johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,033
Sijajua kama mafao ni Madogo au tatizo ni nini
Kwa mfano Mzee Sumaye baada ya kustaafu Uwaziri Mkuu akaenda CHADEMA kuwa mwenyekiti wa Kanda ya Pwani na Mbowe akawa Boss wake
Nadhani kwenye mitaala ya Shule liongezwe somo la Maisha baada ya Kustaafu
Mlale Unono 😀😀🔥
Kwa mfano Mzee Sumaye baada ya kustaafu Uwaziri Mkuu akaenda CHADEMA kuwa mwenyekiti wa Kanda ya Pwani na Mbowe akawa Boss wake
Nadhani kwenye mitaala ya Shule liongezwe somo la Maisha baada ya Kustaafu
Mlale Unono 😀😀🔥