Kule Hanang, Serikali ina kikosi cha Maafa chenye bajeti na vifaa vyote?

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
2,712
6,507
Pale Hanang kuna maafa na ni kama imetokea landslide kutokea Mlima Hanang, nimeona maaskari wa FFU wakiwa wamevalia buti zao kana kwamba wanaenda kukamata waandamanaji eti ndio kikosi cha uokoaji, hawana vifaaa, hawana rainboot, haaana aina yoyote ya kufaa.

Raia wamebomokewa na nyuma, na mali zimeharibika, nilitarajia kuwe tiyali kuna helicopta ikiwa imesheheni, mahema,Maj ya kunywa, Mablanket na vyakula imeisha tua Hanang pale kutoa msaada. Nilitarajia pia basi kuwe kuna garu zingine njiani zilizo beba misaada zikielekea kule.

Lakini hali sio hivyo watu walio bomokewa na nyumba zao wanaambiwa wakajihifadhi kwa majirani hakuna msaada wa aina yoyote ule kutoka Serikalini hadi sasa zaidi ya pole, hakuna dalili za msaaada nchi haina pesa.

Tutarajie pole na masikitiko kutoka kwa watawala huku raia wakitaabika pale.

Nchi haina kikosi cha uokoaji kilicho tiyali wakati wowote kwenda sehemu yoyote ya nchi ndani ya Dakika 45 hadi lisaaa limoja, Hakuna Bajeti ya misaada ya kibinadamu kwa wahanga.

Wakati huo huo bajeti ya V8 mpya kila mwaka ni Billion 500, kule Dubai Serikali imeenda na watu 700+ watawala wamebeba wake, shemeji zao na watoto wao pia.

Raia tunapaswa kupaza sauti, na kukataa tawala hizi zisizo jali maisha ya Raia, Serikali imewekeza kwenye anasa tupu, pesa za anasa zipo za kutosha lakini hakuna pesa za misaada ya dharura, hakuna kikosi cha uokoaji wala vifaa.

Angalia hata ilipo zama ndege ziwa Victoria kule Bukoba, maafa yangeweza pungua kamakungekuwa na kikosi cha uokoaji chenye vifaaa kamili lakini haikuwa hivyo kabisa.

Pia soma > Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 49

Serikali mfano maafa ziwani inategemea wavuvi ndio watoe uokoaji ilihali wao wakituma Wakuu wa wilaya kwenda kupiga picha pale.
 
jeshi lenyewe kazi yake kupiga raia na kusaka sijui sare unategemea nini?

Pakistani army rescue people na siyo kuwapiga
1701618330946.jpeg



1701618222960.jpeg
 
Lile chopa lililotuwa Mbeya kwa mbwembwe..lingeruka kuzuunguka Mlima Hanang na wajiolojia kuskani chanzo cha maporomoko huenda kuna ngema zimejiegesha na kutuzuum tu huku chini...

Tuyaombe mahema Makampuni ya Utalii Arusha tukubali tu bado HATUJA JIPANGA
 
Ndio maana ilitakiwa vikosi vya uokoaji viwe chini ya municipalities SIO kuviweka vya kijeshi, ni aibu kubwa miaka 60 ya kujitawala hatuna vikosi imara vya uokoaji, DC ana V8 ya 500M,ila wilaya haina hata fire engine ya 200M,ujinga,upumbavu ndio mtaji wa royal families
 
Ndio maana ilitakiwa vikosi vya uokoaji viwe chini ya municipalities SIO kuviweka vya kijeshi, ni aibu kubwa miaka 60 ya kujitawala hatuna vikosi imara vya uokoaji, DC ana V8 ya 500M,ila wilaya haina hata fire engine ya 200M,ujinga,upumbavu ndio mtaji wa royal families
Hatari sana mkuu, inasikitisha sana
 
Ndio maana ilitakiwa vikosi vya uokoaji viwe chini ya municipalities SIO kuviweka vya kijeshi, ni aibu kubwa miaka 60 ya kujitawala hatuna vikosi imara vya uokoaji, DC ana V8 ya 500M,ila wilaya haina hata fire engine ya 200M,ujinga,upumbavu ndio mtaji wa royal families
Aingie front naye kwenye uokoaji

Ova
 
Pale Hanang kuna maafa na ni kama imetokea land slide kutokea Mlima Hanang, nimeona maaskari wa FFU wakiwa wamevalia buti zao kana kwamba wanaenda kukamata waandamanaji eti ndio kikosi cha uokoaji, hawana vifaaa, hawana rainboot, haaana aina yoyote ya kufaa.

