Elections 2010 Mheshimiwa John Pombe Magufuli awe Rais wetu

Lekanjobe Kubinika

JF-Expert Member
Dec 6, 2006
3,020
576
Mwenzenu napata taabu kidogo, sijui jinsi gani Mheshimiwa huyu ashawishiwe na kukubali ombi hili. Natamani sana John Pombe Magufuli awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama sio sasa kwa sababu za taratibu za CCM, basi zamu inayofuata.

Vyovyote iwavyo, naamini huyu bwana anafaa kila kona uwanjani anapocheza siasa. Hata PhD aliyoipata majuzi inaongezea chachandu tu, kwamba hatababaishwa na vyeti vya udaktari wa kupewa zawadi tu, maana anayo real one.

Sina uhusiano naye kabisa huyu mtu na wala sijawahi kukaa naye au kuonana karibu, lakini vitu vyake mwisho bwana. Naamini atachagua timu ya washauri inayofanana naye.

Hata kama anayo mapungu yake kama binadamu, the good outways the bad, wakati mwingine analazimika kufanya vitu vingine kwa kuwatii wakubwa zake, lakini akishika rungu mwenyewe nashawishika (sidanganyiki) kwamba ataifaa Tanzania ya sasa.

Leka
 
utasababisha jk abadilishe hata baraza la mawaziri ili amtoe. Nyamaza, let time solve and bring him to power. You know everyone loves Pombe because the old chap is a realist not idealist.
 
Bro, tuko pamoja...Lau kama watanzania wote wangekuwa na akili kama zako na zangu, wangestusupport!....Namwelewa sana JPM, na anafaa sana kwa nafasi hiyo, na ana uchungu na nchi hii!..Mungu Ibariki Tanzania!
 
Najua JPM ni mchapakazi mzuri zaidi ya mawaziri wengine wengi kama siyo wote, ni mfuatiliaji mzuri wa watu wa chini yake, ana uwezo wa kujieleza, kujenga hoja na kizisimamia hata pale hoja hizo zinapokuwa na upinzani wa dhahiri - mfano ni uuzwaji wa nyumba za serikali.

Tatizo langu na huyu jamaa ni moja tu si msikilizaji mzuri na anaweza kuwa "dictator" mzuri sana hasa pale mitazamo na misimamo yake itakapokuwa kinyume na maslahi ya nchi - refer uuzwaji wa nyumba na ubadilishwaji wa ramani ya barabara kuu kupitia wilayani kwao. Wakati wa uuzwaji wa nyuma za serikali JPM alikuwa na majibu ya kejeli - kama ya bosi wake Mkapa - kwa wale wote waliokuwa wanahoji busara ya zoezi lile. Ni aina ya mtu ambaye anapenda kutumia hoja za nguvu badala ya nguvu ya hoja pale anapokabiliwa na wapinzani makini wanaohoji busara za maamuzi na matamshi yake.

Tatizo letu Tanzania ni la kimfumo zaidi kuliko kiongozi mmoja mmoja. Tuna mfumo ambao hauna vidhibiti mwendo kwa kiongozi mkuu kabisa wa nchi na wateule wake hasa pale wanapoamua kushirikiana kuifilisi nchi. Ninashawishika kuamini kuwa hata kama utamweka JPM kama mfumo ni huu huu wa kuwa na imperial president hakuna jambo la maana atakalofanya zaidi ya kujitwalia chake mapema. JPM katika mfumo wetu wa sasa hana tofauti na Benjamin William Mkapa.

Katika mfumo wa sasa nadhani JPM anaweza kuwa mtendaji mzuri akiwa waziri mkuu na apewe mamlaka kamili ya kuwasimamia na kuwawajibisha mawaziri wote.
 
Msitake kumfanya mkwere abadili baraza la mawaziri.

All in all, atakuwa better 100 times kuliko muungwana.
 
Always I've been impressed by the work done in any Ministry where Dr. John Pombe Magufuli has been a Minister. The guy is focus and wants Tanzania to move ahead.

