Kwa huu mgao wa umeme na maji, ni dhahiri majamaa yanamhujumu Rais

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Feb 26, 2021
950
2,866
Kuna Mazingaombwe yametokea, kuna upungufu wa Umeme na ratiba ya mgao imetolewa na tayari watu wamezoea kushinda bila Umeme,nimeulizia jenerator la lita 3 ilimradi niweze kupiga hata photocopy nimeambiwa shilingi 300,000 jenerator la lita tano nimeambiwa shilingi 500,000, ndio uwezo wangu wacha ninunue jenerator la sh laki tano, hakuna namna Mzee, biashara ya jenerator imekuwa muhimu sana,hata ninyi mtanunua tu majenerator wazee, ni jambo la muda tu.

Ila ni dhahiri Mama anahujumiwa na wahujumu, wapo miongoni mwetu, kuna mawili wanatuhujumu au wanafanya yanayotakiwa yafanyike, kuhujumu Umeme na hatimaye igawiwe kwa Wajomba.

Kama si hivyo,kwa nini;-

Wasistaafishwe for the public interests

Huu mgao unaoendelea,kwa nini wahusika wasifunguliwe mashtaka kwa kutuletea upungufu wa Umeme na ratiba ya mgao wa Umeme wakati bwawa la Mwalimu Julius Kambarage Nyerere likitakiwa liishe na kuanza kutumika mwaka huu 2023 na kutupatia Megawatt 2400 ambayo zingetoa Umeme Tanzania nzima na kuuza nje ya nchi ila leo bwawa halijaisha na Megawatt chini ya 1,000 na tuna mgao wa Umeme nchi nzima.

Net Solution, IPTL, RICHIMOND, DOWANS, PAP, Gesi ya Mtwara, sasa tuwape Waarabu watupatie Umeme kama sisi tumeshindwa kujipatia Umeme wenyewe ilihali nishati ya Umeme ipo hapa hapa Tanzania.
 
Inawezekana maza nae ni mfaidika wa hizo hujuma. Na kama tatizo la umeme linasababishwa na ukame kama wanavyosema basi ukame ndo kwanza umeanza.
 
Mwenyezi Mungu ameibariki Afrika kwa kila aina ya raslimali (mali). Halafu akainyima watu wenye akili ya kuzitumia hizo raslimali. Na matokeo yake ndiyo haya sasa.
 
Tatzo si limeisha leo baada ya Maharage kuondolewa mkuu.
 
Wanao mhujumu mama wamewekwa hapo na nani?. Na Je mama hana vyombo vya ku detect hao wahujumu??.
 
Watu hawaelewiii hivikwani nisekta gani tuko vizuri?? Kilamahali panavuja sema sekta nyingine matokeo yake hatuoni direct inakula kimyakimya...
 
Kuna Mazingaombwe yametokea,kuna upungufu wa Umeme na ratiba ya mgao imetolewa na tayari watu wamezoea kushinda bila Umeme,nimeulizia jenerator la lita 3 ilimradi niweze kupiga hata photocopy nimeambiwa shilingi 300,000 jenerator la lita tano nimeambiwa shilingi 500,000,ndio uwezo wangu wacha ninunue jenerator la sh laki tano, hakuna namna Mzee, biashara ya jenerator imekuwa muhimu sana,hata ninyi mtanunua tu majenerator wazee,ni jambo la muda tu.

Ila ni dhahiri Mama anahujumiwa na wahujumu, wapo miongoni mwetu,kuna mawili wanatuhujumu au wanafanya yanayotakiwa yafanyike, kuhujumu Umeme na hatimaye igawiwe kwa Wajomba.

Kama si hivyo,kwa nini;-

Wasistaafishwe for the public interests

Huu mgao unaoendelea,kwa nini wahusika wasifunguliwe mashtaka kwa kutuletea upungufu wa Umeme na ratiba ya mgao wa Umeme wakati bwawa la Mwalimu Julius Kambarage Nyerere likitakiwa liishe na kuanza kutumika mwaka huu 2023 na kutupatia Megawatt 2400 ambayo zingetoa Umeme Tanzania nzima na kuuza nje ya nchi ila leo bwawa halijaisha na Megawatt chini ya 1,000 na tuna mgao wa Umeme nchi nzima.

