Mbowe anavyozitawala siasa za ndani ya CHADEMA kisayansi

DaveSave

JF-Expert Member
Nov 20, 2010
440
634
Na Thadei Ole Mushi.

Ulishawahi kusikia Wimbo wa Mwamba Tuvushe ambao humwimbia Mbowe kipindi cha uchaguzi ndani ya Chama Hicho? Kama umewahi kuusikia basi wanachadema wanasababu za msingi sana kumwimbia Mbowe na kweli Freeman ni Mwamba.

Twende sawa hapa

Katika hali isiyotarajiwa mambo si Shwari sana ndani ya Chadema kwa kuwa kuna mvutano mkubwa wa ndani kati ya Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe na Tindu Lisu.

Ipo hivi.

1. Lisu anamtuhumu Mbowe kuwa amepewa magari Manne aina ya V8 nyeupe number E kama umeziona kwenye Ziara za Chadema. Lisu anadai kupitia Maridhiano Mbowe alihongwa Gari hizo ili asiisumbue Serikali. Ukweli ni Kwamba Mbowe Gari hizo ni zake Binafsi ambazo alizinunua kwenye Mnada kule Arusha tena kwa Bei Rahisi tu. Gari hizo ziliuzwa kwenye mnada wa hadhara za mali ya Shirika la Umoja wa Mataifa na Mbowe alitoa fedha zake kwenye account kuzinunua. Tuhuma za Lisu kwa Mbowe zinamkera sana Mwenyekiti na wawili hawa hawapo kwenye maelewano mazuri.

2. Jambo la pili linalochochea Mgogoro huo ni malalamiko ya Lisu juu ya Mwenyekiti kutumia Chopa kwenye ziara zake. Ikumbukwe kuwa Lisu na Mbowe wapo kwenye Ziara mbili Tofauti za kichama. Msafara wa Mbowe unatumia Chopa na Gari mbili V8 chini zinazobeba wasaidizi wake. Lisu anakalalamika kwa nini Mbowe atumie Chopa wakati yeye anatumia Magari mawili? Lisu anaona kama Mbowe anatumia Rasilimali za Chama kibaguzi. Ukweli ni kwamba Mbowe kwenye Ziara zake zote za Chama hatumii hata mia ya Chadema. Mwanzoni nilikuwa nakataa lakini nimefuatilia nikagundua ni kweli na kwa sasa Mbowe kasitisha Ziara zake yupo Moshi ana Mobilize fedha za kuendelea na Ziara. Kuna siku nilisoma andiko la Martin MM akimpongeza Mbowe kutumia Rasilimali za Famia yake kuendeshea chama nilimbishia lakini nimejionea mwenyewe.

3. Kwa sasa Lisu hana Shughuli ya kiuchumi ukiachana na Siasa. Lisu anamtuhumu Mbowe kuwa kazibwa Mdomo, na kwenye kikao cha ndani pale Morogoro Lisu alisema mbele ya Wajumbe wazi wazi kuwa “Mwenyekiti wenu kafungwa Mdomo” Lisu anataka kurudi zake nje ya nchi akafanye maisha kwa kuwa hapa nchini kwa sasa hakumlipi anataka Mbowe kama Mwenyekiti waanze harakati za kusumbuana na Serikali ili apate sababu ya kuondoka nchini hili nilishalitolea ufafanuzi kuwa Matusi ya Lisu ni njia ya kutaka kuondika nchini. Mbowe kamgomea kuleta tafrani na Serikali jambo hili limezidisha chumvi kwenye kidonda. Pamoja na Mbowe kukataa kuleta tafrani na Serikali anataka kurekebisha kauli yake kuhusu wazanzibari kuuza Bandari. Habari za ndani zinadai Mbowe ameshawaeleza watu wake wa karibu kuwa alichokisema hakutarajia kitaleta taswira hasi kama iliyopo na amepanga kutoka hadharani kurekebisha kauli yake hiyo.

