Rekodi nyingine yawekwa na Rais Samia. Aanza kuwapa Mikopo Wanafunzi wa Diploma. Kapu lao la Bilioni 48 lafunguliwa

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,110
49,826
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Prof.Mkenda amefungua Dirisha la mikopo Kwa wanafunzi wa Diploma huku kapu lao likianza na Bilioni 48.

Kwa kuanzia wanafunzi zaidi ya 8,000 kunufaika.Kazi iendelee 👇
---
Serikali imezindua mwongozo wa utoaji mikopo katika ngazi ya diploma unaotarajiwa kunufaisha wanafunzi 8,000 nchini huku kipaumbele kikiwekwa katika kozi sita ikiwemo fani ya afya na sayansi.

Serikali imetenga Sh. bilioni 48 Mikopo ya wanafunzi 8,000 watakaosoma stahahada katika fani za Afya na Sayansi Shirikishi, Ualimu, Usafiri na Usafirishaji, Uhandisi na Nishati, Madini na Sayansi ya Ardhi na Kilimo na Mifugo kwa mwaka wa masomo 2023-24Prof. Adolf Mkenda - DSM

My Take
Wanafunzi mshindwe wenyewe Mama Samia Anazidi kuwafungulia fursa ya Elimu,hakuna kisingizio.

Hii ni rekodi na historia ambayo itaishi Milele kama kumbukumbu ya alama ya Rais Samia.

View: https://twitter.com/mamanafanikisha/status/1709851277197218034?t=XaXSg8ZDA54YsrOTvCr75A&s=19
 
Pesa zipelekwe HESLB kama chombo cha umma cha kukopesha, hizi hadithi za mara Samia scholarships ni usanii. Kama nia ni njema basi weka pembeni siasa kwenye taaluma
 
Pesa zipelekwe HESLB kama chombo cha umma cha kulopesha, hizi hadithi za mara Samia scholarships ni usanii. Kama nia ni njema basi weka pembeni siasa kwenye taaluma
Kweka.pembeni siasa kwenye taaluma ndio.kukoje?
 
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Prof.Mkenda amefungua Dirisha la mikopo Kwa wanafunzi wa Diploma huku kapu lao likianza na Bilioni 48.

Kwa kuanzia wanafunzi zaidi ya 8,000 kunufaika.Kazi iendelee 👇
---
Serikali imezindua mwongozo wa utoaji mikopo katika ngazi ya diploma unaotarajiwa kunufaisha wanafunzi 8,000 nchini huku kipaumbele kikiwekwa katika kozi sita ikiwemo fani ya afya na sayansi.

Serikali imetenga Sh. bilioni 48 Mikopo ya wanafunzi 8,000 watakaosoma stahahada katika fani za Afya na Sayansi Shirikishi, Ualimu, Usafiri na Usafirishaji, Uhandisi na Nishati, Madini na Sayansi ya Ardhi na Kilimo na Mifugo kwa mwaka wa masomo 2023-24Prof. Adolf Mkenda - DSM

My Take
Wanafunzi mshindwe wenyewe Mama Samia Anazidi kuwafungulia fursa ya Elimu,hakuna kisingizio.

Hii ni rekodi ambayo itaishi Milele kama kumbukumbu ya alama ya Rais Samia.
Nonsense
 
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Prof.Mkenda amefungua Dirisha la mikopo Kwa wanafunzi wa Diploma huku kapu lao likianza na Bilioni 48.

Kwa kuanzia wanafunzi zaidi ya 8,000 kunufaika.Kazi iendelee
---
Serikali imezindua mwongozo wa utoaji mikopo katika ngazi ya diploma unaotarajiwa kunufaisha wanafunzi 8,000 nchini huku kipaumbele kikiwekwa katika kozi sita ikiwemo fani ya afya na sayansi.

Serikali imetenga Sh. bilioni 48 Mikopo ya wanafunzi 8,000 watakaosoma stahahada katika fani za Afya na Sayansi Shirikishi, Ualimu, Usafiri na Usafirishaji, Uhandisi na Nishati, Madini na Sayansi ya Ardhi na Kilimo na Mifugo kwa mwaka wa masomo 2023-24Prof. Adolf Mkenda - DSM

My Take
Wanafunzi mshindwe wenyewe Mama Samia Anazidi kuwafungulia fursa ya Elimu,hakuna kisingizio.

