Mheshimiwa Rais, naomba kazi ya Ukurugenzi wa Halmashauri

Ichwampaka

Senior Member
Nov 19, 2018
134
109
Mheshimiwa Rais,

Ninaomba kazi ya ukurugenzi wa halmashauri hasa katika maeneo ya kilimo au wafugaji kwasababu ninataka kutumia uzoefu na elimu yangu katika kuimarisha ushirika wa uzalishaji mali katika kilimo au ufugaji. Nina uzoefu wa muda mrefu katika kujenga uwezo wa taasisi ndogo ndogo za kifedha na kwa uzoefu niliojifunza nchi jirani, ninaona kabisa naweza kuwa sehemu ya mabadiliko katika kuhakikisha wakulima na wafugaji wa nchi hii wanajiimarisha katika ushirika au vikundi vya ushirika vya uzalishaji mali. Lengo hasa ni kuwalenga vijana ambao wana nguvu kazi, maarifa na mitaji lakini wanakosa mtu wa kuwapa maarifa ya kuwaunganisha.

Nimejipima mara nyingi nimegundua falsafa yako ya uongozi na mtazamo wako wa mambo, mimi ni mwanafunzi wako bora kabisa. Mimi nataka kutumia ujuzi wangu kuleta mabadiliko. Sitaki na sipendi business as usual nataka kuona mabadiliko hai kwa wananchi utakaonipa ridhaa ya kuwatumikia. Nitataka kuanzisha vikundi katika wilaya au halmashauri ambavyo vitakuwa vinalenga shughuli za kiuchumi. Kununua pembejeo pamoja, kuzalisha pamoja, kuhifadhi mazao pamoja, kutafuta bei pamoja na hatimaye kuuza pamoja. Fedha zitakazo patikana wanavikundi watajenga/kuboresha nyumba zao, kulipia bima za afya, kusomesha watoto wao na pia kulipa kodi kwa nchi.

Ukitazama ardhi iliyolala katika mikoa ya Morogoro, Mbeya, Rukwa, Katavi na Iringa, unajiuliza wako wapi viongozi kuwakusanya wananchi wafanye shughuli za uzalishaji mali badala ya kushinda kutwa kufanya siasa na kubeti? . Vijana wanaweza kuanzisha miradi ya ufugaji kuku wa kienyeji, ufugaji wa samaki, kilimo cha mbogamboga nk. Mashirika na taasisi zinatoa sapoti kwa shughuli hizi zipo tele zimejaa kinachokosekana ni uongozi wa kuwaleta pamoja wananchi.

Mimi naipenda nchi yangu na natamani kuwa sehemu ya Rais JPM ambaye anataka kuibadilisha hii nchi, na anahitaji watu kama sisi tunaoilewa falsafa yake ya uongozi.

tunatekeleza@gmail.com
 
Mheshimiwa Rais,
Ninaomba kazi ya ukurugenzi wa halmashauri hasa katika maeneo ya kilimo au wafugaji kwasababu ninataka kutumia uzoefu na elimu yangu katika kuimarisha ushirika wa uzalishaji mali katika kilimo au ufugaji. Nina uzoefu wa muda mrefu katika kujenga uwezo wa taasisi ndogo ndogo za kifedha na kwa uzoefu niliojifunza nchi jirani, ninaona kabisa naweza kuwa sehemu ya mabadiliko katika kuhakikisha wakulima na wafugaji wa nchi hii wanajiimarisha katika ushirika au vikundi vya ushirika vya uzalishaji mali. Lengo hasa ni kuwalenga vijana ambao wana nguvu kazi, maarifa na mitaji lakini wanakosa mtu wa kuwapa maarifa ya kuwaunganisha.

Nimejipima mara nyingi nimegundua falsafa yako ya uongozi na mtazamo wako wa mambo, mimi ni mwanafunzi wako bora kabisa. Mimi nataka kutumia ujuzi wangu kuleta mabadiliko. Sitaki na sipendi business as usual nataka kuona mabadiliko hai kwa wananchi utakaonipa ridhaa ya kuwatumikia. Nitataka kuanzisha vikundi katika wilaya au halmashauri ambavyo vitakuwa vinalenga shughuli za kiuchumi. Kununua pembejeo pamoja, kuzalisha pamoja, kuhifadhi mazao pamoja, kutafuta bei pamoja na hatimaye kuuza pamoja. Fedha zitakazo patikana wanavikundi watajenga/kuboresha nyumba zao, kulipia bima za afya, kusomesha watoto wao na pia kulipa kodi kwa nchi.

