Rais mgonjwa mahututi mpaka mauti, lakini makamu wake hajui, aelezwi na anafichwa!

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Nov 28, 2013
10,129
35,153
Yaani kiongozi wa nchi anaumwa muda mrefu, ugonjwa endelevu, anapotelea hospitalini majuma kadhaa, anapambania maisha yake kufa na kupona, hajiwezi. Lakini katika mazingira hayo hayo, taifa zima halijulishwi chochote, makamu wake hajui, aelezwi na anafichwa kimakusudi asijue chochote. Hatimaye Rais anafariki dunia, bado makamu wake hajui chochote, watu wengine wanakaa chini kujadili namna ya kuendesha mambo ya msiba bila makamu wa rais kujua chochote.

Tuseme ukweli, kuna nchi inaongozwa na kikundi cha watu wasiojulikana na kinyume cha katiba kwa 100%. Kuna kila dalili huenda mambo yakawa magumu zaidi huko mbeleni.
 
Yaani kiongozi wa nchi anaumwa muda mrefu, ugonjwa endelevu, anapotelea hospitalini majuma kadhaa, anapambania maisha yake kufa na kupona, hajiwezi. Lakini katika mazingira hayo hayo, taifa zima halijulishwi chochote, makamu wake hajui, aelezwi na anafichwa kimakusudi asijue chochote. Hatimaye Rais anafariki dunia, bado makamu wake hajui chochote, watu wengine wanakaa chini kujadili namna ya kuendesha mambo ya msiba bila makamu wa rais kujua chochote.

Tuseme ukweli, kuna nchi inaongozwa na kikundi cha watu wasiojulikana na kinyume cha katiba kwa 100%. Kuna kila dalili huenda mambo yakawa magumu zaidi huko mbeleni.
Ndugai huyo
 
Yaani kiongozi wa nchi anaumwa muda mrefu, ugonjwa endelevu, anapotelea hospitalini majuma kadhaa, anapambania maisha yake kufa na kupona, hajiwezi. Lakini katika mazingira hayo hayo, taifa zima halijulishwi chochote, makamu wake hajui, aelezwi na anafichwa kimakusudi asijue chochote. Hatimaye Rais anafariki dunia, bado makamu wake hajui chochote, watu wengine wanakaa chini kujadili namna ya kuendesha mambo ya msiba bila makamu wa rais kujua chochote.

Tuseme ukweli, kuna nchi inaongozwa na kikundi cha watu wasiojulikana na kinyume cha katiba kwa 100%. Kuna kila dalili huenda mambo yakawa magumu zaidi huko mbeleni.
Vipi kuna rais mwingine anaumwa ama ndo yule yule wa geita
 
Yaani kiongozi wa nchi anaumwa muda mrefu, ugonjwa endelevu, anapotelea hospitalini majuma kadhaa, anapambania maisha yake kufa na kupona, hajiwezi. Lakini katika mazingira hayo hayo, taifa zima halijulishwi chochote, makamu wake hajui, aelezwi na anafichwa kimakusudi asijue chochote. Hatimaye Rais anafariki dunia, bado makamu wake hajui chochote, watu wengine wanakaa chini kujadili namna ya kuendesha mambo ya msiba bila makamu wa rais kujua chochote.

Tuseme ukweli, kuna nchi inaongozwa na kikundi cha watu wasiojulikana na kinyume cha katiba kwa 100%. Kuna kila dalili huenda mambo yakawa magumu zaidi huko mbeleni.
Hii mada si imeshaisha? Tuendeee na mambo mengine sasa
 
Maoni yako yazingatiwe.

Hatahivyo bado hamjasema...mnatafuta wachawi, wakati wachawi wenyewe ni nyie.

Nguvu mnazotumia kuweka viewpoint moja ni kiashiria ya kampeni ndefu, ya kimkakati na inayotumia mamilioni kama sio mabilioni ya hela. Kuziba mwanya wa wanaotaka kujua "NANI ALIMUUA MAGUFULI" itoshe kusema, huo ndio Uchawi.

Moreover, mtu teyari alikuwa keshafika getini kwa Muumba wake, nyie mnadai au mnataka kutuhadaa kwamba alinajisi Katiba akiwa huko? How so?
 
Mimi niliandika uzi humu kwamba kupitia Afande Mabeyo tumejua mke wa Rais wala watoto hawakujulishwa mzee mgonjwa mahututi na hakuletwa hospitali. Uzi ukafutwa. Sasa ngoja nione huu wa Zanzibar-ASP kama utaachwa, manake Wazenji wana special dispensation nchi hii, wanaogopwa kama miungu-watu
 
Yaani kiongozi wa nchi anaumwa muda mrefu, ugonjwa endelevu, anapotelea hospitalini majuma kadhaa, anapambania maisha yake kufa na kupona, hajiwezi. Lakini katika mazingira hayo hayo, taifa zima halijulishwi chochote, makamu wake hajui, aelezwi na anafichwa kimakusudi asijue chochote. Hatimaye Rais anafariki dunia, bado makamu wake hajui chochote, watu wengine wanakaa chini kujadili namna ya kuendesha mambo ya msiba bila makamu wa rais kujua chochote.

Tuseme ukweli, kuna nchi inaongozwa na kikundi cha watu wasiojulikana na kinyume cha katiba kwa 100%. Kuna kila dalili huenda mambo yakawa magumu zaidi huko mbeleni.
Tuseme ukweli, kuna nchi inaongozwa na kikundi cha watu wasiojulikana na kinyume cha katiba kwa 100%. Kuna kila dalili huenda mambo yakawa magumu zaidi huko mbeleni.
 
Kwani Samia amewahi kuthibitisha hivyo? Nashangaa wengi mnatumia kauli ya Mabeyo kama ndio final, au kwasababu alikuwa CDF!

Samia angeweza kupewa taarifa kwa njia nyingine za kimawasiliano, na wakati akipewa hizo taarifa sio lazima Mabeyo awepo, Mabeyo hajui hayo ndio maana hakuyazungumzia.

Mtambue tu, kile alichokizungumza Mabeyo kuhusu afya ya Hayati Magufuli simply alizungumzia part yake, kile alichokiona yeye wakati ule akiwa na mgonjwa hospitalini.

Lakini kama siku nyingine akatokea PM akazungumzia kile alichokiona au kukifanya wakati wa ugonjwa wa Hayati Magufuli, alipokuwa hospitalini nae, inawezekana akaja na majibu ya haya mengine ambayo tunajiuliza kila dakika.

Samia hivyo hivyo nae kama akiulizwa anaweza kusema alikuwa akipewa taarifa za kila kinachoendelea juu ya ugonjwa wa Hayati Magufuli, kumficha taarifa mtu wa karibu jambo zito kama hilo sio rahisi kama wengi mnavyodhani.
 
Back
Top Bottom