Mabilioni ya kikao cha viongozi wa wizara ya nishati chamtoa Makamba; lipo pia suala la REA na ufanisi mdogo alionao

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
879
4,109
January Makamba ameishi maisha mazuri toka utotoni si kwa sababu alikuwa bora kuliko wengine bali baba yake alitumia madaraka yake kumfanya aishi kwa rasilimali za nchi. Tukumbuke familia hii tofauti na kuwa watumishi wa umma wenye mshahara wa chini kabisa wamekuwa wakiishi maisha ya juu bila kujulikana fedha wanatoa wapi.

Kutokana na kuishi maisha ya ulimwengu wa kwanza amejikuta yeye ni waziri na kupitia nafasi hiyo waliomteua kila wanapofanya tathimini wanabaini siyo mtu sahihi kwenye uongozi hasa sekta nyeti.

Mfano gharama alizotumia kuandaa kongamano la TANESCO miezi michache iliyopita hakuna ambaye angeamini kwamba alitumia mabilioni kula na kunywa huku akiona kabisa mgao wa umeme unakuja.

Wao na Maharage wangeweza kufanya zaidi ila siyo kutumia mabilioni kwenye tamasha la viongozi waandamizi wa wizara na mashirika kwa kile kilichoitwa kujadili mafanikio na mikakati mipya.

Kwa kuwa hajawahi kujinunulia kitu chochote kwa jasho lake anaamini yeye amezaliwa kutumia rasilimali zetu huku wanyonge wakiendelea kinyonywa kwa mikodi lukuki.

Alikataa wananchi kuunganishiwa umeme wa REA kwa 27000 then yeye anatumia mabilioni kwenye vikao, ni ukatili tu usio na maana kuwafanya watu waishi gizani huku wewe ukigharamiwa kila kitu.

Jana waziri Mkuu amepiga kelele watumishi wa Kigoma kutumia milioni kumi na moja kwenda kwenye tamasha Tabora, je anafahamu mabilioni wanayotumia watendaji wa wizara na Idara za serikali?

Naamini zipo taasisi menejimenti inaondoka Dodoma kwenda DSM kufanya vikao vya menejimenti ili walipwe posho. Haya mambo yalikwemewa fedha za kukamilisha miradi ya umeme lazima zitapatikana.
 
January Makamba ameishi maisha mazuri toka utotoni si kwa sababu alikuwa bora kuliko wengine bali baba yake alitumia madaraka yake kumfanya aishi kwa rasilimali za nchi. Tukumbuke familia hii tofauti na kuwa watumishi wa umma wenye mshahara wa chini kabisa wamekuwa wakiishi maisha ya juu bila kujulikana fedha wanatoa wapi.

Kutokana na kuishi maisha ya ulimwengu wa kwanza amejikuta yeye ni waziri na kupitia nafasi hiyo waliomteua kila wanapofanya tathimini wanabaini siyo mtu sahihi kwenye uongozi hasa sekta nyeti. Mfano gharama alizotumia kuandaa kongamano la TANESCO miezi michache iliyopita hakuna ambaye angeamini kwamba alitumia mabilioni kula na kunywa huku akiona kabisa mgao wa umeme unakuja.

Wao na Maharage wangeweza kufanya zaidi ila siyo kutumia mabilioni kwenye tamasha la viongozi waandamizi wa wizara na mashirika kwa kile kilichoitwa kujadili mafanikio na mikakati mipya.

Kwa kuwa ajawahi kujinunulia kitu chochote kwa jasho lake anaamini yeye amezaliwa kutumia rasilimali zetu huku wanyonge wakiendelea kinyonywa kwa mikodi lukuki. Alikataa wananchi kuunganishiwa umeme wa REA kwa 27000 then yeye anatumia mabilioni kwenye vikao....ni ukatili tu usio na maana kuwafanya watu waishi gizani huku wewe ukigharamiwa kila kitu.


Jana waziri Mkuu amepiga kelele watumishi wa Kigoma kutumia milioni kumi na moja kwenda kwenye tamasha Tabora, je anafahamu mabilioni wanayotumia watendaji wa wizara na Idara za serikali?

Naamini zipo taasisi menejimenti inaondoka Dodoma kwenda DSM kufanya vikao vya menejimenti ili walipwe posho......haya mambo yalikwemewa fedha za kukamilisha miradi ya umeme lazima zitapatikana
Kelele hazi saidii
Tungekuwa na katiba nzuri hawa ni watu wa kupelekwa mahakamani kwa kesi za uhujumu uchumi.
Bado tuu Rais ana wahamisha wakale sehemu nyingine.. mabo ya kipuuzi kabisa.
Wizara ya Afya wame kwapua mabilioni ya NHIF wananua waliko zipeleka, sasa mzigo umerudishwa kwetu, watoto wetu wasitubiwe kwa toto card. Tuongeza hela wakale tena. Hawa Ccm ni wakunyonga hadi wafe.
 
WATANZANIA walipiga kelele nyingi sana baada ya januari na maharage na bodi mpya kuteuliwa wakapuuzwa sasa matokeo yameprove wamefeli vibaya nchi iko gizani

Aibu kwa samia na mamlaka yake ya uteuzi waliteuwa kimihemko badala ya kuangalia weledi ona sasa kamrudisha Mhandisi kuwa Mkurugenzi

Na bodi kaiweka Mwenyekiti mpya

Rais apunguze kuziba masikio 😕
 
Ni kama amepandishwa Cheo!
IMG-20230923-WA0001.jpg
 
January Makamba ameishi maisha mazuri toka utotoni si kwa sababu alikuwa bora kuliko wengine bali baba yake alitumia madaraka yake kumfanya aishi kwa rasilimali za nchi. Tukumbuke familia hii tofauti na kuwa watumishi wa umma wenye mshahara wa chini kabisa wamekuwa wakiishi maisha ya juu bila kujulikana fedha wanatoa wapi.

Kutokana na kuishi maisha ya ulimwengu wa kwanza amejikuta yeye ni waziri na kupitia nafasi hiyo waliomteua kila wanapofanya tathimini wanabaini siyo mtu sahihi kwenye uongozi hasa sekta nyeti. Mfano gharama alizotumia kuandaa kongamano la TANESCO miezi michache iliyopita hakuna ambaye angeamini kwamba alitumia mabilioni kula na kunywa huku akiona kabisa mgao wa umeme unakuja.

Wao na Maharage wangeweza kufanya zaidi ila siyo kutumia mabilioni kwenye tamasha la viongozi waandamizi wa wizara na mashirika kwa kile kilichoitwa kujadili mafanikio na mikakati mipya.

Kwa kuwa ajawahi kujinunulia kitu chochote kwa jasho lake anaamini yeye amezaliwa kutumia rasilimali zetu huku wanyonge wakiendelea kinyonywa kwa mikodi lukuki. Alikataa wananchi kuunganishiwa umeme wa REA kwa 27000 then yeye anatumia mabilioni kwenye vikao....ni ukatili tu usio na maana kuwafanya watu waishi gizani huku wewe ukigharamiwa kila kitu.


Jana waziri Mkuu amepiga kelele watumishi wa Kigoma kutumia milioni kumi na moja kwenda kwenye tamasha Tabora, je anafahamu mabilioni wanayotumia watendaji wa wizara na Idara za serikali?

Naamini zipo taasisi menejimenti inaondoka Dodoma kwenda DSM kufanya vikao vya menejimenti ili walipwe posho......haya mambo yalikwemewa fedha za kukamilisha miradi ya umeme lazima zitapatikanamna
😂😂😂😂
Mnamnanga kweli kweeli.
 
Back
Top Bottom