DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,097
- 45,785
Tangu huu Mchele ulipotolewa na Marekani nimewaona Watanzania kuwa wana akili ndogo sana.
Ikiwa mnashindwa kuwapa watoto wenu chakula bora huko shuleni na wanakonda na kupata utapiamlo, then ghafla mnapata msaada mnakimbilia katika kichaka cha ushoga!
Hizi nchi za watu wenye low minded people ni ngumu kuziongoza, ndio maana watu wenye akili zinazowaza vyema hujitenga na siasa.
Mnasahau kuwa hii nchi ni masikini kwa kila kitu.
Ajenda ya ushoga ni kichaka cha watu wajinga kujificha.
Waswahili wengi pamoja na kuwa wamesoma Ila hawapo logically Ila wapo emotionally.
Hupenda kuongea bila kuhusisha ufahamu hivyo hata ushoga wenyewe asilimia kubwa wanaouzungumzia hawauelewi ni nini na hawajui unasababishwa na nini.
Ikiwa mnashindwa kuwapa watoto wenu chakula bora huko shuleni na wanakonda na kupata utapiamlo, then ghafla mnapata msaada mnakimbilia katika kichaka cha ushoga!
Hizi nchi za watu wenye low minded people ni ngumu kuziongoza, ndio maana watu wenye akili zinazowaza vyema hujitenga na siasa.
Mnasahau kuwa hii nchi ni masikini kwa kila kitu.
Ajenda ya ushoga ni kichaka cha watu wajinga kujificha.
Waswahili wengi pamoja na kuwa wamesoma Ila hawapo logically Ila wapo emotionally.
Hupenda kuongea bila kuhusisha ufahamu hivyo hata ushoga wenyewe asilimia kubwa wanaouzungumzia hawauelewi ni nini na hawajui unasababishwa na nini.