Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mbunge wa Simanjiro Ole Sendeka amesema kunusurika Kwake kuuawa na Wahuni siyo kwa nguvu zake bali ni Nguvu za Mungu wa Mbinguni Ole sendeka amewaambia Wapiga kura wake Kuwa yeye binafsi alikuwa...
7 Reactions
31 Replies
3K Views
Mbunge wa Nzega vijijini amewaasa vijana wapambane kutafuta maisha na kama wanahisi Bungeni kuna hela basi wagombee na wao Unadhani ni rahisi tu kuingia Bungeni? Amehoji Dokta Karma unaona Kule...
8 Reactions
48 Replies
3K Views
02 April 2024 https://m.youtube.com/watch?v=Eib1-kDDAlQ Wahoji mantiki ya Profesa Kitila Mkumbo kuondoa fedha ktk mzunguko wa fedha ili kupunguza mfumuko wa bei, wakati bei ya bidhaa...
2 Reactions
4 Replies
799 Views
Hili ni swali tu kwako Baba Askofu, kwa Nchi hii ukianza kusononeka kwa sababu ya Kunusurika kwa Ole Sendeka, basi bila shaka ama hukuwepo Duniani, au ulifungiwa ndani ya mazabahu. Na kama...
12 Reactions
65 Replies
5K Views
Jumapili saanane usiku na jumatatu ya Pasaka haikuwa njema. Umeme ulikatika karibia nchi nzima. Chanzo cha tatizo kilikuwa kujizima mitambo huko Kidatu Tumeelezwa na TANESCO kuwa , kujizima huko...
15 Reactions
81 Replies
4K Views
Kuna kampeni kubwa inaendelea sehemu mbalimbali ambapo kuna wataalamu wanapita na kipimo cha kupima mwili mzima kwa 20,000. Nina shauku ya kujua kutoka wizara ya Afya kuhusu msimamo wa serikali...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Jambo la ajabu ni kuwa, japo Mama amemwona Makonda kuwa ni hatari kwa chama, lakini hajaweza kuachana naye kabisa. Afrika tuna safari ndefu kwa mambo haya ya teuzi zisizozingatia weledi na sifa...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Kukamatwa watu kula Mchana Zanzibar ~ Watanganyika wasio Waislamu wamezusha Mjadala. Ni vyema tukafahamu ya kuwa MILA, DESTURI, SILKA na UTAMADUNI ni mfumo wa maisha kamili ya kila jamii...
8 Reactions
92 Replies
4K Views
Shalom, Ni ajabu sana siku hizi huwezi kusikia kauli kama serikali ya CCM, utekelezaji wa ilani ya CCM, serikali imeleta. Utasikia kauli za kipumbavu kwamba Rais amefanya, Rais ameleta upumbavu...
2 Reactions
6 Replies
490 Views
Kwa namna alivyo na ushawishi kwa wananchi wa Tanzania kwa sasa hakika Makonda ndiye mwenezi mwenye mafanikio kuzidi wote.
2 Reactions
3 Replies
436 Views
Tafakari namna Hamas walivyoleta mabadiliko Ndani ya Israel kwa kujiingiza kwenye Shirika la Misaada la UN na kufanya kile walichofanya October 7 Hii ni Dunia ya Akili mpya inayokwenda Kasi Sana...
3 Reactions
10 Replies
535 Views
Ndugu zangu, nawaslimu Kwa upendo mwingi sana. Nimefatila sana mijadala mbali mbali tangu Makonda ateuliwe kuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha. Mijadala mingi inaonekana kumdhihaki na wengine kutoa...
3 Reactions
18 Replies
965 Views
Ni Mwanasheria Nguli saana. Mwanazuoni wa kupigiwa mfano. Mwanaharakati na mtunzi wa vitabu. Ni Mwanasiasa mzuri na amewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...
5 Reactions
25 Replies
4K Views
Shalom,Salaam!! Huu mtikisiko ndani ya chama Dola unaendelea, unatoa wasiwasi juu ya mustakabali wa chaguzi zijazo, Ikiwa Hadi muda huu, coach hajapata Bado muunganiko wa team yake kuelekea...
1 Reactions
7 Replies
640 Views
Ndugu wanajukwaa habari zenu. Kumekua na tabia ya kumshukuru mama hata umeme uliporejea jana baadhi ya vyombo vya habari vimeripoti kama wakazi wa Daresalam wamemshukuru mama. Imekua kasumba...
0 Reactions
1 Replies
429 Views
Kwa hili lililojitokeza la tengua pangua wananchi wa Mwanza tutakukumbuka sana CP Makalla kwa muda mfupi umeonyesha weledi na umakini wa kushughulikia miradi ya hapa Mwanza ie uwanja wa ndege...
4 Reactions
6 Replies
773 Views
Kwako kichele CAG Nimeshangazwa na kusikitishwa na pendekezo la CAG Kichere kuwa wastaafu wanauwekea mzigo mfuko wa Bima ya Afya (NHIF) kwa kuendelea kupokea huduma za mfuko huo huku wakiwa...
2 Reactions
3 Replies
829 Views
Zanzibar ni sehemu ya muungano hata kama ina katiba yake lakini bado ni sehemu ya Tanzania ambapo serikali haina dini Ukilisoma tamka la serikali kwa umakini utagundua kuwa hakuna walichokemea...
10 Reactions
72 Replies
3K Views
Nimeona wengi wanajaribu kulifananisha Shambulio la Ole Sendeka na lile la Tundu lissu, haya matukio ni tofauti kabisa wengine wamedhulumiana ama pesa ama ardhi au ni wizi wa kawaida. Shambulio...
13 Reactions
47 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