uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 3,999
- 8,387
Nakushauri iyo wizara ukiendeleza uliyoyakuta mwaka hautaisha utatolewa.
Ili kurudisha ufanisi kwenye hii wizara yenye kashifa ya ufisadi
Nakuomba
Timua MD wa Tanesco
Timua Manejement yote
Nakushauri kabla haujaharibikiwa
Kuna wataalamu wengi na wazalendo waliondolewa hapo kutokana na uzalendo wao warudishie wakusaidie
Ili kurudisha ufanisi kwenye hii wizara yenye kashifa ya ufisadi
Nakuomba
Timua MD wa Tanesco
Timua Manejement yote
Nakushauri kabla haujaharibikiwa
Kuna wataalamu wengi na wazalendo waliondolewa hapo kutokana na uzalendo wao warudishie wakusaidie