Japokuwa Taasisi ya Mwalimu Nyerere imejikita katika biashara ya togwa kwa wazanaki na wasizaki, iwe na utaratibu wa kuwa na kitabu kila mwaka

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,004
20,681
Nashauri taasisi hii iwe na kitabu, au tuite journal ambayo itatoka kila mwaka ikiwa na makala(articles) za wanasiasa mbalimbali, wataalamu, wa ndani na nje ya nchi wakijadili mambo ya Tanzania na Afrika kwa ujumla. Imagine umwambie Ziito, Jk, Samia, Museveni, Kagame(japo mtu wa hovyo, ila hata maji machafu huzima moto), Ramaphosa, Tinubu and the like wakuandikie mambo muhimu.

Kwa sasa Taasisi hii iko kwenye mfuko wa shati la Butiku, na mimi naifananisba na biashara ya kinywaji pendwa aina ya togwa kule kwa wazanaki na wasizaki
 
Back
Top Bottom