Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,801
- 71,226
Chaguzi kuu za 2024 na 2025 kama zitafanyika na kwa taratibu za haki na uwazi nauona mpambano mkali wa kimkakati kati ya mwanamitindo JOKETI MWEGELO na CPA CATHERINE RUGE.
Wanawake hao ndio wataongoza mpambano kupitia kundi kubwa la wanawake wa taifa hili huyu mmoja akiwa maarufu kwenye mambo ya urembo na mitindo na mmoja ni mwanaharakati mpambanaji.
Hao ni kupitia wing ya CCM wanawake (UWT) na wing ya CHADEMA wanawake (BAWACHA) wote wakiwa makatibu wakuu.
Jee nini sifa binafsi na mapungufu ya mmoja mmoja? Nani wamepatia na nani wamebugi katika kuteua viongozi hao muhimu?
Wanawake hao ndio wataongoza mpambano kupitia kundi kubwa la wanawake wa taifa hili huyu mmoja akiwa maarufu kwenye mambo ya urembo na mitindo na mmoja ni mwanaharakati mpambanaji.
Hao ni kupitia wing ya CCM wanawake (UWT) na wing ya CHADEMA wanawake (BAWACHA) wote wakiwa makatibu wakuu.
Jee nini sifa binafsi na mapungufu ya mmoja mmoja? Nani wamepatia na nani wamebugi katika kuteua viongozi hao muhimu?