Rais amekiri kuwa kuna wizi wa fedha za Serikali. Fedha zote zinatunzwa Wizara ya Fedha. Zinatolewa Wizara ya Fedha kwa utaratibu uliokubaliki Waziri wa fedha akiwa na taarifa. Fedha zinaenda TAMISEMI Waziri wa TAMISEMI lazima awe na taarifa.
Kwanini Mamlaka ya uteuzi isiwaajibishe Waziri wa Fedha na Waziri wa TAMISEMI kwa wizi wa fedha za Serikali?.
Kwanini Mamlaka ya uteuzi isiwaajibishe Waziri wa Fedha na Waziri wa TAMISEMI kwa wizi wa fedha za Serikali?.