Ukitazama ardhi iliyolala katika mikoa ya Morogoro, Mbeya, Rukwa, Katavi na Iringa, unajiuliza wako wapi viongozi kuwakusanya wananchi wafanye shughuli za uzalishaji mali badala ya kushinda kutwa kufanya siasa na kubeti? . Vijana wanaweza kuanzisha miradi ya ufugaji kuku wa kienyeji, ufugaji wa samaki, kilimo cha mbogamboga nk. Mashirika na taasisi zinatoa sapoti kwa shughuli hizi zipo tele zimejaa kinachokosekana ni uongozi wa kuwaleta pamoja wananchi.

Mimi naipenda nchi yangu na natamani kuwa sehemu ya Rais JPM ambaye anataka kuibadilisha hii nchi, na anahitaji watu kama sisi tunaoilewa falsafa yake ya uongozi.

tunatekeleza@gmail.com
Una kadi ya ccm?

Anza kusifia na kuabudu kama akina Mayalla na mataga.

Usisahau kutukana wapinzani.
 
sawa ila ungeanza kwa kuomba u afisa ustawi wa jamii ama u bwana shamba kwanza

kila la kheri, jamaa huwa anapita humu naombea asome bandiko lako
 
Kila la heri...niliwahi sema kwa Uzi wa shimba ya buyenze...naomba kujua je wewe kwenye mkoa ulozaliwa umewasaidiaje hao vijana kuwaunganisha walime kwa pamoja!? Au hata kijijini kwako umeutumiaje ujuzi ulionao?

Kilimo Cha ushirika kina changamoto Sana Kama hamna vision moja!
 
Mheshimiwa Rais,

Ninaomba kazi ya ukurugenzi wa halmashauri hasa katika maeneo ya kilimo au wafugaji kwasababu ninataka kutumia uzoefu na elimu yangu katika kuimarisha ushirika wa uzalishaji mali katika kilimo au ufugaji. Nina uzoefu wa muda mrefu katika kujenga uwezo wa taasisi ndogo ndogo za kifedha na kwa uzoefu niliojifunza nchi jirani, ninaona kabisa naweza kuwa sehemu ya mabadiliko katika kuhakikisha wakulima na wafugaji wa nchi hii wanajiimarisha katika ushirika au vikundi vya ushirika vya uzalishaji mali. Lengo hasa ni kuwalenga vijana ambao wana nguvu kazi, maarifa na mitaji lakini wanakosa mtu wa kuwapa maarifa ya kuwaunganisha.

Nimejipima mara nyingi nimegundua falsafa yako ya uongozi na mtazamo wako wa mambo, mimi ni mwanafunzi wako bora kabisa. Mimi nataka kutumia ujuzi wangu kuleta mabadiliko. Sitaki na sipendi business as usual nataka kuona mabadiliko hai kwa wananchi utakaonipa ridhaa ya kuwatumikia. Nitataka kuanzisha vikundi katika wilaya au halmashauri ambavyo vitakuwa vinalenga shughuli za kiuchumi. Kununua pembejeo pamoja, kuzalisha pamoja, kuhifadhi mazao pamoja, kutafuta bei pamoja na hatimaye kuuza pamoja. Fedha zitakazo patikana wanavikundi watajenga/kuboresha nyumba zao, kulipia bima za afya, kusomesha watoto wao na pia kulipa kodi kwa nchi.

Ukitazama ardhi iliyolala katika mikoa ya Morogoro, Mbeya, Rukwa, Katavi na Iringa, unajiuliza wako wapi viongozi kuwakusanya wananchi wafanye shughuli za uzalishaji mali badala ya kushinda kutwa kufanya siasa na kubeti? . Vijana wanaweza kuanzisha miradi ya ufugaji kuku wa kienyeji, ufugaji wa samaki, kilimo cha mbogamboga nk. Mashirika na taasisi zinatoa sapoti kwa shughuli hizi zipo tele zimejaa kinachokosekana ni uongozi wa kuwaleta pamoja wananchi.

Mimi naipenda nchi yangu na natamani kuwa sehemu ya Rais JPM ambaye anataka kuibadilisha hii nchi, na anahitaji watu kama sisi tunaoilewa falsafa yake ya uongozi.

tunatekeleza@gmail.com
Kwanini huo uzoefu usiutumie kujijenga wewe na jamii yako?
 