Hii ni rekodi ambayo itaishi Milele kama kumbukumbu ya alama ya Rais Samia.
Ni wajibu wa serikali sio ombi wala sio CV kwenye siasa zao, tunalipa kodi; maji hatupati, umeme changamoto, huduma za afya bei juu basi hizo kodi zetu angalau ziwasomeshe watoto, ndugu na jamaa zetu sio kwa hisani ya rais au sijui nani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matter call
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Prof.Mkenda amefungua Dirisha la mikopo Kwa wanafunzi wa Diploma huku kapu lao likianza na Bilioni 48.

Kwa kuanzia wanafunzi zaidi ya 8,000 kunufaika.Kazi iendelee 👇
---
Serikali imezindua mwongozo wa utoaji mikopo katika ngazi ya diploma unaotarajiwa kunufaisha wanafunzi 8,000 nchini huku kipaumbele kikiwekwa katika kozi sita ikiwemo fani ya afya na sayansi.

Serikali imetenga Sh. bilioni 48 Mikopo ya wanafunzi 8,000 watakaosoma stahahada katika fani za Afya na Sayansi Shirikishi, Ualimu, Usafiri na Usafirishaji, Uhandisi na Nishati, Madini na Sayansi ya Ardhi na Kilimo na Mifugo kwa mwaka wa masomo 2023-24Prof. Adolf Mkenda - DSM

My Take
Wanafunzi mshindwe wenyewe Mama Samia Anazidi kuwafungulia fursa ya Elimu,hakuna kisingizio.

Hii ni rekodi ambayo itaishi Milele kama kumbukumbu ya alama ya Rais Samia.
 
48,000,000,000÷8,000= 6,000,000.00

Je kila mwanafunzi anatumia 6,000,000 kwa mwaka kwa Diploma?
 
Hakika wahenga walinena "zimwi likujualo...............,................"🤣🤣🤣🤣🤣🦌🪑
 
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Prof.Mkenda amefungua Dirisha la mikopo Kwa wanafunzi wa Diploma huku kapu lao likianza na Bilioni 48.

Kwa kuanzia wanafunzi zaidi ya 8,000 kunufaika.Kazi iendelee 👇
---
Serikali imezindua mwongozo wa utoaji mikopo katika ngazi ya diploma unaotarajiwa kunufaisha wanafunzi 8,000 nchini huku kipaumbele kikiwekwa katika kozi sita ikiwemo fani ya afya na sayansi.

Serikali imetenga Sh. bilioni 48 Mikopo ya wanafunzi 8,000 watakaosoma stahahada katika fani za Afya na Sayansi Shirikishi, Ualimu, Usafiri na Usafirishaji, Uhandisi na Nishati, Madini na Sayansi ya Ardhi na Kilimo na Mifugo kwa mwaka wa masomo 2023-24Prof. Adolf Mkenda - DSM

My Take
Wanafunzi mshindwe wenyewe Mama Samia Anazidi kuwafungulia fursa ya Elimu,hakuna kisingizio.

Hii ni rekodi ambayo itaishi Milele kama kumbukumbu ya alama ya Rais Samia.
Bara hatuna wizard ya elimu na mafunzo ya amali... hii ni wizara ya Zanzibar punguzeni uchawa mnatia kinyaa.
 
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Prof.Mkenda amefungua Dirisha la mikopo Kwa wanafunzi wa Diploma huku kapu lao likianza na Bilioni 48.

Kwa kuanzia wanafunzi zaidi ya 8,000 kunufaika.Kazi iendelee 👇
---
Serikali imezindua mwongozo wa utoaji mikopo katika ngazi ya diploma unaotarajiwa kunufaisha wanafunzi 8,000 nchini huku kipaumbele kikiwekwa katika kozi sita ikiwemo fani ya afya na sayansi.

Serikali imetenga Sh. bilioni 48 Mikopo ya wanafunzi 8,000 watakaosoma stahahada katika fani za Afya na Sayansi Shirikishi, Ualimu, Usafiri na Usafirishaji, Uhandisi na Nishati, Madini na Sayansi ya Ardhi na Kilimo na Mifugo kwa mwaka wa masomo 2023-24Prof. Adolf Mkenda - DSM

My Take
Wanafunzi mshindwe wenyewe Mama Samia Anazidi kuwafungulia fursa ya Elimu,hakuna kisingizio.

Hii ni rekodi ambayo itaishi Milele kama kumbukumbu ya alama ya Rais Samia.
Ni jambo zuri hili , ila kama ni maandalizi ya 2025 ni sawa na ziro unaweza mpa mtu pesa ila kama familia mtoto anatoka haikuelewi bado hata mtoto hatakuelewa famimila zipo na miiko yao bwana
 
Back
Top Bottom