johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,039
Waasisi wa mambo ya Ukanda ni Chadema ambao walijikita kanda ya Kaskazini hasa Uchaggani na Arusha
Baadae Ukanda ukahamia Pwani ya Tanga hadi Mtwara
Sasa Ukanda umeota Mizizi Ziwa Victoria ukichombezwa zaidi na CCM
Wasiwasi wangu Kanda ya Ziwa ndio watakuwa wanaamua Nani awe Rais wa JMT kuanzia kwenye NEC ya CCM
Nawatakia Dominica Njema 😀
cc: Pambalu, Wenje, Dr Mashinji
Baadae Ukanda ukahamia Pwani ya Tanga hadi Mtwara
Sasa Ukanda umeota Mizizi Ziwa Victoria ukichombezwa zaidi na CCM
Wasiwasi wangu Kanda ya Ziwa ndio watakuwa wanaamua Nani awe Rais wa JMT kuanzia kwenye NEC ya CCM
Nawatakia Dominica Njema 😀
cc: Pambalu, Wenje, Dr Mashinji