4. Wanaomuunga Mkono Lisu ni Heche, Msigwa na Wenje ambaye Msimamo wake unayumbayumba. Hawa wana agenda kama ile ya Waraka wa Siri wa Zitto kabwe wa kutaka Mabadiliko ndani ya Chadema. Wanadai mwenyekiti kachoka anapaswa kuwapisha. Kizuizi kikubwa kwao ni wanachama wanampenda sana Mh Mbowe.

5. Wanaomuunga mkono Mwenyekiti ni makatibu wote wa kanda wa chama, wenyeviti wa kanda na Mikoa, makatibu wa Mikoa na jumuiya zote za Chama. Mbowe anapendwa sana ndani ya Chama chake kwa kuwa ana utu, na mara nyingine hutumia fedha zake kukisaidia chama na kusaidia watendaji wa Chama. Ukisikia wanaimba ule Wimbo wa Mwamba Tuvushe ni kweli wanaimba toka Rohoni sio kwamba kawanunua. Wanampenda sana.

6. Baadhi ya Viongozi wa Chadema wanamlalamikia Mwenyekiti kuhusu Kauli za Lisu dhidi ya Serikali zinafifisha mchakato wa Maridhiano ambayo yalikuwa yanawapeleka mahali pazuri. Viongozi hao wanamtaka Mwenyekiti achukue hatua za haraka kunusuru mchakato wa maridhiano ambayo ndani yake Chadema walikuwa wameshaanza kuona Mwanga. Kwenye Ratiba za Rais Samia angalau Kila Mwezi alikuwa anakutana nao mara Moja kuzungumza kuhusu maridhiano, toka Lisu ameanza matusi ni mwezi wa pili sasa hakijaitwa kikao hata kimoja cha Maridhiano, jambo hili linawasumbua sana viongozi wa chadema pamoja na mwenyekiti kwa kuwa wamepoteza.

7. Viongozi wa baadhi nikioongea nao wa chadema wanasema ili chadema ifanye Vizuri kwenye uchaguzi ujao ni Lazima Mbowe awe mgombea Urais. Wanadai Mbowe amekuwa akiwabeba wagombea ubunge wa chama chake kwa kuwapatia kila kitu tofauti na Lisu ambaye amekuwa hana uwezo hata wa kutengeneza mabango.

8. Mbowe anaaminika sana na wafadhili wa Chama wa ndani na nje ya Chama. Wafadhili hawa ndio wamekuwa angalau wanakipitisha Chama kwenye nyakati ngumu, viongozi wengi wa Chadema wanahisi siku Mbowe akiondoka Chadema na chama hicho kitajifia kwa kukosa fedha za kukiendesha.

9. Ndani ya Chadema wengi wanasema Mbowe anaangalia mbali sana kisiasa kuliko Lisu. Wanadai Mbowe anajua si Rahisi CCM kuachia dola kwenye mazingira ya Sasa, lakini Mbowe huwa anatengeneza mazingira ya Chadema ku-survive kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja na chama kwa Ujumla. Hii ni tofauti na Lisu kuwa yeye anawaza kwenda ikulu tu na akiikosa anakimbia anakiacha chama kikiwa hakina chochote.

10. Viongozi wengi wa Chadema wanasema wazi wazi wapo huru zaidi kufanya kazi na Mbowe kuliko Lisu kwa kuwa Mbowe hana Roho mbaya, anaweza kuacha kula yeye lakini viongozi wa chini yake wakala kwanza. Wanadai pia Mbowe kila akimakiza ziara huitisha kikao cha tathimini kuangalia wapi wamekosea na wapi wanakwenda. Hili kwa Lisu huwa halifanyiki, yeye akimaliza mkutano gari humpeleka hotelini huku nje viongozi wa matawi, wilaya, Kanda na mikoa wakizurura kila mtu na njia yake.

Mkiwaona watu wanamwimbia Mbowe Tuvushe tuwe tunaelewa. Kweli huyu ni mwamba haswa…

Ole Mushi
0712702602
 
Huyu mtu Thadei Ole Mushi nilikuwa namchukulia serious siku za nyuma, lakini siku hizi amekuwa ni mpishi wa majungu yasiyo na kichwa wala miguu, ni kama vile kila akikaa anawaza leo nitunge uongo upi dhidi ya viongozi wa Chadema, hana maana tena.
 
