Ni wakina nani walitaka Samia asiapishwe Rais wa Tanzania? Walitaka nani aapishwe? Kama CDF asingesimama imara nini kingetokea?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,105
Awali akina Lissu waliwahi kusema kuna watu walitaka SSH asiapishwe kama Rais wa Tanzania. Lakini katika mahojiano yake hakuna Sehemu Jaji Mkuu wala Spika anatajwa kushiriki mashauriano ya kumwapisha Mhe. Samia.

Kwa kauli ya CDF Mabeyo ni kweli kwamba wapo watu walitaka asiapishwe kama Rais huku ikiipelekea nchi kukaa siku mbili bila Rais

Naomba kufahamu hao waliotaka asiapishwe ni wakina nani? Walitaka nani awe Rais? Kwa katiba ipi? Haiwezekani hao hao leo ndio Chawa wa mama? Wamebadili mawazo yao au wanasubiri kupambazuke?
 
Awali akina Lisu waliwahi kusema kuna watu walitaka SSH asiapishwe kama Rais wa Tanzania. Lakini katika mahojiano yake hakuna Sehemu Jaji Mkuu wala Spika anatajwa kushiriki mashauriano ya kumwapisha Mhe. Samia.

Kwa kauli ya CDF Mabeyo ni kweli kwamba wapo watu walitaka asiapishwe kama Rais huku ikiipelekea nchi kukaa siku mbili bila Rais

Naomba kufahamu hao waliotaka asiapishwe ni wakina nani? Walitaka nani awe Rais? Kwa katiba ipi? Haiwezekani hao hao leo ndio Chawa wa mama? Wamebadili mawazo yao au wanasubiri kupambazuke?
Mambo mengine yatupite jamani maisha yanaendelea hakuna sababu ya kurudi ya nyuma tena.
 
Awali akina Lisu waliwahi kusema kuna watu walitaka SSH asiapishwe kama Rais wa Tanzania. Lakini katika mahojiano yake hakuna Sehemu Jaji Mkuu wala Spika anatajwa kushiriki mashauriano ya kumwapisha Mhe. Samia.

Kwa kauli ya CDF Mabeyo ni kweli kwamba wapo watu walitaka asiapishwe kama Rais huku ikiipelekea nchi kukaa siku mbili bila Rais

Naomba kufahamu hao waliotaka asiapishwe ni wakina nani? Walitaka nani awe Rais? Kwa katiba ipi? Haiwezekani hao hao leo ndio Chawa wa mama? Wamebadili mawazo yao au wanasubiri kupambazuke?
Mbona hatujasikia hayo kwenye clip ya mabeho. Kama unamuwekea maneno vinginevyo tuwekee hiyo clip na sisi tusikie hayo unadai kasema.
 
Awali akina Lisu waliwahi kusema kuna watu walitaka SSH asiapishwe kama Rais wa Tanzania. Lakini katika mahojiano yake hakuna Sehemu Jaji Mkuu wala Spika anatajwa kushiriki mashauriano ya kumwapisha Mhe. Samia.

Kwa kauli ya CDF Mabeyo ni kweli kwamba wapo watu walitaka asiapishwe kama Rais huku ikiipelekea nchi kukaa siku mbili bila Rais

Naomba kufahamu hao waliotaka asiapishwe ni wakina nani? Walitaka nani awe Rais? Kwa katiba ipi? Haiwezekani hao hao leo ndio Chawa wa mama? Wamebadili mawazo yao au wanasubiri kupambazuke?
Dr Bashiru Ally siku ikimpendeza aseme ukweli wake wa moyoni.....na CDF Mstaafu amalizie....tufunge mjadala...watu hao wawili wana siri nzito sana!!
 
Kiuhalisia Hiyo nafasi ilikuwa kubwa sana kwa Samia ukizingatia ndo ilikuwa mara ya kwanza kuwa na Rais Asiyechaguliwa na wananchi wala Bunge..
Hivyo iliwawia Vigumu kukubali kwa sababu waliamini lazima tu ataharibu
Katiba inasemaje, walipompitisha kuwa mgombea mwenza hawakujua kuwa raisi anaweza kufa akiwa madarakani.
 
