Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 887
- 2,201
Nilikuwa napitia hotuba mipasho ya Mwenyekiti wa CCM Taifa Samia Suluhu Hassan kwa vyama vya siasa. Samia anasema, "ndio maana tumetoa fursa hiyo ili vyama viende kwa wananchi mkajijenge mkue. Hatukutoa fursa hiyo ili mkatukane, kukashifu nakadhalika".
Samia tambua kuwa mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa sio fursa unayotoa wewe na kundi lako (Serikali), hapana. Hilo ni takwa la Katiba si hisani. Usidhani tumenywea kirahisi kwa kumbukumbu ya Magufuli. Ova!
Samia tambua kuwa mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa sio fursa unayotoa wewe na kundi lako (Serikali), hapana. Hilo ni takwa la Katiba si hisani. Usidhani tumenywea kirahisi kwa kumbukumbu ya Magufuli. Ova!