johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,986
- 142,002
Mara kwa mara mzee Kikwete amekuwa akisema vyama vya Upinzani Siyo tishio kwa CCM na havina ubavu wa kuishinda kwenye uchaguzi mkuu
Kwenye kumuaga Hayati Mwinyi pale Uwanja wa Uhuru Mzee Kikwete alisema vyama vya Upinzani vinajifurahisha tu Lakini kamwe haviwezi kuishinda CCM
Jana katika kuadhimisha miaka 3 ya Rais Samia mzee Kikwete amesema CCM Kushindwa na Upinzani labda uje muujiza
Ikumbukwe wakati wa Utawala wake Chadema walikuwa wanakwenda Ikulu mara kwa mara na kuenjoy Juice ya Ceres na Samosa
Ramadan Kareem
Kwenye kumuaga Hayati Mwinyi pale Uwanja wa Uhuru Mzee Kikwete alisema vyama vya Upinzani vinajifurahisha tu Lakini kamwe haviwezi kuishinda CCM
Jana katika kuadhimisha miaka 3 ya Rais Samia mzee Kikwete amesema CCM Kushindwa na Upinzani labda uje muujiza
Ikumbukwe wakati wa Utawala wake Chadema walikuwa wanakwenda Ikulu mara kwa mara na kuenjoy Juice ya Ceres na Samosa
Ramadan Kareem