Katiba inasemaje, walipompitisha kuwa mgombea mwenza hawakujua kuwa raisi anaweza kufa akiwa madarakani.
Katiba ina mambo mengi sana Ambayo yanahitaji kubadilishwa mkuu Kumbuka katiba hii iliyopo ni katiba iliyopitishwa Kipindi Tanzania ikiwa ni Nchi ya Chama kimoja mwaka 1977..

Na haijabadilishwa Na kutengenezwa mpya..

Kumbuka katiba zingine za nyuma yake zilikuwa zinabadilishwa kwa haraka sana..
Kwa mfano..
  • Katiba ya Uhuru ya 1961,
  • Katiba ya Jamhuri ya Tanganyika 1962,
  • Katiba ya mpito ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ya mwaka 1964
  • Katiba ya Muungano wa Tanzania 1965
  • Na katiba ya Muungano wa Tanzania ya 1977
UKiangalia katiba zote zimekaa kwa muda mfupi sana kasoro katiba ya 1977 imekaa sasa huu unaenda mwaka wa 47..

Je matakwa ya mwaka 77 bado yanahitajika mwaka 2024???
 
Awali akina Lissu waliwahi kusema kuna watu walitaka SSH asiapishwe kama Rais wa Tanzania. Lakini katika mahojiano yake hakuna Sehemu Jaji Mkuu wala Spika anatajwa kushiriki mashauriano ya kumwapisha Mhe. Samia.

Kwa kauli ya CDF Mabeyo ni kweli kwamba wapo watu walitaka asiapishwe kama Rais huku ikiipelekea nchi kukaa siku mbili bila Rais

Naomba kufahamu hao waliotaka asiapishwe ni wakina nani? Walitaka nani awe Rais? Kwa katiba ipi? Haiwezekani hao hao leo ndio Chawa wa mama? Wamebadili mawazo yao au wanasubiri kupambazuke?
January makamba!
 
Ni Wapumbavu fulani hivi wasiojua hata katiba inasemaje juu ya jambo hilo.Tunapozungumzia tunahitaji katiba mpya hiyo mijitu ndio ilikuwa ya kwanza kupinga halafu yalipotokea wakawa wanataka kipengele hicho cha raisi akifia madarakani kipuuzwe.Nadhani hapo ndio tungeshuhudia damu ikimwagika mitaani ikihusisha imani za kidini kwa wengine kuona wamenyang'anywa tonge lao.
Niliwahi kusoma maoni ya wamarekani mojawapo wa kitu kilichomfanya Obama kushinda dhidi ya McCain uchaguzi wa 2008.Sababu mojawapo ni McCain running mate wake Sarah Palin hakufaa kuwa makamu wa Raisi na hatimaye kuwa raisi kama McCain atafariki kutokana na Afya yake kuwa mgogoro.Hivyo wenzetu wanapochagua Raisi wanaangalia na Mgombea mwenza wake kama ana sifa ya Uraisi ikitokea Raisi amefia madarakani. Sasa sisi hatujali tunaangalia mgombea Uraisi peke yake halafu akifa ndio mnataka katiba ipuuzwe kwa kumuona aliyekuwa mgombe mwenza wake hafai kwa uraisi ,badala ya kufanya maamuzi wakati wa mchakato wa uchaguzi kuona kama na mgombea mwenza ni presidential material ama la
WENZETU WALIWAONA HIVI WAGOMBEA WENZA WA OBAMA NA McCAIN
Joe Biden vs. Sarah Palin

Joe Biden's deep grasp of the issues, appreciation of U.S. history and laws, and steady, experienced leadership were in jarring contrast to that of Alaska Gov. Sarah Palin, the Republican vice-presidential candidate.

Republican nominee, 72-year-old John McCain, has wrestled with three episodes of melanoma, the most aggressive form of skin cancer, and had an in-depth skin cancer check every few months.

McCain's serious health challenges greatly increased the risk that he could become incapacitated and/or pass away in office, which would have required his vice president to become president of the United States.

It was widely recognized, even by a plethora of conservative pundits, that Sarah Palin was wholly unprepared to assume the presidency.

In contrast, Joe Biden was widely regarded as well prepared to assume the presidency.
 
Back
Top Bottom