Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kikokotoo kimeandaliwa na watumishi wa umma na kinalalamimiwa na watumishi wa umma Bima ya watoto imeondolewa na watumishi wa umma kisa watoto wao wanatibiwa bure ila wanashindwa kufahamu kuna...
2 Reactions
0 Replies
736 Views
Taarifa zilizopo zinaonyesha kwamba walioondolewa na wanaotarajiwa kuondolewa Tanesco wamepatwa na furaha ya ajabu , kinyume na matarajio ya wengi waliodhani kwamba labda Waenda zao hao huenda...
6 Reactions
19 Replies
3K Views
By MMM Watu wamepiga kelele kutaka kujua ndege imeachiwa kwa masharti yapi. Leo MMM ametutonya kama ilivyo hapo juu Walitaka walipwe US&500M (1.2 Trillion) wamelipwa 403 Bn Tsh. Magufuli kwa...
16 Reactions
242 Replies
20K Views
Ni kama tengua teua kila siku zaanza kuwa kawaida yani viongozi sasa hivi ni kama wameisha. Zile enzi za kusikia Mkuu wa Mkoa kutumikia kwa kipindi kirefu sasa zimeisha, sijui nini kimetokea...
0 Reactions
6 Replies
737 Views
Kumekuwa na shida ya kupata MADED waliokuwa na uwezo wa kusimamia Halmashauri hasa upande wa Miradi ambako Fedha zimekuwa zikichotwa hovyo, hii ni kutokana na MADED wengi wamekuwa wakiteuliwa...
1 Reactions
11 Replies
864 Views
Huduma zote mhimu kwa wananchi zimefeli vibaya mno Ripoti za CAG zinawekwa makabatini tu kwa mh sipika bila kufanyiwa kazi na wahusika wapo, hii ni dhambi kubwa sana na unyanyasaji kwa vibaka wa...
56 Reactions
226 Replies
10K Views
Hiii bima ya afya imekuwa changamoto saana. waziri wa afya itabidi afanye jitihada watoto wetu kusaidiwa.
0 Reactions
4 Replies
440 Views
Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vzuri.
22 Reactions
109 Replies
6K Views
Nilikuwa napitia hotuba mipasho ya Mwenyekiti wa CCM Taifa Samia Suluhu Hassan kwa vyama vya siasa. Samia anasema, "ndio maana tumetoa fursa hiyo ili vyama viende kwa wananchi mkajijenge mkue...
0 Reactions
3 Replies
843 Views
Kwa hili linaloendelea kuanzia last week linalohusu mgawo wa umeme ambao Maharage Chande anasema haupo bali kuna ratiba ya umeme ni dhahiri matarajio ya Rais Samia aliyoweka kwa Waziri Makamba...
20 Reactions
92 Replies
9K Views
Habari wana JF, Kwa wale wazee wenzangu, watakubaliana na mimi kwamba wanachuo wa siku hizi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam wamepoa sana na wengi wao hawajiamini kulinganisha na wale wa miaka ya...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
January Makamba ameishi maisha mazuri toka utotoni si kwa sababu alikuwa bora kuliko wengine bali baba yake alitumia madaraka yake kumfanya aishi kwa rasilimali za nchi. Tukumbuke familia hii...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nafasi ya Naibu waziri Mkuu imewekwa kumsaidia Waziri Mkuu kiwa na nguvu Zanzibar tofauti na sasa ambapo majukumu yake yanakwama kuvuka maji Ameteuliwa Biteko kama chokoza ujuvi kupisha kuteuliwa...
0 Reactions
0 Replies
298 Views
Leo Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati bwana Biteko atakutana na kuzungumza na wafanyakazi wa TANESCO makao makuu Ubungo. Jamaa zangu ambao ni wafanyakazi hapo wanasema Makamba amekua waziri...
14 Reactions
52 Replies
6K Views
Umuofia kwenu....! Kati ya mwaka 2018 na 2020 Tanzania ilipitia changamoto za uhaba mkubwa wa Cement na bei kuanza kupanda kiholela. Lakini baada ya kulifuatilia suala lile, nikaja kugundua...
16 Reactions
75 Replies
5K Views
Wakili Boniface Mwabukusi yuko Mahabusu kwa siku kadhaa sasa kwa kosa la kupigania haki za Watanganyika kuzuia Bandari zake kuuzwa kwa Mwarabu. Mwabukusi anakuwa Mtanzania wa kwanza wa kizazi cha...
7 Reactions
14 Replies
3K Views
Haya huo ndio Ushauri wa mh.Diwani,mjumbe hauwawi. https://www.instagram.com/reel/CxhqT0JqnYw/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
0 Reactions
13 Replies
821 Views
Kuna Mazingaombwe yametokea, kuna upungufu wa Umeme na ratiba ya mgao imetolewa na tayari watu wamezoea kushinda bila Umeme,nimeulizia jenerator la lita 3 ilimradi niweze kupiga hata photocopy...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Tuesday, September 19, 2023 Utafiti wa Mradi wa EFLOWS waonesha maji yanapungua kwenye mito https://m.youtube.com/watch?v=BLG0zKicKV0&pp=ygUORUZMT1dTICBNYmV5YSA%3D Wadau wa maji wa mto Mbarali...
0 Reactions
2 Replies
493 Views
Nakushauri iyo wizara ukiendeleza uliyoyakuta mwaka hautaisha utatolewa. Ili kurudisha ufanisi kwenye hii wizara yenye kashifa ya ufisadi Nakuomba Timua MD wa Tanesco Timua Manejement yote...
5 Reactions
22 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…