Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Kanisa Katoliki Jimbo la Songea limepinga na kulaani maagizo ya Serikali kuvitaka vituo vya huduma vya kanisa viwe na leseni za biashara na vilipe kodi.
Askofu wa Jimbo Mhashamu Damiani Dallu amesema vituo vya watoto yatima, walemavu na wenye mahitaji maalumu ni sehemu ya huduma za kanisa na si biashara.
Askofu wa Jimbo Mhashamu Damiani Dallu amesema vituo vya watoto yatima, walemavu na wenye mahitaji maalumu ni sehemu ya huduma za kanisa na si biashara.