Pumbafu, through rumumba buku7 project umeisha tumika kama condom sasa huna thamani tena mbele ya macho ya watawala! hili ni fundisho tosha kwa mabuku7!
 
Hiyo hatua nimeshavuka nataka matokeo makubwa zaidi. Ndoto zangu ni zaidi ya familia na ukoo nawaza kitaifa zaidi- Upo?
Sio lazima uwe mtumishi wa umma ndio uweze kuisaidia/kuibadilisha jamii yako

Eti "ardhi imelala" wewe ushaitumia kwa kiasi gani hyo ardhi iliyolala kama umeitumia vilivyo tumia hiyo faida uliyopata kufanya hayo unayowish kuyafanya ukipewa huo ukurugenzi vinginevyo mimi nakuona ni mganga njaa tu kama walivyo waganga njaa wengine hapa .
 
Mtoa mada atakuwa ni mtu wa majungu,fitna na mchonganishi.
Mtoa hapo alipo anaweza kuisaidia jamii na taifa,sio lazima mpaka aombe nafasi ya ukurugenzi.
Inaonekana,mtoa mada ameona Mkurugenzi wa Wilaya wanavyopata shida,na mwingine Mkuu wa nchi kamsamehe bila ya hadhara ya wananchi,hivyo mtoa mada anachonganisha ili aliyesamehewa atumbuliwe!!!!
 
Mheshimiwa Rais,

Ninaomba kazi ya ukurugenzi wa halmashauri hasa katika maeneo ya kilimo au wafugaji kwasababu ninataka kutumia uzoefu na elimu yangu katika kuimarisha ushirika wa uzalishaji mali katika kilimo au ufugaji. Nina uzoefu wa muda mrefu katika kujenga uwezo wa taasisi ndogo ndogo za kifedha na kwa uzoefu niliojifunza nchi jirani, ninaona kabisa naweza kuwa sehemu ya mabadiliko katika kuhakikisha wakulima na wafugaji wa nchi hii wanajiimarisha katika ushirika au vikundi vya ushirika vya uzalishaji mali. Lengo hasa ni kuwalenga vijana ambao wana nguvu kazi, maarifa na mitaji lakini wanakosa mtu wa kuwapa maarifa ya kuwaunganisha.

Nimejipima mara nyingi nimegundua falsafa yako ya uongozi na mtazamo wako wa mambo, mimi ni mwanafunzi wako bora kabisa. Mimi nataka kutumia ujuzi wangu kuleta mabadiliko. Sitaki na sipendi business as usual nataka kuona mabadiliko hai kwa wananchi utakaonipa ridhaa ya kuwatumikia. Nitataka kuanzisha vikundi katika wilaya au halmashauri ambavyo vitakuwa vinalenga shughuli za kiuchumi. Kununua pembejeo pamoja, kuzalisha pamoja, kuhifadhi mazao pamoja, kutafuta bei pamoja na hatimaye kuuza pamoja. Fedha zitakazo patikana wanavikundi watajenga/kuboresha nyumba zao, kulipia bima za afya, kusomesha watoto wao na pia kulipa kodi kwa nchi.

Ukitazama ardhi iliyolala katika mikoa ya Morogoro, Mbeya, Rukwa, Katavi na Iringa, unajiuliza wako wapi viongozi kuwakusanya wananchi wafanye shughuli za uzalishaji mali badala ya kushinda kutwa kufanya siasa na kubeti? . Vijana wanaweza kuanzisha miradi ya ufugaji kuku wa kienyeji, ufugaji wa samaki, kilimo cha mbogamboga nk. Mashirika na taasisi zinatoa sapoti kwa shughuli hizi zipo tele zimejaa kinachokosekana ni uongozi wa kuwaleta pamoja wananchi.

Mimi naipenda nchi yangu na natamani kuwa sehemu ya Rais JPM ambaye anataka kuibadilisha hii nchi, na anahitaji watu kama sisi tunaoilewa falsafa yake ya uongozi.

tunatekeleza@gmail.com
Chukua
 
Mkuu,

Nikushauri tu, wakati mwingine kuitaka sana nafasi flani inaweza kuwa ground ya kuwa disqualified.
 
Utakuna huna hata shamba. Unabeba mavyeti tu kuhangaika kutafta kazi wakati ulichosomea ni kiasi cha kuchukua jembe na panga ukaingia porini kuanza kulima.
 
Back
Top Bottom