However, his personal hatred towards the opposition political parties makes me sick. Now if he becomes President or PM of the Republic with the sweeping state powers in his hands would he not turn into a dictator?

I'm yet to be convinced otherwise.
 
Always I've been impressed by the work done in any Ministry where Dr. John Pombe Magufuli has been a Minister. The guy is focus and wants Tanzania to move ahead. However, his personal hatred towards the opposition political parties makes me sick. Now if he becomes President or PM of the Republic with the swipping state powers in his hands would he not turn into a dictator? I'm yet to be convinced otherwise.

Nafikiri kwa jinsi hali ya nchi ilivyo hivi sasa, tunahitaji sana kiongozi ambaye ni dictator, but udictator wa kuwataka watu wafanye kazi, wa kuwakamata na kuwafunga mafisadi na mwingine wa kufanana na huo. Vinginevyo tutabaki masikini hadi kufa. Nchi yetu hivi sasa si ya kuongozwa na Rais anayetabasamu tu hata anapotaka kuadress sensitive issue katika nchi.Tunahitaji mtu wa mabavu, Mkapa aliiweza vizuri nchi kasoro tu alishawishika kuiba. Ile uongozi wake ulikuwa excellent na matokeo yalionekana baada ya muda mfupi.
 
Mwenzenu napata taabu kidogo, sijui jinsi gani Mheshimiwa huyu ashawishiwe na kukubali ombi hili. Natamani sana John Pombe Magufuli awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama sio sasa kwa sababu za taratibu za CCM, basi zamu inayofuata.

Vyovyote iwavyo, naamini huyu bwana anafaa kila kona uwanjani anapocheza siasa. Hata PhD aliyoipata majuzi inaongezea chachandu tu, kwamba hatababaishwa na vyeti vya udaktari wa kupewa zawadi tu, maana anayo real one.

Sina uhusiano naye kabisa huyu mtu na wala sijawahi kukaa naye au kuonana karibu, lakini vitu vyake mwisho bwana. Naamini atachagua timu ya washauri inayofanana naye. Hata kama anayo mapungu yake kama binadamu, the good outways the bad, wakati mwingine analazimika kufanya vitu vingine kwa kuwatii wakubwa zake, lakini akishika rungu mwenyewe nashawishika (sidanganyiki) kwamba ataifaa Tanzania ya sasa.

Leka

Augustino Lyatonga Mrema alikuwa kama huyu bwana, kasoro tu yeye hakuwa na PHD. Alipoutaka uraisi tu, akaishia hapa alipo leo hii

Magufuli can better be appreciated for what he has so far done, and should not be honoured for what he can do in the future, bacause that will spoil his excelent perfomance so far!

I will vote for Pinda, for the honour of Mwalimu!
 
Kama tungekuwa tunachagua mtu kwa maslahi ya taifa na si ushabiki wa kundi fulani, Katika walishika madaraka makubwa kama uwaziri Magufuli anafaa kuwa rais kwa maslahi ya nchi na watanzania
 
I agree with you beyond reasonable doubt!!!Jamaa ni mkali wa kusimamia sheria no one else!!
 
Huyu jamaa kwa kweli ni mzuri hasa kwa wakati huu amabo nchi inajiogoza yenyewe, sijui kama kuna Viongozi wa nchi hapa, kama siko sahihi naomba mnielewe nipo sahihi.

Tanzania ya sasa inataka kiongozi kama magufuli, full dictator wa vitendo na wala siyo kuonea watu, akisema amesema.
 
JPM ni mtendaji mzuri sana,kama watanzania wangeungana kweli huyu ni kifaa haswa hata umtupe wapi lazima afanye wonder.
Ube Jk akimaliza tumpe nae tuone wapi atakupeleka,nahisi kama kwenye maziwa na asali????
 
Mwenzenu napata taabu kidogo, sijui jinsi gani Mheshimiwa huyu ashawishiwe na kukubali ombi hili. Natamani sana John Pombe Magufuli awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama sio sasa kwa sababu za taratibu za CCM, basi zamu inayofuata.

