Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuna usemi usemao" usilizunguke bomu, bali pita katikati yake mapema ili lilipuke mapema wakati huo, kukusaidia lisije kuangamiza watu wengi zaidi baadae ambao hawataliona iwapo litalipuka" Maana...
0 Reactions
1 Replies
504 Views
"Tatizo la umeme la nchi hii ni kufeli kwa uongozi wa nchi, kuna mambo mengi tumewahi kushauri, TANESCO inafanya mambo makubwa matatu ,uzalishaji, usafirishaji na usambazaji huwezi kuwa na kampuni...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Huduma ya usafiri wa ndege kwenda Mwanza imeimarika sana. Ndege zipo nyingi na zinatoa huduma masaa ishirini na nne kwa kupishana anagani. Wageni wengi wanaingia Mwanza sasa hivi, baadhi ya...
1 Reactions
9 Replies
964 Views
Naona kila siku kuna event kwenye kumbi mbalimbali nchini kuhusu miaka mitatu ya Rais Samia najiuliza hizi fedha zinatolewa na serikali za kuwaleta viongozi wa serikali kwenye hizi hafla au...
5 Reactions
24 Replies
1K Views
Yaani kiongozi wa nchi anaumwa muda mrefu, ugonjwa endelevu, anapotelea hospitalini majuma kadhaa, anapambania maisha yake kufa na kupona, hajiwezi. Lakini katika mazingira hayo hayo, taifa zima...
18 Reactions
68 Replies
5K Views
Salaam Wadau, Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizo katika mfumo wa Vyama vingi vya Siasa. Kwa maana hii, Wananchi wamekuwa wafuasi wa Vyama mbalimbali. Baadhi ya Vyama vina ushawishi Mkubwa na...
4 Reactions
10 Replies
581 Views
Waasisi wa mambo ya Ukanda ni Chadema ambao walijikita kanda ya Kaskazini hasa Uchaggani na Arusha Baadae Ukanda ukahamia Pwani ya Tanga hadi Mtwara Sasa Ukanda umeota Mizizi Ziwa Victoria...
6 Reactions
29 Replies
2K Views
Wenzetu Kenya wamepata connection Toka Marekani na sasa Wamepeleka Mapolisi Haiti na kujiimarisha Kiuchumi Nakushauri Bashe wasiliana na Waziri Anthony Blinken wa USA kuna fursa ya kupeleka mazao...
9 Reactions
76 Replies
3K Views
Hapa Rais Nyerere [ alikuwa keshastaafu urais] akijibu maswali ya waandishi wa habari huko Uganda. Seems like he was always in his element when speaking to reporters/ journalists...
14 Reactions
46 Replies
3K Views
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akiongoza kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika...
0 Reactions
2 Replies
603 Views
Awali akina Lissu waliwahi kusema kuna watu walitaka SSH asiapishwe kama Rais wa Tanzania. Lakini katika mahojiano yake hakuna Sehemu Jaji Mkuu wala Spika anatajwa kushiriki mashauriano ya...
15 Reactions
104 Replies
10K Views
Kwako Rais wetu, kiongozi shupavu na mwanamapinduzi wa kweli Mhe.Samia, ninakusalimu Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nchi yetu katika vipindi tofauti katika awamu ya kwanza ya...
0 Reactions
4 Replies
854 Views
Kuna wafuasi wa CHADEMA shughuli kama hizi huwa wanazipenda sana, wanaweza kuingia uwanjani na jezi za Mamelodi au Al Ahly ili tu waingie kwenye mtanange wa sheria na Ndumbaro pamoja na Karia...
0 Reactions
2 Replies
333 Views
Salaam, Shalom! Wakati tukielekea uchaguzi, vyama hutoa malalamiko kuwa wanaibiwa kura na kwakuwa tunapambana kuhakikisha, tunapata Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote...
3 Reactions
78 Replies
3K Views
Tanzania ni moja ya Nchi Duniani ambayo imebarikiwa na kila kitu. Tanzania imebarikiwa Madini ya kila aina, pongezi kubwa kwa Serikali na Wizara ya Madini kwa kuendelea kuwekeza fedha nyingi...
9 Reactions
54 Replies
2K Views
Taarifa zinaonyesha kwamba Nchini Tanzania leo zinafanyika Chaguzi kadhaa, za marudio, kutokana na nafasi kadhaa kuwa wazi, kwa sababu ya vifo pamoja na mambo mengine yaliyowatokea waliokuwepo...
13 Reactions
29 Replies
1K Views
Tunahitaji mbadala wa CCM na CHADEMA ITACHUKUA muda kuelewa nini hasa kilichokikumba Chama Kikuu cha Upinzani nchini (CHADEMA) hadi kikashindwa kutatua mgogoro wa uongozi na hatimaye kuingiza...
52 Reactions
520 Replies
44K Views
Msingi mkuu alioujenga Maguful ni kuteua Makada wa CCM kuwa Wakurugenzi wa Halmashauri Wakurugenzi ndio Wasimamizi wa Uchaguzi Wapinzani walilala usingizi wakati Shujaa anaujenga huu Msingi na...
1 Reactions
21 Replies
873 Views
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI- Mohamed Mchengerwa amesema Serikali inatambua changamoto za mradi huu. Ameahidi mpaka ifikapo Mwezi September-Oktoba 2024 matatizo yote yatakuwa yamekwisha...
2 Reactions
36 Replies
2K Views
Mara kwa mara mzee Kikwete amekuwa akisema vyama vya Upinzani Siyo tishio kwa CCM na havina ubavu wa kuishinda kwenye uchaguzi mkuu Kwenye kumuaga Hayati Mwinyi pale Uwanja wa Uhuru Mzee Kikwete...
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…