Na Thadei Ole Mushi.

Ulishawahi kusikia Wimbo wa Mwamba Tuvushe ambao humwimbia Mbowe kipindi cha uchaguzi ndani ya Chama Hicho? Kama umewahi kuusikia basi wanachadema wanasababu za msingi sana kumwimbia Mbowe na kweli Freeman ni Mwamba.

Twende sawa hapa

Katika hali isiyotarajiwa mambo si Shwari sana ndani ya Chadema kwa kuwa kuna mvutano mkubwa wa ndani kati ya Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe na Tindu Lisu.

Ipo hivi.

1. Lisu anamtuhumu Mbowe kuwa amepewa magari Manne aina ya V8 nyeupe number E kama umeziona kwenye Ziara za Chadema. Lisu anadai kupitia Maridhiano Mbowe alihongwa Gari hizo ili asiisumbue Serikali. Ukweli ni Kwamba Mbowe Gari hizo ni zake Binafsi ambazo alizinunua kwenye Mnada kule Arusha tena kwa Bei Rahisi tu. Gari hizo ziliuzwa kwenye mnada wa hadhara za mali ya Shirika la Umoja wa Mataifa na Mbowe alitoa fedha zake kwenye account kuzinunua. Tuhuma za Lisu kwa Mbowe zinamkera sana Mwenyekiti na wawili hawa hawapo kwenye maelewano mazuri.

2. Jambo la pili linalochochea Mgogoro huo ni malalamiko ya Lisu juu ya Mwenyekiti kutumia Chopa kwenye ziara zake. Ikumbukwe kuwa Lisu na Mbowe wapo kwenye Ziara mbili Tofauti za kichama. Msafara wa Mbowe unatumia Chopa na Gari mbili V8 chini zinazobeba wasaidizi wake. Lisu anakalalamika kwa nini Mbowe atumie Chopa wakati yeye anatumia Magari mawili? Lisu anaona kama Mbowe anatumia Rasilimali za Chama kibaguzi. Ukweli ni kwamba Mbowe kwenye Ziara zake zote za Chama hatumii hata mia ya Chadema. Mwanzoni nilikuwa nakataa lakini nimefuatilia nikagundua ni kweli na kwa sasa Mbowe kasitisha Ziara zake yupo Moshi ana Mobilize fedha za kuendelea na Ziara. Kuna siku nilisoma andiko la Martin MM akimpongeza Mbowe kutumia Rasilimali za Famia yake kuendeshea chama nilimbishia lakini nimejionea mwenyewe.

3. Kwa sasa Lisu hana Shughuli ya kiuchumi ukiachana na Siasa. Lisu anamtuhumu Mbowe kuwa kazibwa Mdomo, na kwenye kikao cha ndani pale Morogoro Lisu alisema mbele ya Wajumbe wazi wazi kuwa “Mwenyekiti wenu kafungwa Mdomo” Lisu anataka kurudi zake nje ya nchi akafanye maisha kwa kuwa hapa nchini kwa sasa hakumlipi anataka Mbowe kama Mwenyekiti waanze harakati za kusumbuana na Serikali ili apate sababu ya kuondoka nchini hili nilishalitolea ufafanuzi kuwa Matusi ya Lisu ni njia ya kutaka kuondika nchini. Mbowe kamgomea kuleta tafrani na Serikali jambo hili limezidisha chumvi kwenye kidonda. Pamoja na Mbowe kukataa kuleta tafrani na Serikali anataka kurekebisha kauli yake kuhusu wazanzibari kuuza Bandari. Habari za ndani zinadai Mbowe ameshawaeleza watu wake wa karibu kuwa alichokisema hakutarajia kitaleta taswira hasi kama iliyopo na amepanga kutoka hadharani kurekebisha kauli yake hiyo.

