Hivi ni makampuni gani ambayo yalifanya shughuli zake kihalali kabisa nchini, na yalifunga shughuli baada ya utawala wa Magufuli kuingia madarakani?

thetallest

JF-Expert Member
Oct 21, 2017
8,256
9,085
Kumekuwepo na tuhuma nyingi sana mitandaoni, na sehemu mbalimbali toka kwa baadhi ya watanzania wenzetu , yakwamba enzi ya utawala wa Magufuli wafanyabiashara wengi na makampuni yaliacha kufanya biashara halali na kuondoka nchini,kisa walionewa?

Naomba kupitia uzi huu tutaje baadhi ya wafanyabiashara na makampuni hayo ambayo biashara zao zilisajiliwa brela na yalifanya biashara kihalali nchini na yalikuwa yakilipa kodi stahiki kwa taifa letu.
Wimbo huu umeshamiri sana ,kukata mzizi wa fitina twendeni na facts.

Isije kuwa kampuni na wafanyabiashara wakwepa kodi ndio waliokimbia na sasa wanaamini mwendazake hayupo tena hivyo ni fursa tena kwao .?
 
Kumekuwepo na tuhuma nyingi sana mitandaoni, na sehemu mbalimbali toka kwa baadhi ya watanzania wenzetu , yakwamba enzi ya utawala wa Magufuli wafanyabiashara wengi na makampuni yaliacha kufanya biashara halali na kuondoka nchini,kisa walionewa?

Naomba kupitia uzi huu tutaje baadhi ya wafanyabiashara na makampuni hayo ambayo biashara zao zilisajiliwa brela na yalifanya biashara kihalali nchini na yalikuwa yakilipa kodi stahiki kwa taifa letu.
Wimbo huu umeshamiri sana ,kukata mzizi wa fitina twendeni na facts.

Isije kuwa kampuni na wafanyabiashara wakwepa kodi ndio waliokimbia na sasa wanaamini mwendazake hayupo tena hivyo ni fursa tena kwao .?
Kaulizie Brela au TRA ili upate uhakika zaidi wa swali lako.
 
Bgml yaani bulyanhulu gold mine ule mgodi haupo brela?
Acha uongo wewe Bgml ndo nini?
BGML ni matokeo ya wazungu kukwepa kodi,hii ndo ilikuwa ikiitwa Kahama Gold mine baadaye wakaiita Bulyanhulu Gold Mine Limited,baada wakaibadilisha kuwa Africa Barrick Gold mine,baadaye wakaigeuza ACACIA wazee wa makinikia.
Hivyo BGML haikufunga.
 
Acha uongo wewe Bgml ndo nini?
BGML ni matokeo ya wazungu kukwepa kodi,hii ndo ilikuwa ikiitwa Kahama Gold mine baadaye wakaiita Bulyanhulu Gold Mine Limited,baada wakaibadilisha kuwa Africa Barrick Gold mine,baadaye wakaigeuza ACACIA wazee wa makinikia.
Hivyo BGML haikufunga.
Kwa hiyo bgml 2017 to 2019 ilikuwa inapiga kazi?
 
Acha uongo wewe Bgml ndo nini?
BGML ni matokeo ya wazungu kukwepa kodi,hii ndo ilikuwa ikiitwa Kahama Gold mine baadaye wakaiita Bulyanhulu Gold Mine Limited,baada wakaibadilisha kuwa Africa Barrick Gold mine,baadaye wakaigeuza ACACIA wazee wa makinikia.
Hivyo BGML haikufunga.
Hii mada ni kichomi kwa wale wanaochezeshwa mitandaoni bila tafakuri ya kina
 
Wahuni hao ,Magufuli aliwapiga kitanzi cha hatari
Wahuni?!!!ulidhania ku bakia pekee yako kwenye biashara ndio kufanya vizuri hahaha!!yako wapi sasa?jamaa alikuwa na roho ya uharibuf tu!!eti kwenye awamu yake ROSTAM , ndio akaibuka muwekezekaji mkubwa na swaiba wake!!MUNGU FUNDI
 
Back
Top Bottom