Vyovyote iwavyo, naamini huyu bwana anafaa kila kona uwanjani anapocheza siasa. Hata PhD aliyoipata majuzi inaongezea chachandu tu, kwamba hatababaishwa na vyeti vya udaktari wa kupewa zawadi tu, maana anayo real one.

Sina uhusiano naye kabisa huyu mtu na wala sijawahi kukaa naye au kuonana karibu, lakini vitu vyake mwisho bwana. Naamini atachagua timu ya washauri inayofanana naye. Hata kama anayo mapungu yake kama binadamu, the good outways the bad, wakati mwingine analazimika kufanya vitu vingine kwa kuwatii wakubwa zake, lakini akishika rungu mwenyewe nashawishika (sidanganyiki) kwamba ataifaa Tanzania ya sasa.

Leka
Wewe ndugu una akili sana.wazo lako ni 100++ naliunga mkono.
 
Augustino Lyatonga Mrema alikuwa kama huyu bwana, kasoro tu yeye hakuwa na PHD. Alipoutaka uraisi tu, akaishia hapa alipo leo hii

Magufuli can better be appreciated for what he has so far done, and should not be honoured for what he can do in the future, bacause that will spoil his excelent perfomance so far!

I will vote for Pinda, for the honour of Mwalimu!

very right, Kama timu ya Maguguli ingejumuisha Lyatonga na Dr Slaa na Pinda kwa mfano, Sita akakalia kiti chake, huo sio udicteta mbaya. Tunaambiwa wazalendo wa Afrika Kusini na Malawi wanapenda sana kutanua lakini ni wachache wanaochapa kazi kwa kweli. Wanachofaidi ni kwamba viongozi wao japo wanatanua wanazo speed govanor miguuni na chumi zao hazisumbui sana kama TZ. Mugambe na matanuzi ya kujisahau akiongezea ubishi na jeuri ya mtu masikini aliyepewa mamlaka ghafla, kaonyesha mfano dhahiri kwamba unaweza kununua kalamu aina ya speedo au bick kwa milioni hamsini dukani, maana yake it does not matter how big the figure is, hata Uganda waliwahi kubeba kapu la hela kwenda dukani kununua kilo moja ya sukari.

Udikteta wa Lyatonga ulikuwa mtamu sana kwa maendeleo yetu, mifano hai iko wazi. Macorridor ya DSM hayana tope, nyumba zinang'aa kwa rangi, kivuli cha miti ya mrema kila mahali leo twafaidi lakini kabla yake ulijiuliza mara kibao kwenda mtaani kutembea.

Kama Magufuli anatumia udicteta kwa kufuata vifungu vya sheria vilivyokubalika rasmi na watunga sheria, basi huo sio udicteta, ni utafsiri mzuri wa sheria zilizopo ili zifanye kazi. Unakumbuka kila anapoulizwa swali anajibu kwa data sahihi na kukupatia nukuu, hata hawamuulizi tena swali la nyongeza? Ni mwanasiasa scietist anayefuatilia kilichokubalika kwa pamoja na kuhakikisha kinatimizwa for next evaluation.

Nilisema kwamba kama binadamu yeyote, JPM atakuwa na mapungufu yake. Ndio maana Katiba ya nchi inahitaji kuandikwa upya ili kiongozi asiwe mtu bali institution inayoweza kutabirika itafanya nini kesho. Kiongozi awe ni mtoa maamuzi ya mwisho kwa mambo yanayohitajika kufanyiwa hivyo. Sasa hivi ni kweli bado tunaendelea kuweka viraka na ndio maana viongozi bora wanafunikwa na wale wanaofaidika na katiba hii.

Kila kitu kina mahali pa kuanzia. Hata akipewa uwaziri mkuu sawa, maana ni ngazi nyeti ambayo najua ataiweza tu. Kama Zero aliiweza kwa nini imshinde yeye?

Leka
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom