 787-8 na ndege mbili za 737 MAX.

Aise kuna kuiba lakini walioiba hii fedha. Hii ni nafasi kwa bunge hili la chama kimoja ku prove kwa wananchi kuwa wana meno ya kushughulikia ufisadi. Ni mategemeo yetu report ya CAG itakapofika bungeni itafanyiwa kazi vizuri ili hawa wahuni warudishe hiyo fedha aise.
 
Leo katika kupitia pitia masuala ya nchi nakutana na article katika gazeti la mwananchi kuhusu ufisadi wa zaidi ya billion 80 kwenye ununuzi wa ndege ya mizigo. Kulingana na ripoti ya Mhasibu Mkuu na Mdhibiti (CAG) ya hivi karibuni, kasoro katika bei ya ndege mpya ya mizigo ya Air Tanzania ambayo inatarajiwa kufikishwa mnamo Aprili 2023 imefunuliwa. Hati ya ndege iliongezeka kwa dola milioni 49. Ndege hiyo ni kati ya ndege nne za Boeing ambazo zilinunuliwa na serikali ya Tanzania mnamo 2021 kwa gharama jumla ya dola milioni 726, ikiwa ni pamoja na Dreamliner 787-8 na ndege mbili za 737 MAX.

Aise kuna kuiba lakini walioiba hii fedha. Hii ni nafasi kwa bunge hili la chama kimoja ku prove kwa wananchi kuwa wana meno ya kushughulikia ufisadi. Ni mategemeo yetu report ya CAG itakapofika bungeni itafanyiwa kazi vizuri ili hawa wahuni warudishe hiyo fedha aise.
Ngoja tuone !! Mwizi wa simu anachomwa moto !!
 
Tanzania ufisadi ni mwingi Sana Tena wa wazi wazi.Wakati ndege mpya ya mizigo inanunuliwa nashangaa kutafakari zile ndege alizonunua hayati Mheshimiwa John Pombe Magufuli ziliishia wapi.Kwa sasa nchi inaongozwa kilelemama rushwa njenje kabisa
 
Kuna kila dalili ya conspiracy kati ya watendaji wa upande wa watanzania na watendaji wa kampuni inayo itengeneza ndege yetu ya mizigo kupiga ongezeko la dola milioni 30.

Mkataba ulikuwia mauziano ya ndege hiyo ni dola 50/ lakini Cha kuehangaza invoice inaletwa ya dola 80million bila maelezo yoyote Wala jitihada zozote zikutaka ufafanuzi.

Kinacho onekana hapo ni mambo mawili either kulikuwa na njama ya kupiga hiyo dola milioni 30 au uzembe ulioambatana na ukosefu wa uzalendo kwa Nchi.
 
Leo katika kupitia pitia masuala ya nchi nakutana na article katika gazeti la mwananchi kuhusu ufisadi wa zaidi ya billion 80 kwenye ununuzi wa ndege ya mizigo. Kulingana na ripoti ya Mhasibu Mkuu na Mdhibiti (CAG) ya hivi karibuni, kasoro katika bei ya ndege mpya ya mizigo ya Air Tanzania ambayo inatarajiwa kufikishwa mnamo Aprili 2023 imefunuliwa. Hati ya ndege iliongezeka kwa dola milioni 49. Ndege hiyo ni kati ya ndege nne za Boeing ambazo zilinunuliwa na serikali ya Tanzania mnamo 2021 kwa gharama jumla ya dola milioni 726, ikiwa ni pamoja na Dreamliner 787-8 na ndege mbili za 737 MAX.

Aise kuna kuiba lakini walioiba hii fedha. Hii ni nafasi kwa bunge hili la chama kimoja ku prove kwa wananchi kuwa wana meno ya kushughulikia ufisadi. Ni mategemeo yetu report ya CAG itakapofika bungeni itafanyiwa kazi vizuri ili hawa wahuni warudishe hiyo fedha aise.
Kwani uvccm wanasemaje?
 
Naomba kuuliza tu hivi uizi mkubwa namna hii unaweza kutokea bila baadhi ya vigogo wizara ya fedha kuhusika ili kurahisisha malipo!

N. B, NAAMRISHA HIZO FEDHA ZOTE ZILIZOIBWA ZIRUDISHWE MARA MOJA NA MAISHA YAENDELEE
 
Unashangaa huo wa kabilioni 80?

Kuna huu sasa
Screenshot_20230329-152212_Telegram.jpg
 
Toka enzi za mh.mkapa sina imani na bunge wala mawaziri sijui nini dc RPC mkuu wa mkoa sina imani kabisa na hao watu ..... kingine cha nyongeza tuzibadili sheria zetu kwamba rais asiwe na uwezo wa kuteua viongozi tuwateuwe sisi wenyewe kama siyo kupiga kura kwa vigezo.asante
 
Back
Top Bottom