Net Solution, IPTL, RICHIMOND, DOWANS, PAP, Gesi ya Mtwara, sasa tuwape Waarabu watupatie Umeme kama sisi tumeshindwa kujipatia Umeme wenyewe ilihali nishati ya Umeme ipo hapa hapa Tanzania.
Ukomo wa MUDA ukishawekwa kukuhusu!hata kama ukijibidiisha kiasi gani hutoweza!

Tuendelee kuitumikia jamhuri ipasavyo!
 
Kuna Mazingaombwe yametokea, kuna upungufu wa Umeme na ratiba ya mgao imetolewa na tayari watu wamezoea kushinda bila Umeme,nimeulizia jenerator la lita 3 ilimradi niweze kupiga hata photocopy nimeambiwa shilingi 300,000 jenerator la lita tano nimeambiwa shilingi 500,000, ndio uwezo wangu wacha ninunue jenerator la sh laki tano, hakuna namna Mzee, biashara ya jenerator imekuwa muhimu sana,hata ninyi mtanunua tu majenerator wazee, ni jambo la muda tu.

Ila ni dhahiri Mama anahujumiwa na wahujumu, wapo miongoni mwetu, kuna mawili wanatuhujumu au wanafanya yanayotakiwa yafanyike, kuhujumu Umeme na hatimaye igawiwe kwa Wajomba.

Kama si hivyo,kwa nini;-

Wasistaafishwe for the public interests

Huu mgao unaoendelea,kwa nini wahusika wasifunguliwe mashtaka kwa kutuletea upungufu wa Umeme na ratiba ya mgao wa Umeme wakati bwawa la Mwalimu Julius Kambarage Nyerere likitakiwa liishe na kuanza kutumika mwaka huu 2023 na kutupatia Megawatt 2400 ambayo zingetoa Umeme Tanzania nzima na kuuza nje ya nchi ila leo bwawa halijaisha na Megawatt chini ya 1,000 na tuna mgao wa Umeme nchi nzima.

Net Solution, IPTL, RICHIMOND, DOWANS, PAP, Gesi ya Mtwara, sasa tuwape Waarabu watupatie Umeme kama sisi tumeshindwa kujipatia Umeme wenyewe ilihali nishati ya Umeme ipo hapa hapa Tanzania.
Hakuna hujuma!! Tatizo ni mfumo chakavu wa utawala uliopo!!
 
Mi nadhani tatizo la mgao wa umeme ni la kutengeneza Ili watu wakome kuzungumzia Mkataba wa Bandari! Maana limekuja ghafla sana!

Kwa sasa mada zetu si bandari Tena Bali ni mgao wa umeme na kukosa Pesa kitaa, hii ina maana biashara zetu watu wa Hali ya chini tulio wengi haziendi ni njaa tu mitaani, na ukiwa na njaa Huna muda wa kufuatilia ubovu wa Serikali! Muda wote utasakanya kusaka msosi!
Hongera viongozi kwa kutukomesha! Hakuna kitu kinaboa town kama kukosa umeme!

Ila tuseme ukweli miaka ya mwisho ya utawala wa Magu mgao wa umeme ulikuwa historia!

Kwa mtazamo wangu Rais Huyu hatoshi maana kuna mahali panavuja now!
Si haki nchi kukaa gizani katika Karne ya 21! Ulaya umeme haukatiki tangu mtu unazaliwa hadi unakufa kwani wao wanafanyaje? Si tukaige huko badala ya kukalia kufunga ushungi tu!
 
WATANZANIA walipiga kelele nyingi sana baada ya januari na maharage na bodi mpya kuteuliwa wakapuuzwa sasa matokeo yameprove wamefeli vibaya nchi iko gizani

Aibu kwa samia na mamlaka yake ya uteuzi waliteuwa kimihemko badala ya kuangalia weledi ona sasa kamrudisha Mhandisi kuwa Mkurugenzi

Na bodi kaiweka Mwenyekiti mpya

Rais apunguze kuziba masikio 😕
 
Back
Top Bottom