Ushauri: Rais Samia awe makini sana na viongozi wa EAC

Orketeemi

JF-Expert Member
Feb 12, 2013
4,318
10,022
Nitaandika Kwa kifupi Tu.

Hiv Karibun Rais wa Kenya William Somoe Ruto na Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museven wameonekana kuwa Chanda na Pete.

Kwa history ya nchi zao kuna kila dalili wameona huu ndio wakat wanaweza kuiingia Tanzania kuliko wakati mwingine wowote.

Ikumbukwe awali Rais wa Rwanda alijiweka weka karibu na Rais Samia Ila Kwa sasa Ruto na Museven wanakuja Kwa Kasi.

Nashauri utangamano wowote ndani ya EAC ichukuliwe Kwa Makin Sana maana hulenga kuidhoofisha TZ​

FB_IMG_1710496834828.jpg
 
Mara ya mwisho huyu kafanya hata ziara za ndani ni lini? Huyu akionekana nchini ujue kuna msiba, makongomano ya kichawa au kuapisha anaowabadilisha kitengo Kila siku
 
Nchi kwasasa palejuu Kuna wanne wapoleee na kimataifa lazima kiongozi uwe mtata lasivyo utazidiwa kete!! TUNAOMBA ateuliwe W/M mkalii maana tutajapigwa nawajanja.

Hatuna kiongozi MAHIRI kwenye nyanja ya kimataifa mfano wa kina Kabudi, Membe, Lowassa nk. Wooote ni vijana wasio na exposure na siasa za kimataifa.

Hii ni hatari Kwa taifa ndomana tunakosa dolari za kutisha na madini hatusikii Tena tunadhibiti vp.

Huyo makamba ni mlaini sana kwa mabepari mbatata tunayoyajua. Tutageuka shamba lisilo na mwenyewe siyo labibi tena
 
Nitaandika Kwa kifupi Tu.

Hiv Karibun Rais wa Kenya William Somoe Ruto na Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museven wameonekana kuwa Chanda na Pete.

Kwa history ya nchi zao kuna kila dalili wameona huu ndio wakat wanaweza kuiingia Tanzania kuliko wakati mwingine wowote.

Ikumbukwe awali Rais wa Rwanda alijiweka weka karibu na Rais Samia Ila Kwa sasa Ruto na Museven wanakuja Kwa Kasi.

Nashauri utangamano wowote ndani ya EAC ichukuliwe Kwa Makin Sana maana hulenga kuidhoofisha TZView attachment 2935191View attachment 2935191
fact
 
sababu kuu za huu uoga ni atujitambui,sio wazalendo ni rahisi kununulika,wavivu wa kufikiri,atuna vipaumbele vya kitaifa,upole uliopitiliza n,k
 
Back
Top Bottom