Nawaandikia wanachama wenzangu wa ccm popote pale mlipo!
Kuna ka tabia kame zuka ka hovyo sana ka kuwapigia kampeni viongozi waliopo kabla ya muda wa uchaguzi wakati bado hawajatimiza KAZI...
2010 tarehe 17 December ndio ilikuwa mda rasmi nchi ya Tunisia ikijikuta wananchi wanaongea lugha Moja.
Kisa kinaanza hivi. Ugumu wa maisha kuwa mkubwa,rushwa ndani ya serikali kukisiri,ukosefu...
Msimamo wangu unajulikana. Nausimamia bila chembe ya soni.
Na ndani kabisa katika kilindi cha moyo wangu, najua kuwa niko sahihi. Tena sahihi kabisa.
Lakini kuna suala moja ambalo nimeanza...
#PICHA Rais @samia_suluhu_hassan akizungumza na mke wa aliyekuwa Mfalme wa Qatar Sheikh Hamad Bin Khalifa Al- Thani, Sheikha Moza Bint Nasser Al-Missned wakati alipomtembelea Jijini Doha nchini...
Jeshi la polisi ni Moja ya taasisi muhimu sana katika ustawi wa nchi yoyote duniani.
Ulinzi wa raia na mali zao ndo kiini cha amani na maendeleo kwa ujumla wake. Wasiwasi nilioupata Juu ya Jeshi...
Ni mji mzuri uliozungukwa na miamba. Wanapaita "Rock City". Hilo ndilo jiji la Mwanza.
Nakubali, ni jiji zuri, lakini pangeweza kuwa pazuri zaidi.
Kuna maeneo yaliyopangiliwa vizuri, kwa namna...
Fakii Lulandala, Katibu Mkuu Uvccm amesema kuwa "CCM ni chama kikubwa chenye watu wengi wenye sifa na uwezo na karama za uongozi, hakina historia ya kuruhusu ung'ang'anizi kwenye nafasi za uongozi...
Chaguzi kuu za 2024 na 2025 kama zitafanyika na kwa taratibu za haki na uwazi nauona mpambano mkali wa kimkakati kati ya mwanamitindo JOKETI MWEGELO na CPA CATHERINE RUGE.
Wanawake hao ndio...
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Prof.Mkenda amefungua Dirisha la mikopo Kwa wanafunzi wa Diploma huku kapu lao likianza na Bilioni 48.
Kwa kuanzia wanafunzi zaidi ya 8,000 kunufaika.Kazi...
Inasemekana huyu ndio Mkurugenzi wa kwanza kuwahi kuwepo kwenye Manispaa ya jiji la DSM na kutokomea na Viapo vya mawakala wa chama cha siasa walioapa kihalali ili kusimamia chama chao kwenye...
Asalam,
Tukumbushane, 20% wanataka vyama vingi, 80% wanaitaka CCM kama Chama Pekee. Hapajakuwa tena na kura za maoni tofauti na hizo. Matokeo ya Uchaguzi Mkuu hayajawahi kushinda huu utafiti wa...
Kanisa Katoliki Jimbo la Songea limepinga na kulaani maagizo ya Serikali kuvitaka vituo vya huduma vya kanisa viwe na leseni za biashara na vilipe kodi.
Askofu wa Jimbo Mhashamu Damiani Dallu...
Na Thadei Ole Mushi.
Ulishawahi kusikia Wimbo wa Mwamba Tuvushe ambao humwimbia Mbowe kipindi cha uchaguzi ndani ya Chama Hicho? Kama umewahi kuusikia basi wanachadema wanasababu za msingi sana...
Rais kamng'oa RC wa Moro kwa uzembe lakini wa Dar mwenye makosa yanayofanana na ya wa Moro kaachwa.
Inawezekana wa Dar ana Kinga kikatiba kutoguswa?
Maana inapofika rais anaongelea mapungufu ya...
Waandaaji wa kongamano la wananchi la kupinga mkataba wa bandari limepata msukosuko mkubwa baada ya serikali kutumia maguvu mengi ya polisi kuthibiti kongamano hilo.
Vikwazo vya kongamano hilo...
Asubuhi ya Tarehe 4Th October 2015 zilisambaa taarifa za ajali na Kwamba ajali hio ilichukua uhai wa Mchungaji Christopher Mtikila.
Angekuepo Leo hii tungekua tunaongea mengine kuhusu DP WORLD...
Kama Hayati Magufuli alimrubuni kirahisi hivyo na kuwasaliti Chadema na wapenda mageuzi kisa Ubalozi, basi wala msimuamini.
Fikiri kwa kina, Kama Rais Samia angelimbakiza Sweden Ubalozini...
NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:
1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."
2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketezwa Shambani kwangu."
3. "Dereva wangu...