Rais Samia weka maDED kutoka taasis zilizofanya vema usimamizi wa Miradi

ubarinolutu

JF-Expert Member
Oct 22, 2012
1,964
3,895
Kumekuwa na shida ya kupata MADED waliokuwa na uwezo wa kusimamia Halmashauri hasa upande wa Miradi ambako Fedha zimekuwa zikichotwa hovyo, hii ni kutokana na MADED wengi wamekuwa wakiteuliwa kutoka LUMUMBA, wengi wao wakiwa ni makada na hawana taaluma au uzoefu wa kuendesha ofisi hasa katika usimamiz wa Miradi mikubwa na manunuzi kiujumla.

Nataka nimwambie Mh.Rais nchi hii Kuna taasis zimefanya vizuri hasa katika upande wa usimamizi wa Miradi ya Fedha nyingi , na kuwa na ufanisi mkubwa, Mfano TANROAD, TANESCO.

SASA ni wakati wa Samia kuanza kuchomoa wataalamu katika taasis kubwa za kimanunuzi na usimamiaji mradi na kuwapa wakasimamie Halmashauri kama wakurugenzi, hii ya kuokota okota makada waliokuwa wakipiga zogo Lumumba ndo imeleta kupotea ufanisi Kwa MADEDI wengi
 
Unamwambia, unadhani hawajui? Hao Ma DED wanapelekwa huko kwa ajili ya kula pesa kama Asante.

Kwa akili ya kawaida, unawezaje kumpeleka mtu hajawahi kuendesha ata ofisi yenye mradi wa kujenga Choo cha shimo yenye matundu 2 achilia mbali kuongoza kikundi cha watu 4 ili akasimamie Halmashauri kwa ufanisi?
Unless uwe kichaa.
 
Tatizo hao makada ni kweli hawajui wafanyalo wakipewa ajira hizi ndio maana hata Magu alikuwa anasema mimi nawateua mkajifunze huko huko.

Yaani unampa kazi mtu hajui anaenda kusimamia nini eti akajifunzie huko huko kisa ni Kada mtiifu

Tena niongeze kwenye list bora Bankers pia wanaweza kulinda rasilimali kuliko hawa hata corner shop hawawezi kuendesha
 
Kumekuwa na shida ya kupata MADED waliokuwa na uwezo wa kusimamia Halmashauri hasa upande wa Miradi ambako Fedha zimekuwa zikichotwa hovyo, hii ni kutokana na MADED wengi wamekuwa wakiteuliwa kutoka LUMUMBA, wengi wao wakiwa ni makada na hawana taaluma au uzoefu wa kuendesha ofisi hasa katika usimamiz wa Miradi mikubwa na manunuzi kiujumla.

Nataka nimwambie Mh.Rais nchi hii Kuna taasis zimefanya vizuri hasa katika upande wa usimamizi wa Miradi ya Fedha nyingi , na kuwa na ufanisi mkubwa, Mfano TANROAD, TANESCO.

SASA ni wakati wa Samia kuanza kuchomoa wataalamu katika taasis kubwa za kimanunuzi na usimamiaji mradi na kuwapa wakasimamie Halmashauri kama wakurugenzi, hii ya kuokota okota makada waliokuwa wakipiga zogo Lumumba ndo imeleta kupotea ufanisi Kwa MADEDI wengi
Naona hata hamuelewi mabadiliko ya kiutawala yaliyofanyika. Tatizo kubwa huwa hamfatilii mambo kwa kina. Kuna mabadiliko ya hali ya juu tuyategemee kila kukicha mpaka 2025.

Zisomeni R 4 za mama Samia mtaelewa tulipo na wapi tunatakiwa kuelekea.

Asiyezielewa R 4 za mama Samia, kwa kina na kwa vitendo, hatokuwepo kwenye jahazi lake.
 
Naona hata hamuelewi mabadiliko ya kiutawala yaliyofanyika. Tatizo kubwa huwa hamfatilii mambo kwa kina. Kuna mabadiliko ya hali ya juu tuyategemee kila kukicha mpaka 2025.

Zisomeni R 4 za mama Samia mtaelewa tulipo na wapi tunatakiwa kuelekea.

Asiyezielewa R 4 za mama Samia, kwa kina na kwa vitendo, hatokuwepo kwenye jahazi lake.
Wa Lumumba lazima wawepo
 
Labda angerudisha selection za awamu ya nne alikua anachukua watumishi walio kwenye halmashauri atleast walikua na experience na kinachopaswa kusimamiwa kwenye halmashauri.
 
Unamwambia, unadhani hawajui? Hao Ma DED wanapelekwa huko kwa ajili ya kula pesa kama Asante.

Kwa akili ya kawaida, unawezaje kumpeleka mtu hajawahi kuendesha ata ofisi yenye mradi wa kujenga Choo cha shimo yenye matundu 2 achilia mbali kuongoza kikundi cha watu 4 ili akasimamie Halmashauri kwa ufanisi?
Unless uwe kichaa.
Umemaliza mkuu.
 
Kumekuwa na shida ya kupata MADED waliokuwa na uwezo wa kusimamia Halmashauri hasa upande wa Miradi ambako Fedha zimekuwa zikichotwa hovyo, hii ni kutokana na MADED wengi wamekuwa wakiteuliwa kutoka LUMUMBA, wengi wao wakiwa ni makada na hawana taaluma au uzoefu wa kuendesha ofisi hasa katika usimamiz wa Miradi mikubwa na manunuzi kiujumla.

Nataka nimwambie Mh.Rais nchi hii Kuna taasis zimefanya vizuri hasa katika upande wa usimamizi wa Miradi ya Fedha nyingi , na kuwa na ufanisi mkubwa, Mfano TANROAD, TANESCO.

SASA ni wakati wa Samia kuanza kuchomoa wataalamu katika taasis kubwa za kimanunuzi na usimamiaji mradi na kuwapa wakasimamie Halmashauri kama wakurugenzi, hii ya kuokota okota makada waliokuwa wakipiga zogo Lumumba ndo imeleta kupotea ufanisi Kwa MADEDI wengi
Tatizo kubwa ni kuendekeza uchawa katika teuzi wakati hawana uwezo. Hata walio nje ya CCM ni watanzania wateuliwe kama wana uwezo kwa ajili ufanisi kwa maendeleo ya Nchi yetu.
 
Naona hata hamuelewi mabadiliko ya kiutawala yaliyofanyika. Tatizo kubwa huwa hamfatilii mambo kwa kina. Kuna mabadiliko ya hali ya juu tuyategemee kila kukicha mpaka 2025.

Zisomeni R 4 za mama Samia mtaelewa tulipo na wapi tunatakiwa kuelekea.

Asiyezielewa R 4 za mama Samia, kwa kina na kwa vitendo, hatokuwepo kwenye jahazi lake.
Yaani wewe na 4 R ninkama umewehuka
 
Back
Top Bottom