4. Wanaomuunga Mkono Lisu ni Heche, Msigwa na Wenje ambaye Msimamo wake unayumbayumba. Hawa wana agenda kama ile ya Waraka wa Siri wa Zitto kabwe wa kutaka Mabadiliko ndani ya Chadema. Wanadai mwenyekiti kachoka anapaswa kuwapisha. Kizuizi kikubwa kwao ni wanachama wanampenda sana Mh Mbowe.

5. Wanaomuunga mkono Mwenyekiti ni makatibu wote wa kanda wa chama, wenyeviti wa kanda na Mikoa, makatibu wa Mikoa na jumuiya zote za Chama. Mbowe anapendwa sana ndani ya Chama chake kwa kuwa ana utu, na mara nyingine hutumia fedha zake kukisaidia chama na kusaidia watendaji wa Chama. Ukisikia wanaimba ule Wimbo wa Mwamba Tuvushe ni kweli wanaimba toka Rohoni sio kwamba kawanunua. Wanampenda sana.

6. Baadhi ya Viongozi wa Chadema wanamlalamikia Mwenyekiti kuhusu Kauli za Lisu dhidi ya Serikali zinafifisha mchakato wa Maridhiano ambayo yalikuwa yanawapeleka mahali pazuri. Viongozi hao wanamtaka Mwenyekiti achukue hatua za haraka kunusuru mchakato wa maridhiano ambayo ndani yake Chadema walikuwa wameshaanza kuona Mwanga. Kwenye Ratiba za Rais Samia angalau Kila Mwezi alikuwa anakutana nao mara Moja kuzungumza kuhusu maridhiano, toka Lisu ameanza matusi ni mwezi wa pili sasa hakijaitwa kikao hata kimoja cha Maridhiano, jambo hili linawasumbua sana viongozi wa chadema pamoja na mwenyekiti kwa kuwa wamepoteza.

7. Viongozi wa baadhi nikioongea nao wa chadema wanasema ili chadema ifanye Vizuri kwenye uchaguzi ujao ni Lazima Mbowe awe mgombea Urais. Wanadai Mbowe amekuwa akiwabeba wagombea ubunge wa chama chake kwa kuwapatia kila kitu tofauti na Lisu ambaye amekuwa hana uwezo hata wa kutengeneza mabango.

8. Mbowe anaaminika sana na wafadhili wa Chama wa ndani na nje ya Chama. Wafadhili hawa ndio wamekuwa angalau wanakipitisha Chama kwenye nyakati ngumu, viongozi wengi wa Chadema wanahisi siku Mbowe akiondoka Chadema na chama hicho kitajifia kwa kukosa fedha za kukiendesha.

9. Ndani ya Chadema wengi wanasema Mbowe anaangalia mbali sana kisiasa kuliko Lisu. Wanadai Mbowe anajua si Rahisi CCM kuachia dola kwenye mazingira ya Sasa, lakini Mbowe huwa anatengeneza mazingira ya Chadema ku-survive kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja na chama kwa Ujumla. Hii ni tofauti na Lisu kuwa yeye anawaza kwenda ikulu tu na akiikosa anakimbia anakiacha chama kikiwa hakina chochote.

10. Viongozi wengi wa Chadema wanasema wazi wazi wapo huru zaidi kufanya kazi na Mbowe kuliko Lisu kwa kuwa Mbowe hana Roho mbaya, anaweza kuacha kula yeye lakini viongozi wa chini yake wakala kwanza. Wanadai pia Mbowe kila akimakiza ziara huitisha kikao cha tathimini kuangalia wapi wamekosea na wapi wanakwenda. Hili kwa Lisu huwa halifanyiki, yeye akimaliza mkutano gari humpeleka hotelini huku nje viongozi wa matawi, wilaya, Kanda na mikoa wakizurura kila mtu na njia yake.

Mkiwaona watu wanamwimbia Mbowe Tuvushe tuwe tunaelewa. Kweli huyu ni mwamba haswa…

Ole Mushi
0712702602
Kwamba, Lissu anakubalika na Heche,Peter Msigwa na Wenje na unatuambia Mbowe anakubalika na wenyeviti wa kanda na mikoa.

