johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,033
Rais Samia amemtumia Salam za kheri ya kutimiza miaka 11 ya Upapa Baba Mtakatifu Papa Francisco
Rais Samia pia amemshukuru baba Mtakatifu Papa Francisco kwa kumualika Vatican Mwezi uliopita
Source Ukurasa wa Rais Samia X
Ramadan Kareem
--
Kheri ya miaka 11 ya Upapa kwa Papa Francisko. Shukrani za dhati kwa mwaliko na wasaa wa kukutana na kuzungumza nawe mapema mwezi jana kuhusu uhusiano kati ya Vatican na Tanzania, mchango wa Kanisa katika ustawi na maendeleo ya watu, masuala ya kijamii na mjadala wa kudumisha amani ulimwenguni.
Rais Samia pia amemshukuru baba Mtakatifu Papa Francisco kwa kumualika Vatican Mwezi uliopita
Source Ukurasa wa Rais Samia X
Ramadan Kareem
--
Kheri ya miaka 11 ya Upapa kwa Papa Francisko. Shukrani za dhati kwa mwaliko na wasaa wa kukutana na kuzungumza nawe mapema mwezi jana kuhusu uhusiano kati ya Vatican na Tanzania, mchango wa Kanisa katika ustawi na maendeleo ya watu, masuala ya kijamii na mjadala wa kudumisha amani ulimwenguni.