Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,106
Ikulu ya Magogoni imewakarimu sana viongozi wa dini na wasanii wakiambatana na CHAWA. Nadhani hiki ni kipindi ambacho kila mwezi hata makundi lazima yawe Ikulu.
Je, huu ni ukarimu? Na ukarimu huu unamchango wowote kwa wananchi maskini? Lengo la huu ukarimu ni nini kitaifa?
Maskini waliopo kijijini wanapataje huu ukarimu? Je, si wakati sasa wa DC na RC kuwa na ukaribu kama huu wa kitaifa ili tuwafikie watu wengi zaidi?
Je, huu ni ukarimu? Na ukarimu huu unamchango wowote kwa wananchi maskini? Lengo la huu ukarimu ni nini kitaifa?
Maskini waliopo kijijini wanapataje huu ukarimu? Je, si wakati sasa wa DC na RC kuwa na ukaribu kama huu wa kitaifa ili tuwafikie watu wengi zaidi?