MASWALI YANGU HAYA
1. Huyo peter msigwa,heche na wenje unajua kuwa ndio wenyeviti wa kanda kwa sasa au hujui?
Unaposema mbowe anakubalika na wenyeviti wa kanda huku lissu akikubalika na hao uliowataja hapo juu unamaanisha wenyeviti wapi wa kanda ambao mbowe anakubalika nao?

2. Unasema lissu hana uwezo hata wa kutengeneza mabango, labda nikuulize swala la mabango ya mgombea Urais wa chadema ni lake binafsi mpaka useme hana uwezo hata wa kutengeneza mabango? Wewe kama umehongwa na dpworld kama huyo mamayenu pambana kurudisha pesa za warabu vinginevyo mtamlipa huyo mwarabu wenu masaburi yenu.

3. Unasema lissu hana shughuli ya kufanya kwa sasa tofauti na siasa, labda nikuulize je unajua kuwa lissu ni legal consultant wa mashirika makubwa ulaya kuhusu maswala ya Africa?
Unafikir lissu anategemea siasa kuishi?
Haya tuambie kama anategema siasa kuishi ni nani anamlipa kwenye hio siasa?
Na analipwa kiasi gani?
Na kwa kipindi gani?

NOTE: Kama hujui nakupa hii taarifa na uishike vizuri kwenye nafasi ya urais mtu pekee wa kuitoa ccm na vibaraka wake ikiwemo wauza bandari ni Lissu tu hao wengine ni midebwedo kwa lissu na wakimpitisha mtu mwingine hata wabunge watapungua sana lakin lissu anakubalika vizuri sana hasa kanda ya ziwa yote.
 
Kwamba, Lissu anakubalika na Heche,Peter Msigwa na Wenje na unatuambia Mbowe anakubalika na wenyeviti wa kanda na mikoa.

MASWALI YANGU HAYA
1. Huyo peter msigwa,heche na wenje unajua kuwa ndio wenyeviti wa kanda kwa sasa au hujui?
Unaposema mbowe anakubalika na wenyeviti wa kanda huku lissu akikubalika na hao uliowataja hapo juu unamaanisha wenyeviti wapi wa kanda ambao mbowe anakubalika nao?

2. Unasema lissu hana uwezo hata wa kutengeneza mabango, labda nikuulize swala la mabango ya mgombea Urais wa chadema ni lake binafsi mpaka useme hana uwezo hata wa kutengeneza mabango? Wewe kama umehongwa na dpworld kama huyo mamayenu pambana kurudisha pesa za warabu vinginevyo mtamlipa huyo mwarabu wenu masaburi yenu.

3. Unasema lissu hana shughuli ya kufanya kwa sasa tofauti na siasa, labda nikuulize je unajua kuwa lissu ni legal consultant wa mashirika makubwa ulaya kuhusu maswala ya Africa?
Unafikir lissu anategemea siasa kuishi?
Haya tuambie kama anategema siasa kuishi ni nani anamlipa kwenye hio siasa?
Na analipwa kiasi gani?
Na kwa kipindi gani?

NOTE: Kama hujui nakupa hii taarifa na uishike vizuri kwenye nafasi ya urais mtu pekee wa kuitoa ccm na vibaraka wake ikiwemo wauza bandari ni Lissu tu hao wengine ni midebwedo kwa lissu na wakimpitisha mtu mwingine hata wabunge watapungua sana lakin lissu anakubalika vizuri sana hasa kanda ya ziwa yote.
....hata mimi aliposema tu kuwa "Tundu Lissu ni njaa kali kwa sababu hana shughuli yote ya kumwingizia kipato", nikatambua moja kwa moja kumbe huyu DaveSave a.k.a Thadei Ole Mushi ni mdebwedo usio na mbele wala nyuma.

.......yaani Kwa kifupi hamjui Tundu Lissu wala Freeman Mbowe. Yaani anataka kutueleza kuwa Tundu Lissu hamjui Mwenyekiti wake. Na kwamba eti Tundu Lissu anaweza kuonea nongwa gari alilonunua Mwenyekiti wake!


Looh, this is a stupidity of the highest order kwa ma - GT wa JF...
 
Back
Top Bottom