Raia wamebomokewa na nyuma, na mali zimeharibika, nilitarajia kuwe tiyali kuna helicopta ikiwa imesheheni, mahema,Maj ya kunywa, Mablanket na vyakula imeisha tua Hanang pale kutoa msaada. Nilitarajia pia basi kuwe kuna garu zingine njiani zilizo beba misaada zikielekea kule.

Lakini hali sio hivyo watu walio bomokewa na nyumba zao wanaambiwa wakajihifadhi kwa majirani hakuna msaada wa aina yoyote ule kutoka Serikalini hadi sasa zaidi ya pole, hakuna dalili za msaaada nchi haina pesa.

Tutarajie pole na masikitiko kutoka kwa watawala huku raia wakitaabika pale.

Nchi haina kikosi cha uokoaji kilicho tiyali wakati wowote kwenda sehemu yoyote ya nchi ndani ya Dakika 45 hadi lisaaa limoja, Hakuna Bajeti ya misaada ya kibinadamu kwa wahanga.

Wakati huo huo bajeti ya V8 mpya kila mwaka ni Billion 500, kule Dubai Serikali imeenda na watu 700+ watawala wamebeba wake, shemeji zao na watoto wao pia.

Raia tunapaswa kupaza saut, na kukataa tawala hizi zisizo jali maisha ya Raia, Serikali imewekeza kwenye anasa tupu, pesa za anasa zipo za kutosha lakini hakuna pesa za misaada ya dharura, hakuna kikosi cha uokoaji wala vifaa.

Angalia hata ilipo zama ndege ziwa Victoria kule Bukoba, maafa yangeweza pungua kamakungekuwa na kikosi cha uokoaji chenye vifaaa kamili lakini haikuwa hivyo kabisa.


Serikali mfano maafa ziwani inategemea wavuvi ndio watoe uokoaji ilihali wao wakituma Wakuu wa wilaya kwenda kupiga picha pale.
Hangang ndio wapi?
 
Majaliwa Yupo Wapi Maana Alipata Kazi KwaAjili Kupiga Kasia Mlango Wa Ndege
 
Pale Hanang kuna maafa na ni kama imetokea land slide kutokea Mlima Hanang, nimeona maaskari wa FFU wakiwa wamevalia buti zao kana kwamba wanaenda kukamata waandamanaji eti ndio kikosi cha uokoaji, hawana vifaaa, hawana rainboot, haaana aina yoyote ya kufaa.

Raia wamebomokewa na nyuma, na mali zimeharibika, nilitarajia kuwe tiyali kuna helicopta ikiwa imesheheni, mahema,Maj ya kunywa, Mablanket na vyakula imeisha tua Hanang pale kutoa msaada. Nilitarajia pia basi kuwe kuna garu zingine njiani zilizo beba misaada zikielekea kule.

Lakini hali sio hivyo watu walio bomokewa na nyumba zao wanaambiwa wakajihifadhi kwa majirani hakuna msaada wa aina yoyote ule kutoka Serikalini hadi sasa zaidi ya pole, hakuna dalili za msaaada nchi haina pesa.

Tutarajie pole na masikitiko kutoka kwa watawala huku raia wakitaabika pale.

Nchi haina kikosi cha uokoaji kilicho tiyali wakati wowote kwenda sehemu yoyote ya nchi ndani ya Dakika 45 hadi lisaaa limoja, Hakuna Bajeti ya misaada ya kibinadamu kwa wahanga.

Wakati huo huo bajeti ya V8 mpya kila mwaka ni Billion 500, kule Dubai Serikali imeenda na watu 700+ watawala wamebeba wake, shemeji zao na watoto wao pia.

