figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:
1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."
2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketezwa Shambani kwangu."
3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."
4. "Dada aliyetoa taarifa za mipango ya kuuawa kwangu aliuawa Rombo Hotel Shekilango Dar es Salaaam."
5. "Mwaka unaokuja Watanzania watakuwa Salama."
26/12/2021.
Stay tuned.
Mtume na Nabii Josephat Mwingira ni Mtumishi wa Mungu na kiongozi wa huduma ya Efatha Ministries nchini Tanzania.
Pia, soma:
Polisi Dar yampa masaa 24 Askofu Mwingira ili ajisalimishe kwa Mahojiano
Uchaguzi 2020 - Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata
1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."
2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketezwa Shambani kwangu."
3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."
4. "Dada aliyetoa taarifa za mipango ya kuuawa kwangu aliuawa Rombo Hotel Shekilango Dar es Salaaam."
5. "Mwaka unaokuja Watanzania watakuwa Salama."
26/12/2021.
Stay tuned.
Mtume na Nabii Josephat Mwingira ni Mtumishi wa Mungu na kiongozi wa huduma ya Efatha Ministries nchini Tanzania.
Pia, soma:
Polisi Dar yampa masaa 24 Askofu Mwingira ili ajisalimishe kwa Mahojiano
Uchaguzi 2020 - Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata
Ushoga wamliza kwa uchungu RC Makonda kanisani Efatha kwa mchungaji Mwingira
Katika ibada inayoendelea kanisa la mchungaji Mwingira Mkuu wa mkoa RC Makonda Amelia kwa uchungu mbele ya madhabau kutokana na matukio mabaya yanayoendelea mkoani Dar ess salaam hasa suala la ushoga === Mkuu wa Mkoa wa DSM Paul Makonda leo amehudhuria ibada ya kwanza kwa Askofu Mwingira DSM...
www.jamiiforums.com