Raia tunapaswa kupaza saut, na kukataa tawala hizi zisizo jali maisha ya Raia, Serikali imewekeza kwenye anasa tupu, pesa za anasa zipo za kutosha lakini hakuna pesa za misaada ya dharura, hakuna kikosi cha uokoaji wala vifaa.

Angalia hata ilipo zama ndege ziwa Victoria kule Bukoba, maafa yangeweza pungua kamakungekuwa na kikosi cha uokoaji chenye vifaaa kamili lakini haikuwa hivyo kabisa.


Serikali mfano maafa ziwani inategemea wavuvi ndio watoe uokoaji ilihali wao wakituma Wakuu wa wilaya kwenda kupiga picha pale.
Serekali hii inajali zaidi viongozi na sio wananchi. Wana Hadi hela za kulipa wenza wa viongozi, lakini subiri uone zoezi la uokoaji litakavyoendeshwa kichovu.
 
Pale Hanang kuna maafa na ni kama imetokea land slide kutokea Mlima Hanang, nimeona maaskari wa FFU wakiwa wamevalia buti zao kana kwamba wanaenda kukamata waandamanaji eti ndio kikosi cha uokoaji, hawana vifaaa, hawana rainboot, haaana aina yoyote ya kufaa.

Raia wamebomokewa na nyuma, na mali zimeharibika, nilitarajia kuwe tiyali kuna helicopta ikiwa imesheheni, mahema,Maj ya kunywa, Mablanket na vyakula imeisha tua Hanang pale kutoa msaada. Nilitarajia pia basi kuwe kuna garu zingine njiani zilizo beba misaada zikielekea kule.

Lakini hali sio hivyo watu walio bomokewa na nyumba zao wanaambiwa wakajihifadhi kwa majirani hakuna msaada wa aina yoyote ule kutoka Serikalini hadi sasa zaidi ya pole, hakuna dalili za msaaada nchi haina pesa.

Tutarajie pole na masikitiko kutoka kwa watawala huku raia wakitaabika pale.

Nchi haina kikosi cha uokoaji kilicho tiyali wakati wowote kwenda sehemu yoyote ya nchi ndani ya Dakika 45 hadi lisaaa limoja, Hakuna Bajeti ya misaada ya kibinadamu kwa wahanga.

Wakati huo huo bajeti ya V8 mpya kila mwaka ni Billion 500, kule Dubai Serikali imeenda na watu 700+ watawala wamebeba wake, shemeji zao na watoto wao pia.

Raia tunapaswa kupaza saut, na kukataa tawala hizi zisizo jali maisha ya Raia, Serikali imewekeza kwenye anasa tupu, pesa za anasa zipo za kutosha lakini hakuna pesa za misaada ya dharura, hakuna kikosi cha uokoaji wala vifaa.

Angalia hata ilipo zama ndege ziwa Victoria kule Bukoba, maafa yangeweza pungua kamakungekuwa na kikosi cha uokoaji chenye vifaaa kamili lakini haikuwa hivyo kabisa.


Serikali mfano maafa ziwani inategemea wavuvi ndio watoe uokoaji ilihali wao wakituma Wakuu wa wilaya kwenda kupiga picha pale.
Wewe umeona FFU au umeona askari wa jeshi la zimamoto na uokoaji, kwa sababu Zimamoto wana sare za kufanania FFU.
 
Kamati Maafa Chini PM iko wapi ? Waombe Jeshi likasaidie huko basiii.....wanatenga bajeti za vikso tu ikitokea maafa wabaomba msaada makampuni aibu hiiiii....PM anachojua kusema uongo....tu na siasa ...hatukawaji kuwa serious
 
Kamati Maafa Chini PM iko wapi ? Waombe Jeshi likasaidie huko basiii.....wanatenga bajeti za vikso tu ikitokea maafa wabaomba msaada makampuni aibu hiiiii....PM anachojua kusema uongo....tu na siasa ...hatukawaji kuwa serious
Kamati ya maafa iko kimaratasi zaidi
Siyo kivitendo

Ova
 
Back
Top Bottom